Watanzania waliokwama Ukraine kusaidiwa kuondoka na Russia kutaichafua Sana nchi kipindi ambacho Russia inatengwa na Dunia

Ninaunga mkono hoja. Huu uzi ufutwe. Huyu jamaa ni miongoni mwa binadamu wajinga zaidi kwenye historia ya binadamu.
Ubaya wote hamna hoja NI vijembe na matusi. Nimezungumza vitu viwili hapo. Kwanza Tanzania kutopiga kura kulaani uvamizi na Kisha watanzania kupitia Russia badala ya Poland au nchi nyingine NI doa sababu Sasa Russia inatengwa kimataifa. Nchi zinatoa raia Russia nyie mnapitia uko.
 

Ungekua na mtoto wako ungezungumza hayo? So ikitengwa Ndio nini na wewe unaogopa kutengwa au ?! Nilichokiona kwako Una mahaba ya kijinga na Ukraine Kama vile una udugu nao sbb ni hiyo tu huna lolote
 
Angalau umeangazia hoja. Kuliko watu wenye Akili wanaokuja kutukana tu. Tusome historia kidogo.
Kwa miaka 7 Tanzania ilikumbatia udiktete kamili. Uvunjwaji wa wazi wa katiba na mateso kwa wapinzani.
Baadae mkaacha kupiga kura ya kulaani uvamizi. Theni Leo mnatoka kupitia mpaka wa mahalamia. Baada ya hii vita Russia anaanguka na hakuna shangazi wakutuamini tena
 
Ungekua na mtoto wako ungezungumza hayo? So ikitengwa Ndio nini na wewe unaogopa kutengwa au ?! Nilichokiona kwako Una mahaba ya kijinga na Ukraine Kama vile una udugu nao sbb ni hiyo tu huna lolote
Hujui ujamaa ulivyotufanya tutembee peku na kuishi kwenye nyumba za nyasi miaka 40 baada ya Uhuru. Maendeleo ya kisekta yamekuja kuanzia 1995. Tulipojiunga na uchumi wa dunia. Tukirudi tulipotoka ni shida
 
Mijitu ilio zaliwa 90 ni wa ajabu sana. Unajua sihasa za ujamaa au unaongea bila kufanya utafiti labda kwa msaada nikupe nchi ambazo hazita iwacha tz iteseke. 1 China ni yakijamaa, Cuba niyakijamaa, 3 urusi niyakijamaa. Fidel Castro, mau tsun, via lenin. Julius nyerere. Nenda ukasome usikurupuke.
 
"Baniyani mbaya kiatu chake dawa" kama unaweza kutumia msaada wa adui yako kijitoa kwenye matatizo ,usisite kufanya hivyo. Ingawa urusi sio adui yetu.
 
Wewe kenge nitolee upumbavu wako hapa 😑😑😑. Tanzania ina sera ya kutofungamana na upande wowote tangu enzi za baba wa taifa. Pia nchi yetu haijawahi kuwa na uoga kwenye misimamo yake. Hii sio mara ya kwanza Tanzania kufanya maamuzi magumu kwa maslahi ya watu wake. Kama ubalozi wa Uingereza ulishawahi kufungwa hapa nchini ndo iwe hilo suala la kupiga kura UN? Halafu ulitaka hao wanafunzi waliokwama wapitie njia gani salama zaidi ya hiyo ya Urusi? Hujasikia wapoland wakiwabagua waziwazi waafrika huko kwenye mpaka wao? Futa huu uzi wako unaonuka mavi.
 
Bwashee hujalazimishwa kuondoka, wewe baki huko huko yatakayokukuta utajijua mwenyewe. Sisi hatupendi ujinga.
 
Sleeper agent ktk ubora wako
 
Reactions: Ame
Hujui ujamaa ulivyotufanya tutembee peku na kuishi kwenye nyumba za nyasi miaka 40 baada ya Uhuru. Maendeleo ya kisekta yamekuja kuanzia 1995. Tulipojiunga na uchumi wa dunia. Tukirudi tulipotoka ni shida
Kwahiyo ulivyopewa mtumba wenye fangas kama substitution umeona unafanana na hao mabeberu wanaokufadhili?

Daah nyie binadamu isijetokea siku mkaja kuwa viongozi wa nchi yetu hii tukufu...Naomba hiyo siku niwe kaburini!
 
Daah lina hasara tumbo lililokuleta huku duniani...Wewe mtu ameijenga nchi hii kwa jasho lake na damu yake leo unamwitwa dikteta!

Pole sana we are back to our roots, nakuonea huruma...Jiandaye ki saikolojia nchi yetu imerudi kwenye mstari wake!
 
Miaka yote Tanzania imekua ni nchi isiyofungamana na upande wowote . NAM.

Hata kwenye resolution iliyokuwa passed na UN tuliabstain simply because kuna mambo yaliyokuwepo kwenye hiyo resolution hatukuyaafiki.

Ingawa Mahusiano yetu na Russia ni mazuri ni vyema tukaweka wazi msimamo wetu kwa kukemea ukiukwaji wa sheria za kimataifa wa Taifa moja dhidi ya jingine.
 
πŸ’πŸ’πŸ’
Your browser is not able to display this video.
 
Labda kama wewe ni mdogo kiumri. Kwa wale wa zamani kidogo ushirikiano wa Russia na Tanzania haukuanza leo bali ulianza wakati wa mapambano ya kudai uhuru kwa nchi za kusini mwa Africa.
Hakutusaidia kupata Uhuru kamili. Bali kupigania maslahi yake Afrika dhidi ya Magharibi. Na Russia haikutusaidia lolote la maana zaidi ya bunduki na Vifaru. Nchi karibu zote zilizokuwa chini ya Russia ziliishia kupigana vita vya wenyewe kwa wenyewe na umasikini mkubwa. Wakati Magharibi wakiwekeza kwa huduma za kijamii na elimu
 
Ungekua na mtoto wako ungezungumza hayo? So ikitengwa Ndio nini na wewe unaogopa kutengwa au ?! Nilichokiona kwako Una mahaba ya kijinga na Ukraine Kama vile una udugu nao sbb ni hiyo tu huna lolote
Kama ndio taifa la Mashariki lililostaarabika zaidi. Lililofadhili wageni kibao kupata elimu huko. Kifupi lilikuwa rafiki Sana kwetu. Wasomi wetu waliokwenda Russia wengi walikumbana na ubaguzi wa Hali ya juu na usiokemewa. Lazima tukubali uhalisia. Russia haijawahi kuwa na urafiki na waafrika wenyewe Bali viongozi wao Tena kuwasaidia kukaa madarakani.
 
Urusi ya kijamaa ilidondoka 1990 Hadi 1991. Wakaruhusu ubinafshaji na watu binafsi wakamiliki mitaji. China iliachana na ujamaa 1980. Na kuibuka kwa mabilionea kibao wanaomilikk uchumi. Nchi ya kijamaa iliyobaki ni moja tu duniani. Korea kaskazini ambayo mitaji yote Yani Benki, viwanda humilikiwa na Serikali. Sisi tuliingia Ubepari baada ya mabadiliko ya China na Russia na tukakosa wa kutusapoti na kuanza ubinafshaji 1995. Russia iliporuhusu democracy ya vyama vingi 1990 na Uchina 1980.
Sema Putin nawarudisha Russia nyuma Tena. Alifuta ukomo wa madaraka kutoka awamu 2tu. Na kusimika udikteta tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…