Chifu Hangaya ana ngozi ngumu...

Mh.Chifu mkuu wa machifu wote Tanzania AMESHAYAZOEA HAYO.....si mageni hata kidogo

 
CHADEMA kweli ni chama cha matukio ......

Ona hayo mabango....

Yaangalie tu 🤣🤣🤣🤣
 
Aheri ungekuwa umekosa vyote, ukabahatika kupata akili. Pole sana.
 
Duuuh 😳😳😳
 
Wazazi wetu wamestaafu miaka Kumi iliyopita hakuna hata mbunge mmoja anayewasemea hawana pesa yoyote hadi popote ulipo mtanzania tangaza katiba mpya
Wacha uongo wewe! Mstaafu gani amekaa miaka 10 bila kulipwa? Unatafuta sifa za kijinga mwamba!
 
Wewe ni chawa wa nani?

Unamdanganya sana 'Maza Mizinguo' kwa hayo unayomshauri ayafanye.

Kwa bahati nzuri anazo akili za kumtosha kutofuata upumbavu unaojaribu kumhimiza aufanye.
 
Wakati wao wakiandamana wenzao kule wanaendelea kuanguka signature tu.......

Demokrasi Raha sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…