Hiyo miradi ni nguzo muhimu katika uchumi, huwezi kuwa na viwanda vikubwa na huna reliable source ya umeme, Megawati 2100 zitakazozalishwa na 1500 za Sasa ni suluhisho tosha kwa changamoto ya umeme.
SGR ya umeme ni kichocheo kizuri Cha ukuaji wa uchumi, mizigo mingi itasafirishwa kwa gharama ndogo toka bandarini kwenda sehemu mbali mbali za nchi hadi nchi jirani. Hii itasaidia Sana kupunguza mfumuko wa bei na kurahisha movement ya bidhaa.
Magufuli aliona mbali Sana, hata Kama tunachukua mikopo kwa miradi itakayochochea ukuaji wa uchumi siyo tatizo tuna uhakika kuwa mikopo hiyo italipika bila tatizo lolote.
Sent from my itel W6004 using
JamiiForums mobile app