William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,761
- 2,391
- Thread starter
- #41
Ubaya wote hamna hoja NI vijembe na matusi. Nimezungumza vitu viwili hapo. Kwanza Tanzania kutopiga kura kulaani uvamizi na Kisha watanzania kupitia Russia badala ya Poland au nchi nyingine NI doa sababu Sasa Russia inatengwa kimataifa. Nchi zinatoa raia Russia nyie mnapitia uko.Ninaunga mkono hoja. Huu uzi ufutwe. Huyu jamaa ni miongoni mwa binadamu wajinga zaidi kwenye historia ya binadamu.