Watanzania waliokwama Ukraine kusaidiwa kuondoka na Russia kutaichafua Sana nchi kipindi ambacho Russia inatengwa na Dunia

Huyu jamaa si bure mlioko naye karibu hata kwa mnuso tu,kamateni kesho mpeleke MILEMBE.
 
Jintenge mwenyewe....Sisi Russia ni washirika wetu kama ilivyo wamafekank yeyote atakayetihitaji tupo naye...This is Tanzania, nchi iliyoikomboa Africa...
 
Anasubiria diplomacy ya wa Ukraine waliowabagua ndugu zake kutoka eneo la hatari kwakua tu ni weusi
 
Nadhani tukubali kabisa kuwa washirika wao full ili hao mabaazazi wakome kutuibia rasilimali zetu...Wakome kabisa!
 
Uganda ambayo ina Rais mpaka leo yule yule inalindwa na Russia?
 

Bush, George Bush, obama, tony Blair, trump n.k sio madikteta?
 
Bush, George Bush, obama, tony Blair, trump n.k sio madikteta?
Tena afadhali hao wengine wana kila sababu...Huyu obima huyu mweusi mwenzetu kuja kuvuruga bara letu...tsuuuu nimemzarau kwa zarau zote nilizowahi kuzarau huku duniani...Namshkuru sana Mungu na wale wapambe wake wa humu nchini wamepata message yao kwamba Tanzania ni ile ile jana leo na kesho...Ahsante baba wa taifa Mwl Nyerere kutuwekea misingi imara ya nchi yetu
 
Mkuu kwaza tambua wanaosaidiwa sio wanajeshi bali ni wanafunzi
na vita URUSI anapigana na makundi maalum sio RAIA
na jambo jingine URUSI hana shida na nchi yoyote ya AFRCA
kama Tanzania wameanza inamaana hata nchi zingine zenye uhitaji kama huo zitafuatuata
hvyo URUSI kukubali kuwasaidia wanafunzi watanzania inamaana anakaribisha pia mataifa mengine yenye kuhitaji kufanya hivyo

kumbuka ile sio VITA kama ulivyovizoe wewe
ni operesheni maalum ya kijeshi kujirinda na ndio maana afurushi mabomu hovyo isipokuwa sehemu husika ukisikia RAIA wa ukraine amekufa basi huyo kayataka mwenyewe
 
Samahani kwa kutopata neno la kuandika zaidi ya kukuita KICHAA namba 1, 2022. Unahatari sana wewe. Futa uzi wako mwenyewe.

Ni kwa vile huna mtoto kuleee.
 
Hii ni elimu tosha na maswali mazuri sana. Endeleeni kumpeni elimu huyu kijana. Hana aibu kabisa! Mimi naondoka katika uzi huu. Moderator futa uzi huu
 
dunia ilishatambua tupo upande gani pale tu tulipoacha kupiga kura
 
Mleta mada naomba ukae kimya au umove humu babaa. Umagharibi umekuingia mno. Baki na mabeberu wako wanaokutambuwa SOKWE, na ictoshe huko marekani waafrika wenzio wanauliwa. Dahh Ila ninyi watu ni wa ajabu sana. Hivii unaanzaje kumsapoti muuwaji/marekani na washirika wake wameuwa mamilioni ya wa2 waco na hatia!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…