jinola hamza
JF-Expert Member
- Jul 25, 2015
- 657
- 441
Unaropoka wew sasa kwa tarifa yako ukrain ishaanza kupigwa uyo cow boy yupo wapi sasa ?wanataka kuanza kuleta ubabe wa Hittler hawa wameshashiba vodka...Cow boy aka mzee wa mipango anawachora tu, waangalia Russia isijekugeuka DRC nyingine ya Ulaya mashariki.
Afu kuna watu bado wanaona Russia anafanya vizuri.Habari za jioni wana jamii forums,Kwa kwel nmeona suala la ndugu Watanzania walioko Ukraine kutakiwa kurudi Tanzania na wengine Kutolewa na mataifa Yao ,Sababu kubwa ni nini?Putin anahusikaje ?Tujuzane
Maestro de Quimica!!OPView attachment 2129084
Wewe ni mjinga wa zama hiziNgoma ikiwambwa sana hupasuka. Putin yuko vizuri sana lakini nahisi sifa zinampanda kichwani sasa. Akiivamia Ukraine itakuwa keshwapa chance kubwa mahasimu wake hasa USA kummaliza kabisa.
Kupitia mtafaruku huu, USA atapata support kutoka kwa washirika wake hivyo kutimiza ndoto yake ya siku nyingi ya kuidunda Russia.
USA alishajua kuwa peke yake haiwezi Russia, lakini sasa atapata support ya wengine.
Ndiyo nini sasa? Marekani na Ulaya wanatoa ndege kuwachukua watu wao sisi blabla mingiHabari za jioni wana jamii forums,Kwa kwel nmeona suala la ndugu Watanzania walioko Ukraine kutakiwa kurudi Tanzania na wengine Kutolewa na mataifa Yao ,Sababu kubwa ni nini?Putin anahusikaje ?Tujuzane
Maestro de Quimica!!OPView attachment 2129084
Hakuna wa kumdhibiti urusi! America hawathubutu kuingilia mzozo huo kwa vitaKuextend eneo lake zaidi
Yaani kwa kifupi ni kwamba RUSSIA inaamini kuwa UKRAINE ni himaya yake, na sio Ukraine tu ni pamoja na nchi zingine za jirani.
Historically, Russia ilishakuwa Superpower katika dunia hii as USSR, na ingawa sasahivi ndio Nchi yenye eneo kubwa zaidi duniani, wakati ule ilikuwa na eneo kubwa karibu mara tatu au zaidi ya eneo la sasa na RUSSIA haijawahi kuridhika na suala la USA kuwa Superpower that Conguer the world pamoja na washirika wake wa karibu hasa UK na France.
Russia wana high technology kwenye mambo ya silaha na technic na pia ni nchi yenye historia na uzoefu wa vita tangu zamani.
Wanajiamini na wanataka dola yao ya zamani itambulike...walianza zamani conquering tangu enzi za kina Tsar Alexis, Peter the Great na wengine...kipindi cha Byzantine empire, Russian empire n.k
Kwa hiyo kikubwa ni kutaka kuonesha ubabe kwa nchi zingine na pia wanahitaji maeneo zaidi.
Lakini hatahivyo akideclare vita atapigwa na kupata hasara kwasababu nchi nyingi kubwa zitaungana na US dhidi yake kuitetea Ukraine.
That's All kuhusu Urusi.
Mrusi ana saport ya China na Korea ikiwa marekani ataingia patachimbikaNgoma ikiwambwa sana hupasuka. Putin yuko vizuri sana lakini nahisi sifa zinampanda kichwani sasa. Akiivamia Ukraine itakuwa keshwapa chance kubwa mahasimu wake hasa USA kummaliza kabisa.
Kupitia mtafaruku huu, USA atapata support kutoka kwa washirika wake hivyo kutimiza ndoto yake ya siku nyingi ya kuidunda Russia.
USA alishajua kuwa peke yake haiwezi Russia, lakini sasa atapata support ya wengine.
Sawa tunashukuru taarifa ya Ubalozi wetu.Habari za jioni wana jamii forums,Kwa kwel nmeona suala la ndugu Watanzania walioko Ukraine kutakiwa kurudi Tanzania na wengine Kutolewa na mataifa Yao ,Sababu kubwa ni nini?Putin anahusikaje ?Tujuzane
Maestro de Quimica!!OPView attachment 2129084
Too late, Hakuna ndege yoyote inaruka sasa hivi huko ukraineSalaaam!
Vita ya Urusi na Ukraine imeanza tayari na mashambulizi ya makombora yanaendelea kutoka maeneo tofauti tofauti ya nchi.
Wizara ya mambo ya nje ipo kimya ni kama hakuna Watanzania wanaoishi Ukraine na Urusi. Je hali ikiwa mbaya Wizara na nchi ina mpango gani wa kuenda kuwaokoa raia wa kitanzania waliopo katikati ya vita hivyo?
Sijakutana na taarifa yoyote ya onyo au kusihi watanzania waishio huko kuchukua tahadhari, hii ina maana serikali haifahamu kama kuna raia katika nchi hizo au sio jambo la muhimu sana kwa wizara kuutambua mgogoro huo?
Tafadhali kama una ndugu au jamaa Ulaya ya mashariki, hebu mjulie hali maana huu ni mwanzo wa vita na siku zote ni rahisi kuanzisha vita ila kumaliza ndio hua tatizo.
Siku njema!
Naona kuna watu wanalaumu tu lakini hakuna mtu anaelezea kiini cha tatizo: Ninavyofahamu kiini chake kwa kifupi ni kama ifuatavyo:Habari za jioni wana jamii forums,Kwa kwel nmeona suala la ndugu Watanzania walioko Ukraine kutakiwa kurudi Tanzania na wengine Kutolewa na mataifa Yao ,Sababu kubwa ni nini?Putin anahusikaje ?Tujuzane
Maestro de Quimica!!OPView attachment 2129084
Yaani nikikumbuka tu zile 1 na 2,japo kwa kusoma kwenye mwandishi impact zake sitamani WW3 itokeeUSA akingia na KOREA KASKAZINI & CHINA , SOME OF ARABIC COUNTRIES SUCH AS IRAN WATAKUWA UPANDE WA RUSSIA....na inaweza tokea THIRD WORLD WAR...
Malizia mkuu hivyo vipengele,hebu nifanyie wepesi,hizi habari kuzisikiliza CNN na AL Jazeera inabidi uwe umekula umeshiba....Naona kuna watu wanalaumu tu lakini hakuna mtu anaelezea kiini cha tatizo: Ninavyofahamu kiini chake kwa kifupi ni kama ifuatavyo:
Marekani enzi za JFKENNEDY iliwahi kutokea tishio la vita kati ya USSR na Marekani iliyoitwa Cuba Missile Crisis ambapo Marekani haukuruhusu Umoja wa Urusi waweke silaha hapo jirani Cuba.
Baada ya Umoja wa Urusi kusambaratika, Ukraine ambayo baadhi yao ni Warusi na inapakana na Urusi yenyewe imekuwa nchi huru na imehamasishwa kujiunga na umoja wa kujihami kivita wa NATO, jambo ambalo linawezesha silaha za NATO kuwa Ukraine, mpakani mwa Urusi! Jambo kama hilo Marekani waliapa lisitokee Cuba!
Putin anasema Ukraine kujiunga na NATO bila usalama wake kuhakikishiwa hataruhusu na yuko tayari kuingia vitani sasa kuliko kungoja mpaka siku hiyo ambapo NATO itakuwa imejaa mlangoni pake ikiwa Ukraine. Hicho ndiyo kiini cha ugomvi ingawa kuna vibwagizo kadhaa nimeviacha vinavyohusu vipengele vingine.
Hakuna ndege inaruka kwa sasaNdiyo nini sasa? Marekani na Ulaya wanatoa ndege kuwachukua watu wao sisi blabla mingi
Na wewe unadhani Moscow ataingia Mzigoni peke ake? Hana washirika?Ngoma ikiwambwa sana hupasuka. Putin yuko vizuri sana lakini nahisi sifa zinampanda kichwani sasa. Akiivamia Ukraine itakuwa keshwapa chance kubwa mahasimu wake hasa USA kummaliza kabisa.
Kupitia mtafaruku huu, USA atapata support kutoka kwa washirika wake hivyo kutimiza ndoto yake ya siku nyingi ya kuidunda Russia.
USA alishajua kuwa peke yake haiwezi Russia, lakini sasa atapata support ya wengine.
mf Serikali ingekaa kimya... hao Jamaa zetu wasingeiona hiyo hatari?Huu ushabiki wa hii vita sijui vurugu ni mimi tu ambaye sielewi au
Nimecheka taarifa ya serikali inasema wanani warudi nyumbani kwaniiii ndio leo wamesikia vuguvugu la huko au
China yupo na mimi hadi mda huu, france,Japan,Germany na UK hawawezi kuwapiga China,Iran na Korea. Vita hii ndio mwisho wa USA kwenye uso wa dunia. Rafiki yang Van amenihakikishia hilo ila kwa sasa hajibu sms zangu ila nitawaletea update maana nachat naeNgoma ikiwambwa sana hupasuka. Putin yuko vizuri sana lakini nahisi sifa zinampanda kichwani sasa. Akiivamia Ukraine itakuwa keshwapa chance kubwa mahasimu wake hasa USA kummaliza kabisa...
Ni ileile inayowafanya wazenji kutusumbua sumbua baraSababu ya kuishambulia Ukraine ni nini?