mpine peter
Member
- Apr 19, 2015
- 20
- 7
Haijakaa sawa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CHADEMA kweli ni chama cha matukio ......Baadhi ya Watanzania wamejitokeza nje ya Ubalozi wa Tanzania Nchini #Marekani na kufanya maandamano wakiwasilisha madai mbalimbali.
Baadhi ya madai yao waliyoandika kwenye mabango yao ni Mabadiliko ya Katiba, kuachiwa huru kwa Wakili Peter Madeleka pamoja na kufukuzwa Bungeni Wabunge 19 wanaodaiwa kuwa Bungeni kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).
Aheri ungekuwa umekosa vyote, ukabahatika kupata akili. Pole sana.Nilimwambia mama, sio kila kitu cha jpm ni cha kukipotezea. Ukatili kwa hawa wanaojiita 'wapinzani' ni jambo muhimu sana na lazima ,kiongozi mkuu wa nchi hii, au ya kiafrika yoyote, lazima uwe na ukatili fulani; tofauti na hapo tegemea kina lema, lissu na mbowe kukuchezea kama hivi. Na bado, wataleta hizi drama zao kila leo na kila siku utaona zinakaribia zaidi na mwishowe utawakuta mpaka nyumbani kwako kabisa ukiwa mapumzikoni.
Hawa ni kuwakagame tu hata hukohuko, shenzi zao!! Ukiwa na hawa jamaa hautofanya shughuli yoyote ya kimaendeleo na mwishowe warship kukunanga na kukutukana. Na kama ukiyafsnya maendeleo huku unawachekea hawa basi hayatoonekana maendeleo hayo na badala yake yataonekana mabaya tu dumb daima!!!
MAMA HUJIFUNZI KWA KIKWETE?!!!!!!!!! Aliwaheshimu na kuwajali kupita kiasi walimlipa nini zaidi ya matusi na kejeli za kudhalilisha kabisa zinazomuandama hadi leo?!!!!!! Mwamba jpm alijua akiwachekea hawa hatofanya na halitoonekana lolote jema lake, AKAWAFINYIA MBALI huko na akajipatia nafasi ya kufanya mambo yake kwa uhuru na mwishowe nchi yote ikaimba jina lake........mpaka ya kikwete yakawa yake na kikwete amebaki mweupeeee km aliyepita na kulala tu pale ikulu.
MAMA UNATAKA YAKUKUTE HAYA YA KIKWETE?!!!! Si mazuri kwa hadhi ya uraisi......TWANGILIA MBALI wapuuzi hao km alivyofanya jpm. Kuongoza hakuhitaji huruma za dini kwa sababu kuna mishetani imejazana kukuharibia.....TWANGILIA MBALI HAOOOOO!!!
Duuuh 😳😳😳Nilimwambia mama, sio kila kitu cha jpm ni cha kukipotezea. Ukatili kwa hawa wanaojiita 'wapinzani' ni jambo muhimu sana na lazima ,kiongozi mkuu wa nchi hii, au ya kiafrika yoyote, lazima uwe na ukatili fulani; tofauti na hapo tegemea kina lema, lissu na mbowe kukuchezea kama hivi. Na bado, wataleta hizi drama zao kila leo na kila siku utaona zinakaribia zaidi na mwishowe utawakuta mpaka nyumbani kwako kabisa ukiwa mapumzikoni.
Hawa ni kuwakagame tu hata hukohuko, shenzi zao!! Ukiwa na hawa jamaa hautofanya shughuli yoyote ya kimaendeleo na mwishowe warship kukunanga na kukutukana. Na kama ukiyafsnya maendeleo huku unawachekea hawa basi hayatoonekana maendeleo hayo na badala yake yataonekana mabaya tu dumb daima!!!
MAMA HUJIFUNZI KWA KIKWETE?!!!!!!!!! Aliwaheshimu na kuwajali kupita kiasi walimlipa nini zaidi ya matusi na kejeli za kudhalilisha kabisa zinazomuandama hadi leo?!!!!!! Mwamba jpm alijua akiwachekea hawa hatofanya na halitoonekana lolote jema lake, AKAWAFINYIA MBALI huko na akajipatia nafasi ya kufanya mambo yake kwa uhuru na mwishowe nchi yote ikaimba jina lake........mpaka ya kikwete yakawa yake na kikwete amebaki mweupeeee km aliyepita na kulala tu pale ikulu.
MAMA UNATAKA YAKUKUTE HAYA YA KIKWETE?!!!! Si mazuri kwa hadhi ya uraisi......TWANGILIA MBALI wapuuzi hao km alivyofanya jpm. Kuongoza hakuhitaji huruma za dini kwa sababu kuna mishetani imejazana kukuharibia.....TWANGILIA MBALI HAOOOOO!!!
Tell them, they are not free to such extent! Huwa sijaribiwi!!😁😁😂😂😂Hatatamani tena kwenda nchi za watu.
Wacha uongo wewe! Mstaafu gani amekaa miaka 10 bila kulipwa? Unatafuta sifa za kijinga mwamba!Wazazi wetu wamestaafu miaka Kumi iliyopita hakuna hata mbunge mmoja anayewasemea hawana pesa yoyote hadi popote ulipo mtanzania tangaza katiba mpya
Tunataka katiba ambayo watoto wangu wataishi maisha ya hakiWacha uongo wewe! Mstaafu gani amekaa miaka 10 bila kulipwa? Unatafuta sifa za kijinga mwamba!
Pole wewe unaeugua!Aheri ungekuwa umekosa vyote, ukabahatika kupata akili. Pole sana.
Eeh! Inabidi iwe hivyo, uraisi haufai 'kukalawiliwakalawiliwa' na wapuuzi kirahisi hivyo....ni kuwatwanga tu!Duuuh 😳😳😳
Wewe ni chawa wa nani?Nilimwambia mama, sio kila kitu cha jpm ni cha kukipotezea. Ukatili kwa hawa wanaojiita 'wapinzani' ni jambo muhimu sana na lazima ,kiongozi mkuu wa nchi hii, au ya kiafrika yoyote, lazima uwe na ukatili fulani; tofauti na hapo tegemea kina lema, lissu na mbowe kukuchezea kama hivi. Na bado, wataleta hizi drama zao kila leo na kila siku utaona zinakaribia zaidi na mwishowe utawakuta mpaka nyumbani kwako kabisa ukiwa mapumzikoni.
Hawa ni kuwakagame tu hata hukohuko, shenzi zao!! Ukiwa na hawa jamaa hautofanya shughuli yoyote ya kimaendeleo na mwishowe warship kukunanga na kukutukana. Na kama ukiyafsnya maendeleo huku unawachekea hawa basi hayatoonekana maendeleo hayo na badala yake yataonekana mabaya tu dumb daima!!!
MAMA HUJIFUNZI KWA KIKWETE?!!!!!!!!! Aliwaheshimu na kuwajali kupita kiasi walimlipa nini zaidi ya matusi na kejeli za kudhalilisha kabisa zinazomuandama hadi leo?!!!!!! Mwamba jpm alijua akiwachekea hawa hatofanya na halitoonekana lolote jema lake, AKAWAFINYIA MBALI huko na akajipatia nafasi ya kufanya mambo yake kwa uhuru na mwishowe nchi yote ikaimba jina lake........mpaka ya kikwete yakawa yake na kikwete amebaki mweupeeee km aliyepita na kulala tu pale ikulu.
MAMA UNATAKA YAKUKUTE HAYA YA KIKWETE?!!!! Si mazuri kwa hadhi ya uraisi......TWANGILIA MBALI wapuuzi hao km alivyofanya jpm. Kuongoza haku. Kwa bahati nzurihitaji huruma za dini kwa sababu kuna mishetani imejazana kukuharibia.....TWANGILIA MBALI HAOOOOO!!!
Hahaaaa[emoji16][emoji16][emoji16] SAMIA KACHIMBAAAA
Tulia Dawa iingiewaandamanaji 18 US wanadai katiba wakati mamilioni ya watanzania waishio Tanzania wametulia wanajenga nchi.
Tunaogopa Moto.Nasikia Mama Kapitia Mlango Gani?safi sana kumbe unaogopa moto.