Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye!

Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye!

Hatuna jinsi ni yeye tena 2025 mpaka 2030.
Namuomba sana mama awe anasimamia uwajibikaji ikiwezekana awe anatumbua kimyakimya. Na afanye ufuatiliaji wa karibu kupunguza gharama za vitu mbalimbali kupanda. Vifaa vya ujenzi vinapanda mara 3 ndani ya mwezi mmoja, vyakula,mafuta ya kula, umeme .

Ashughulikie kiuhakika suala la kupanga wamachinga ikiwezekana serikali inyanganye baadhi ya maeneo ili wamachinga wapate nafasi.

Hakuna suala linaachiwa vibaya kukua na kuendelea kama watu kujenga mpaka barabarani maeneo kama barabara ya mwenge to bagamoyo, barabara kama za mwananyamala sasa hivi wanajenga mifereji kwenye milango ya watu sijui kwanini lukuvi havunji nyuma zilizojengwa tofauti na mawe ya viwanja. Kawe nako kunakuwa kituko wabomoe nyumba zote zilizozidi barabarani
 
Hajamaliza mwaka kelele nyiingi. Kuna waliokereka hawakutaka awe rais uyu mama kutokana na imani yake na uzanzibari. Lakini wapo wakristo wanamkubali na wanampenda sana. Wabarikiwe
Kila akikosolewa eti kwa sababu ya dini. Upuuzi mtupu. Hizo dini zenu za kuletwa na wageni zina faida gani!?
 
Hajamaliza mwaka kelele nyiingi. Kuna waliokereka hawakutaka awe rais uyu mama kutokana na imani yake na uzanzibari. Lakini wapo wakristo wanamkubali na wanampenda sana. Wabarikiwe
Mwambie mama yako huyo aache kelele. Hata mwaka hana kashaanza kelele za kugombea 2025.
 
Nawaza tu kwa kasumba waliyo nayo wananchi wa jinsia zote kuhusu kuongozwa na mwanamke na zaidi anatoka Zanzibar inahitajika nguvu ya ziada.wanawake wenyewe wengi hawaamini mwanamke miongoni mwao anaweza kuwa rais ukiondoa haiba za kiasili za kuchukiana wao kwa wao bila sababu.
 
Mwambie mama yako huyo aache kelele. Hata mwaka hana kashaanza kelele za kugombea 2025.

Uislamu ndio tatizo kwenu. Lakini tambua kuwa nchi ikiongozwa na musilamu inakuwa kiuchumi, wananchi wananeemeka na kufurahia. Refer wakati wa Mwinyi na kikwete ata wakristo wenyewe wanalitambua ilo,, na uyu mama ataiweka sawa 2mpe muda.
 
Kila akikosolewa eti kwa sababu ya dini. Upuuzi mtupu. Hizo dini zenu za kuletwa na wageni zina faida gani!?

Labda zilizoletwa na wazungu ndiyo hazina faida kwenu japo naheshimu sana imani za wengine.

Kuhusu uisilamu ni heri ukae kimyaa, maana hujui unachokiongea. Tunawashukuru sana waarabu kusambaza dini ya Mwenyezi Mungu (uisilamu) bara la afrika n.k. Mungu awabariki sana.
 
Wanabodi,

Kati ya maeneo magumu sana kwenye tasnia ya habari ambayo kwa sisi Tanzania tumelikosa, tunaendelea kulikosa, na kama hawatajitokeza watu wenye uwezo wa kulifanya, tutaendelea kulikosa, ni eneo la "news analysis" uchambuzi wa habari.

Kazi kuu za traditional media ni kuhabarisha, kuelimisha na kuburudisha, sasa katika hizo tatu, media ya Tanzania inafanya vizuri katika eneo la uhabarishaji, na kutoa burudani, lakini katika uelimishaji, bado tuna matatizo, na katika eneo la uchambuzi wa habari, news analysis ndio kabisa, media zetu nyingi hazina uwezo huo, kwasababu hazina watu wenye uwezo huo, matokeo yake, mtu akisema kitu, media zinachukua na kukirusha tuu hivyo hivyo kama kasuku, bila kukichakata na kukifanyia analysis.

Juzi kati hapa rais wetu Mhe. Mama kazuzungumzia need ya Watanzania kumchagua rais mwanamke mwaka 2025 kwa kusema tutamsimamisha Mwanamke, media zimelidaka kama lilivyo kikasuku kasuku na kuanza kulivurumisha, hivyo kuleta mjadala mkubwa kwenye media na mitandao ya jamii, mara kaanza kampeni mapema, mara kajiteua, mara ni ubaguzi wa kuwabagua wanaume, mara hivi mara vile, hivyo bandiko hili ni kuwasaidia kidogo, kuwafanyia a simple analysis ya alichokisema rais Samia.

Kwanza ni ombi kwenu Watanzania wenzangu, kwanza tuunge mkono msimamo wa rais wetu Samia kuwa uchaguzi mkuu wa rais na wabunge wa 2025, tuufanye, sio tuu ni zamu ya kuchagua mgombea mwanamke, bali tuifanye ndio zamu ya ukombozi rasmi wa mwanamke katika siasa, sio tuu tuchague rais mwanamke, bali tuchague wabunge na wadiwani wanawake kwa wingi na kuifikia ile 50/50 ya azimio la Beijing na hata kupita, ila kwenye urais, sio lazima ndio awe Mama Samia, anaweza kuwa yeye au mwanamke mwingine yoyote aliyepangiwa kwasababu mpangaji sio yeye, wala sio sisi, mpangaji na YEYE. Hivyo ikitokea, rais wa Tanzania kwa mwaka 2025 aliyepangiwa na YEYE, ni yeye Mama Samia, then who are we kusema no, kama ni yeye aliyepangiwa, na YEYE, then ni yeye!.

Hivyo mimi naunga mkono hoja ya rais mwanamke ile 2025, kwasabubu kiukweli kabisa, wanawake wana uwezo sana wa uongozi na wengine kuliko hata wanaume, ila siku zote, tumekuwa tukiwakandamiza kutokana na kutawaliwa na mfumo dume kwa miaka nenda miaka rudi, na mpaka Mungu alipoingilia kati. Kama Mungu asingeingilia kati na JPM akaendelea hadi 2025, CCM isingemsimamisha mgombea mwanamke, lakini baada ya Mungu kuingilia kati na Tanzania kwa mara ya kwanza tukapata rais mwanamke, na Mama Samia ameisha onyesha na kuthibitisha pasipo shaka kuwa wanawake wanaweza, then why not 2025 asiwe mwanamke sasa sio tena kwa kudra za Mwenyeenzi Mungu bali kwa chaguo la Mungu kwa Tanzania na kupata endorsement ya Watanzania kwenye sanduku la kura, kumchagua rais mwanamke na wabunge na madiwani wanawake wa kutosha. Na hili likifanyika na likakamilika kikamilifu, uchaguzi wa 2025 tukapata 50/50 ya wabunge na madiwani wanawake wa kutosha. Kazi ya kwanza ya Bunge jipya ni kufuta viti maalum, vitakuwa havihitajiki tena, vikiendelea kubaki ni wastage of time, money and resources.

Marais wa Nchi Hupangwa na Mungu, hata JPM alikuwa ni Chaguo la Mungu kwa Tanzanzia, ila Mungu huweza kulikatiza chaguo lake wakati wowote na kumchagua mwingine, hii haikuanza leo, toka enzi za Nabii Musa, alikatizwa hakuingia nchi ya ahadi Caanan, kwa sababu fulani. Everything happens for a reasons anazojua Mungu mwenyewe, hivyo hata Samia ni mpango wa Mungu kwa Tanzania labda hadi 2025 ni Mungu tuu mwenyewe anajua. Kama Samia ni mpango wa Mungu kwa Tanzania 2025 -2030, then Mungu atasema nasi hapa katikati kabla ya 2025, kwasababu hata JPM, hakuna aliyejua Mungu alipanga nini, vivyo hivyo kwa Samia 2025, ni Mungu tuu pekee ndiye ajuaye amepanga nini, lakini kwa utaratibu wa CCM, urais huu wa sasa wa Mama Samia ulioletwa kwa kudra tuu za Mwenyezi Mungu, hii ni awamu yake ya kwanza, hivyo kila mtu anajua utaratibu wa CCM, anajua uchaguzi wa 2025 ndio awamu yake ya pili ya Mama Samia but only if ndivyo Mungu alivyopanga.

Kwa vile hili ya yeye kugombea 2025, rais Samia mwenyewe aliisha liweka vizuri kabisa ile siku anahojiwa na Salim Kikeke wa BBC, baada ya kuhojiwa kama atagombea urais 2025, rais Samia alijibu vizuri kabisa kuwa "kwa sasa tufanye kwanza kazi, ya 2025 tumwachie Mungu maana no one is shure kufika 2025", hivyo hata rais Samia aliposema 2025 tutamchagua mwanamke, hajamaanisha lazima mwanamke huyo awe ni yeye!. Hivyo ni busara kwa rais wetu Samia, hili la ugombea wa 2025, asilizungumze zungumze sana kwa sasa, ni vyema akaendelea na msimamo wake ule ule wa kwenye BBC kuwa ya 2025 tumuachie Mungu. Kwa sasa, rais aendelee ku deal na haya ya Kaizari, kwa kuchapa kazi na kazi iendelee na yale ya Kimungu tumuachie Mungu mwenyewe.

Swali linabaki, Jee Samia ndio mpango wa Mungu kwa Tanzania, 2025 ....

Nenda ukanisome in between the lines, nilisema nini kumhusu mtu anayeitwa Samia Suluhu Hassan, katika mabandiko haya.


Ukiisha soma, kama una uwezo to read in between the lines, jibu utakuwa umelipata.

Sasa kama mpangaji ni YEYE, na ndie amepanga 2025 ni yeye, then who are we to say no?.

2025 Twende na Mwanamke!.

Paskali
Hakuna mpumbavu wa kupoteza muda kuchagua mwanamke sorry sana
 
Hakuna mpumbavu wa kupoteza muda kuchagua mwanamke sorry sana
Heshima kitu cha bure!, usitukane watu wapumbavu kisa kuchagua mwanamke ukajikuta unapata laana ya bure ya kutukana wazazi wako, kwa kutukana huku, unamaanisha kumchagua mwanamke ni upumbavu na anayechagua mwanamke ni mpumbuvu!, can you imagine mpumbavu wa kwanza kwenye maisha yako alimchagua nani ndio wewe ukazaliwa!. Vitu vingine tuacheni ujinga!.
P
 
Nakubaliana na wewe kuhusu hali ya 'news analysis' hapa nchini.

Ila unaposema 'YEYE' ndo anapanga napata mashaka juu ya malengo yako!

Wachambuzi waliobobea kwenye 'news analysis' wa DW, CNN, BBC, FRANCE 24, Aljazeera na vyombo vingine vikivyotukuka kwenye tasnia hii hawajawahi kusema 'YEYE' anahusika na chochote kwenye chaguzi za dola ya nchi yoyote ile hapa duniani.

Wao huongelea habari za nguvu ya ushawishi ya mgombea na chama chake, hali ya siasa katika nchi husika na matumizi ya 'PR' kidigitali katika chaguzi za hivi karibuni kuwa ndio vitu vinavyoamua matokeo ya uchaguzi.

Na wakizungumzia nchi kama za kwetu zenye tume ya uchaguzi ambayo sio huru, wao husema ni nguvu ya mgombea ama ya 'magod father wake kama sio mmoja' ndani ya chama ndio humpa tiketi.

Utaalamu wako wa 'news analysis' umeupata wapi mkuu? Pascal Mayalla
Mkuu Albaab , ni YEYE ndiye huziweka serikali za mataifa, ni YEYE pekee ndiye ajuaye nani ataamka kesho na nani atafika 2025!, hili ni nje ya uwezo wetu!.
Utaalamu wangu wa news analysis nimeupatia chumba cha habari, mimi ni mwandishi wa habari/mtangazaji, nimekaa newsroom miaka 30 kabla kustaafu rasmi mwaka jana.
P
 
Mkuu Albaab , ni YEYE ndiye huziweka serikali za mataifa, ni YEYE pekee ndiye ajuaye nani ataamka kesho na nani atafika 2025!, hili ni nje ya uwezo wetu!.
Utaalamu wangu wa news analysis nimeupatia chumba cha habari, mimi ni mwandishi wa habari/mtangazaji, nimekaa newsroom miaka 30 kabla kustaafu rasmi mwaka jana.
P
Sawa mkuu, habari ya YEYE ni according to you ila sio general fact.
Mambo ya kusema YEYE ni dalili za kushindwa jambo maana YEYE ndio mwisho wa yote, sasa swala la uraisi sio mwisho wa yote mkuu, not for me!
 
Nchi ilipofikia hatuhitaji kipaumbele cha mteule wa rais kuwa jinsia fulani, bali tunahitaji mtu ambaye atauvaa uongozi na kuwa jasiri wa kutuvusha watanzania katika maendeleo, unachojaribu kusema hapa ati ni zamu ya kina mama kana kwamba hawa jinsia nyingine hawana haki, lakini unatumia lugha ya kificho kumpigia debe chini chini Mama Samia ili yeye ndio awe mteule wa urasi kwa mwaka 2025.
 
Heshima kitu cha bure!, usitukane watu wapumbavu kisha kuchagua mwanamke ukajikuta unapata laana ya bure ya kutukana wazazi wako, kwa kutukana huku, unamaanisha kumchagua mwanamke ni upumbavu na anayechagua mwanamke ni mpumbuvu!, can you imagine mpumbavu wa kwanza kwenye maisha yako alimchagua nani ndio wewe ukazaliwa!. Vitu vingine tuacheni ujinga!.
P

Anakosea sana uyu kijana,,,kama yeye hampendi cc 2nampenda,,,kama vipi achukuwe kamba akajinyonge
 
Heshima kitu cha bure!, usitukane watu wapumbavu kisa kuchagua mwanamke ukajikuta unapata laana ya bure ya kutukana wazazi wako, kwa kutukana huku, unamaanisha kumchagua mwanamke ni upumbavu na anayechagua mwanamke ni mpumbuvu!, can you imagine mpumbavu wa kwanza kwenye maisha yako alimchagua nani ndio wewe ukazaliwa!. Vitu vingine tuacheni ujinga!.
P
Wewe hata dini uzijui laana itatoka wapi ? Inatoka kwa mungu au mwanadamu ???? maana hata mungu mwenyewe ajataka mwanaume kuongozwa na mwanamke ndiyo maana mwanaume ni kichwa kwa mujibu wa dini ,au wewe una laana yako unaimiliki binafsi ambayo ni mali yako unawalaani watu utakavyo wewe ,maana kwa mujibu wa dini zote mbili mimi nipo sahihi wala sijatukana,
 
Wananchi wana shida lukuki mwaka huu-tozo, bei juu, wamachinga, bodaboda, maji, njaa!! Na sisi tunaongelea uchaguzi baada ya uchafuzi wa 2020 ambao umetuletea wabunge wanaotetea serikali badala ya wananchi??
Wapi katiba mpya na tume huru ambayo itawapatia wabunge bora??
 
Labda zilizoletwa na wazungu ndiyo hazina faida kwenu japo naheshimu sana imani za wengine.

Kuhusu uisilamu ni heri ukae kimyaa, maana hujui unachokiongea. Tunawashukuru sana waarabu kusambaza dini ya Mwenyezi Mungu (uisilamu) bara la afrika n.k. Mungu awabariki sana.
Kwa hiyo Uislamu ndio umesema mwanamke aongoze wanaume!?
 
Yaani Kama Kuna MTU anajua kujikomba,Basi na Wewe Ni first class aisee ! Umejikomba wee Enzi za JPM,Lakini wapi! Haikuzaa matunda.Jitahidi kipindi hiki Cha Bi.Mkubwa ujikombe Kisawasawa.Labda atakuona.Ila kumbuka Mama alishasema anaangalia utendaji na Sio kujikomba kwenu.MARA NYINGI WANAOJIKOMBA HUWA SIO WATENDAJI WAZURI.Maana hawajiamini.
 
Umejikomba wee Enzi za JPM,Lakini wapi! Haikuzaa matunda.Jitahidi kipindi hiki Cha Bi.Mkubwa ujikombe Kisawasawa.Labda atakuona.Ila kumbuka Mama alishasema anaangalia utendaji na Sio kujikomba.
Nijikombe ili nipate nini?. Hili bandiko wewe ndio umeliona ni la kujikomba?. Kwa vile Mama Samia sasa ni rais wetu, hivyo yeyote atakayemsifu au kumpongeza ndio atahesabika anajikomba, ili ateuliwe DC!. Jee wale waliompongeza Mama Samia kabla hajawa rais, pia walikuwa wakijikomba?.





P
 
Wanabodi,

Kati ya maeneo magumu sana kwenye tasnia ya habari ambayo kwa sisi Tanzania tumelikosa, tunaendelea kulikosa, na kama hawatajitokeza watu wenye uwezo wa kulifanya, tutaendelea kulikosa, ni eneo la "news analysis" uchambuzi wa habari.

Kazi kuu za traditional media ni kuhabarisha, kuelimisha na kuburudisha, sasa katika hizo tatu, media ya Tanzania inafanya vizuri katika eneo la uhabarishaji, na kutoa burudani, lakini katika uelimishaji, bado tuna matatizo, na katika eneo la uchambuzi wa habari, news analysis ndio kabisa, media zetu nyingi hazina uwezo huo, kwasababu hazina watu wenye uwezo huo, matokeo yake, mtu akisema kitu, media zinachukua na kukirusha tuu hivyo hivyo kama kasuku, bila kukichakata na kukifanyia analysis.

Juzi kati hapa rais wetu Mhe. Mama kazuzungumzia need ya Watanzania kumchagua rais mwanamke mwaka 2025 kwa kusema tutamsimamisha Mwanamke, media zimelidaka kama lilivyo kikasuku kasuku na kuanza kulivurumisha, hivyo kuleta mjadala mkubwa kwenye media na mitandao ya jamii, mara kaanza kampeni mapema, mara kajiteua, mara ni ubaguzi wa kuwabagua wanaume, mara hivi mara vile, hivyo bandiko hili ni kuwasaidia kidogo, kuwafanyia a simple analysis ya alichokisema rais Samia.

Kwanza ni ombi kwenu Watanzania wenzangu, kwanza tuunge mkono msimamo wa rais wetu Samia kuwa uchaguzi mkuu wa rais na wabunge wa 2025, tuufanye, sio tuu ni zamu ya kuchagua mgombea mwanamke, bali tuifanye ndio zamu ya ukombozi rasmi wa mwanamke katika siasa, sio tuu tuchague rais mwanamke, bali tuchague wabunge na wadiwani wanawake kwa wingi na kuifikia ile 50/50 ya azimio la Beijing na hata kupita, ila kwenye urais, sio lazima ndio awe Mama Samia, anaweza kuwa yeye au mwanamke mwingine yoyote aliyepangiwa kwasababu mpangaji sio yeye, wala sio sisi, mpangaji na YEYE. Hivyo ikitokea, rais wa Tanzania kwa mwaka 2025 aliyepangiwa na YEYE, ni yeye Mama Samia, then who are we kusema no, kama ni yeye aliyepangiwa, na YEYE, then ni yeye!.

Hivyo mimi naunga mkono hoja ya rais mwanamke ile 2025, kwasabubu kiukweli kabisa, wanawake wana uwezo sana wa uongozi na wengine kuliko hata wanaume, ila siku zote, tumekuwa tukiwakandamiza kutokana na kutawaliwa na mfumo dume kwa miaka nenda miaka rudi, na mpaka Mungu alipoingilia kati. Kama Mungu asingeingilia kati na JPM akaendelea hadi 2025, CCM isingemsimamisha mgombea mwanamke, lakini baada ya Mungu kuingilia kati na Tanzania kwa mara ya kwanza tukapata rais mwanamke, na Mama Samia ameisha onyesha na kuthibitisha pasipo shaka kuwa wanawake wanaweza, then why not 2025 asiwe mwanamke sasa sio tena kwa kudra za Mwenyeenzi Mungu bali kwa chaguo la Mungu kwa Tanzania na kupata endorsement ya Watanzania kwenye sanduku la kura, kumchagua rais mwanamke na wabunge na madiwani wanawake wa kutosha. Na hili likifanyika na likakamilika kikamilifu, uchaguzi wa 2025 tukapata 50/50 ya wabunge na madiwani wanawake wa kutosha. Kazi ya kwanza ya Bunge jipya ni kufuta viti maalum, vitakuwa havihitajiki tena, vikiendelea kubaki ni wastage of time, money and resources.

Marais wa Nchi Hupangwa na Mungu, hata JPM alikuwa ni Chaguo la Mungu kwa Tanzanzia, ila Mungu huweza kulikatiza chaguo lake wakati wowote na kumchagua mwingine, hii haikuanza leo, toka enzi za Nabii Musa, alikatizwa hakuingia nchi ya ahadi Caanan, kwa sababu fulani. Everything happens for a reasons anazojua Mungu mwenyewe, hivyo hata Samia ni mpango wa Mungu kwa Tanzania labda hadi 2025 ni Mungu tuu mwenyewe anajua. Kama Samia ni mpango wa Mungu kwa Tanzania 2025 -2030, then Mungu atasema nasi hapa katikati kabla ya 2025, kwasababu hata JPM, hakuna aliyejua Mungu alipanga nini, vivyo hivyo kwa Samia 2025, ni Mungu tuu pekee ndiye ajuaye amepanga nini, lakini kwa utaratibu wa CCM, urais huu wa sasa wa Mama Samia ulioletwa kwa kudra tuu za Mwenyezi Mungu, hii ni awamu yake ya kwanza, hivyo kila mtu anajua utaratibu wa CCM, anajua uchaguzi wa 2025 ndio awamu yake ya pili ya Mama Samia but only if ndivyo Mungu alivyopanga.

Kwa vile hili ya yeye kugombea 2025, rais Samia mwenyewe aliisha liweka vizuri kabisa ile siku anahojiwa na Salim Kikeke wa BBC, baada ya kuhojiwa kama atagombea urais 2025, rais Samia alijibu vizuri kabisa kuwa "kwa sasa tufanye kwanza kazi, ya 2025 tumwachie Mungu maana no one is shure kufika 2025", hivyo hata rais Samia aliposema 2025 tutamchagua mwanamke, hajamaanisha lazima mwanamke huyo awe ni yeye!. Hivyo ni busara kwa rais wetu Samia, hili la ugombea wa 2025, asilizungumze zungumze sana kwa sasa, ni vyema akaendelea na msimamo wake ule ule wa kwenye BBC kuwa ya 2025 tumuachie Mungu. Kwa sasa, rais aendelee ku deal na haya ya Kaizari, kwa kuchapa kazi na kazi iendelee na yale ya Kimungu tumuachie Mungu mwenyewe.

Swali linabaki, Jee Samia ndio mpango wa Mungu kwa Tanzania, 2025 ....

Nenda ukanisome in between the lines, nilisema nini kumhusu mtu anayeitwa Samia Suluhu Hassan, katika mabandiko haya.


Ukiisha soma, kama una uwezo to read in between the lines, jibu utakuwa umelipata.

Sasa kama mpangaji ni YEYE, na ndie amepanga 2025 ni yeye, then who are we to say no?.

2025 Twende na Mwanamke!.

Paskali

Mzee wa njaa kaanza
 
Back
Top Bottom