Watanzania uvivu wa kusoma mambo utatuponza,tusome katiba pendekezwa jamani.

:eyebrows::eyebrows::eyebrows::eyebrows:


:eyebrows::eyebrows::eyebrows::eyebrows: WEWE CHAGGA KAUZE NDIZI HUKOOOO KWENU MARANGU, HAPA HAPAKUFAI WEWE!! JIBU HOJA KAMA UMESHINDWA OSHA VYOMBO HAPO KWENU ALIVYOLIA SHEMEJI YAKO!!
 
Watanzania sisi wavivu wa kusoma kwa kweli.
Hiyo katiba hata hao walio na access sijui kama wataisoma.
Tushaambia kura ni ndio tena tumeshapata kisingizio copy zipo chache?mtoa mada labda serekali itoe motisha.
 

Mhhh hapo ndio uwezo wako wa kufikiri ulipofikia unaweza kutuambia kwa nini walitoa zile tunu za taifa na ile ya madaraka ya rais ukinisaidia hapo nitaisoma zaidi ya hapo siihitaji.
 
mhhh hapo ndio uwezo wako wa kufikiri ulipofikia unaweza kutuambia kwa nini walitoa zile tunu za taifa na ile ya madaraka ya rais ukinisaidia hapo nitaisoma zaidi ya hapo siihitaji.

tunu za taifa ktk katiba inayopendekezwa hazijafutwa na mambo ya madaraka ya rais yako kama yalivyoandikwa katika katiba hii, labda nikusaide kitu kimoja, soma katiba inayopendekezwa hasa hasa katika sura ya kwanza ibara ya 5 utaziona hizo tunu za taifa ambazo zimetajwa zikiwemo lugha ya kiswahili, muungano, utu na udugu, amani na utulivu.
 
mhhh hapo ndio uwezo wako wa kufikiri ulipofikia unaweza kutuambia kwa nini walitoa zile tunu za taifa na ile ya madaraka ya rais ukinisaidia hapo nitaisoma zaidi ya hapo siihitaji.

tunu za taifa ktk katiba inayopendekezwa hazijafutwa kijana zipo ktk sura ya kwanza ibara ya 5, tunu hizo ni lugha ya kiswahili, muungano, utu na udugu, amani na utulivu, lakini pia kuhusu suala la madaraka ya rais hayajafutwa yako vizuri katika sura ya nane ibara ya 81, nenda kasome katiba hii sasa ktk hayo maeneo ili uyaelewe vema.
 
Umesema ukweli ambao unawauma sana hao wapiga deal
 
umesema ukweli ambao unawauma sana hao wapiga deal

mwakaboko na tindo mtaongea sana mpaka mchanike midomo yenu, ukweli wa katiba hii kila mmoja anaujua nyie mnabisha tuu kufurahisha midomo yenu na watu wengine, watanzania hawawaelewi lolote juu ya hilo na watawapinga cku ya kupiga kura, poleni sana kubalini ukweli tuu sisi wote ni watanzania tuwe wazalendo kwa nchi yetu.
 
Wadau isomeni kwanza...mimi pia nilikuwa na mtazamo huu huu ila nimeipitia kipengele kimoja hadi kingine...kuna baadhi sikubaliani navyo kwa mtazamo wangu ila tuisome kwanza ndio tuamue....

Kura yangu ni HAPANA.
 

Naona unajitahidi kuipigia debe umepewa ngapi?Tumekwambia hatuitaki hivyo hatuba haja ya kuisoma!
 
wewe umesikia kengele za mazombi ukiwa usingizini hna lolote, hiyo sio hoja ya kuleta jamvini kuwa walio wengi hawana utamaduni wa kusoma mrundikano wa maandishi ha ha ha ha ha ha kweli mzembe utamjua tu,acha uvivu wa kufikiri kama huwezi kusoma ni wewe mwenyewe usiwaunganishe huma watz wenzio tuko smart.
 


nenda kalale wapishe wenye hoja wachangie huelewi maudhui yake na hata ukielewa haitakusaidia wewe si raia wa tanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…