Watanzania walivyo wanafiki, makelele ya Palestina ilhali wana uswahiba na mkoloni Morocco

Watanzania walivyo wanafiki, makelele ya Palestina ilhali wana uswahiba na mkoloni Morocco

Mbege haina lolote la kutisha, Alooh Sijapanda kask ....nmeshakula likizo zangu zote apa sina ujanja..Vp apo 254 Mmeshaua viumbe hai wangap [emoji23][emoji23]Najua Leo kuku, mbuzi,ng'ombe wengi watapoteza Maisha
Karibu bro tushiriki kuzaliwa masihi.
FB_IMG_1514198567484.jpg
 
Je kama Tz tukikosa misaada kutoka kwa baba(US) itakuwa majanga bora tungebaki kimya wamalizane wenyewe. Huo mgogoro wa huko mpaka Yesu atarudi ataukuta.
Aisee kweli,ila wengi hawalioni hilo, njaa mbaya sana asikwambie mtu!
 
Hahaa mbege nenda rombo, wakenya leo hadi mwakani wamejaa huko , maeneo ya tarakea hadi himo hapatoshi leo mazee....yaani mnapiga mdudu aka kiti moto alafu mbege kwa sana...wachagga tunawapenda sana[emoji3] [emoji119]
Nimeona gari za K... nyingi sana Arusha na Kilimanjaro.
 
Hebu jikumbushe kidogo historian ya Africa kabla ya kukimbilia na kufungua nyuzi zisiso na miguu wala mikono.

Tanzania ni nchi iliyo pigia kele Morocco mpaka wakatoka OAU. Na passport zetu zilikuwa na maandishi ya kutukataza kuenda Morocco Israel na South Africa. Uhusino wetu na Morocco wa sasa hautukatazi kukataa na yale tusio yapenda. Hata Israel tuna ubalozi.
 
Hamna tofauti na nilichokisema, maana kura unapiga kama unayo haja ya kupiga, hakuna anayelazimishwa au kuelekezwa bastola kichwani, ni maamuzi binafsi ya kila nchi bila shuruti.
Sio Kenya pekee waliosusia, kuna nchi zingine lakini la kushangaza, kati ya nchi zote duniani nyie pekee ndio mnaojisifu eti mlipiga kura.
Kabla ya kupiga kura msimamo ulisha julikana kutoka kwa waziri mwenye mamlaka. MFAIC
 
Msimamo wa Tanzania ni uleule kuhusu palestina na Israel. Nashangaa wakenya wanatoa wapi nguvu ya kutetea wanyonge leo.
suala la sahara magharibi na morocco, Tanzania msimamo wake ni ule ule. Hata leo kura zikipigwa tz ni ileile. So wakenya msijisumbue sana na tz. Msimamo wetu unajulikana.
 
Vijana wengi wa kenya international politics hawazijui. JKT ya tanzania ilipoanzishwa mafunzo yalitolewa toka Israel. Lakini msimamo wa Tanzania kisiasa ni kwamba waisrael waache kuwatesa wapalestina. Ushirikiano wa mambo mengine Tanzania inashirikiana na israel. Kwahiyo wakenya ni vyema mkaujua msimamo wa Tanzania vyema. Nchi ya kenya haina msimamo ndio maana wakishindwa kupiga kura. Ndio maana Tanzania ilisimama kidete kuwatetea wachina kuhusu kiti chao UN. Tanzania is very stable country kwenye masuala ya international politics. Na ushirikiano wetu sisi na USA unajulikana na wamarekani wakivuka mstari tunawaonya tena kwa sauti kubwa.

Tanzania ni sovereign state, haipangiwi na nchi yoyote cha kufanya. Tunafanya kwa maslahi ya nchi yetu. Si kwaajili ya wengine.
 
Vijana wengi wa kenya international politics hawazijui. JKT ya tanzania ilipoanzishww mafunzo yalitolewa toka Israel. Lakini msimamo wa Tanzania kisiasa ni kwamba waisrael waache kuwatesa wapalestina. Ushirikiano wa mambo mengine Tanzania inashirikiana na israel. Kwahiyo wakenya ni vyema mkaujua msimamo wa Tanzania vyema. Nchi ya kenya haina msimamo ndio maana wakishindwa kupiga kura. Ndio maana Tanzania ilisimama kidete kuwatetea wachina kuhusu kiti chao UN. Tanzania is very stable country kwenye masuala ya international politics. Na ushirikiano wetu sisi na USA unajulikana na wamarekani wakivuka mstari tunawaonya tena kwa sauti kubwa.

Tanzania ni sovereign state, haipangiwi na nchi yoyote cha kufanya. Tunafanya kwa maslahi ya nchi yetu. Si kwaajili ya wengine.
Mk254 alifunguwa huu uzi kuziba mafuriko ya uzi mwingine, lakini ni uzi ambao haujaufanyia research ya aina yoyote.
 
Mk254 alifunguwa huu uzi kuziba mafuriko ya uzi mwingine, lakini ni uzi ambao haujaufanyia research ya aina yoyote.

Nilifungua huu uzi kuhoji unafiki wenu wa kukenulia meno wakoloni wa Morocco ilhali mnajifanya watetezi wa Wapalestina.
Japo kuna Watanzania wamenikomesha kwa mimi kuwatetea watu wa mbali wa Western Sahara ilhali hapa karibu tunao waliokaliwa wa Zanzibar, tena eti wamekaliwa na hiyo hiyo Tanganyika inayojifanya kuhuzunishwa na hali ya Wapalestina wa kuleeeee, mbali sana nje ya Afrika.

Hivyo imenibidi kupiga kimya maana kama ni kweli mumekalia Zanzibar kama wanavyodai hawa Watanzania, basi hapa sina la kujadili maana nitakua najadili na mkoloni mweusi tena mwenye ngozi nyeusi kama yangu na anaongea Kiswahili, mnafiki wa kutupwa.
Hivyo wacha niendelee kutafuna minofu ya Krisimasi kwa amani nikisubiri kuaga mwaka na kupokea mwengine mpya kwa neema za Mwenyezi Mungu.
 
Nilifungua huu uzi kuhoji unafiki wenu wa kukenulia meno wakoloni wa Morocco ilhali mnajifanya watetezi wa Wapalestina.
Japo kuna Watanzania wamenikomesha kwa mimi kuwatetea watu wa mbali wa Western Sahara ilhali hapa karibu tunao waliokaliwa wa Zanzibar, tena eti wamekaliwa na hiyo hiyo Tanganyika inayojifanya kuhuzunishwa na hali ya Wapalestina wa kuleeeee, mbali sana nje ya Afrika.

Hivyo imenibidi kupiga kimya maana kama ni kweli mumekalia Zanzibar kama wanavyodai hawa Watanzania, basi hapa sina la kujadili maana nitakua najadili na mkoloni mweusi tena mwenye ngozi nyeusi kama yangu na anaongea Kiswahili, mnafiki wa kutupwa.
Hivyo wacha niendelee kutafuna minofu ya Krisimasi kwa amani nikisubiri kuaga mwaka na kupokea mwengine mpya kwa neema za Mwenyezi Mungu.

Sasa inakuwaje ya Morocco yana hamia Zanzibar, au ndio ule msemo wa mfamaji haishi ku tapatapa ndio unaingia hapa? Haya tunasikia mmeshapewa mualiko wa kwenda kula bata na Trump Marekani, hongera kwenu.
 
MK254,

..msimamo wa serekali yetu kuhusu mgogoro wa Sahara Magharibi vs Morocco unafedhehesha.

..na zaidi Mfalme wa Morroco ametupa "ZAWADI" kutokana na serekali yetu kulegeza msimamo.

..pamoja na hayo siwezi kuelekeza lawama zote kwa serekali ya awamu ya 5.

.Kwa kumbukumbu zangu Tz tulianza kujikomba-komba kwa Morocco wakati wa awamu ya 4. Naamini awamu ya 4 ndiyo waliobadilisha muelekeo wetu.

..walichokosea awamu hii ni kukubali "ZAWADI." kitendo hicho ni cha kujidhalilisha. Tungebadili msimamo wetu wa awali, lakini tukakataa "zawadi" watani zetu kama Kenya wasingetucheka kama inavyotokea sasa hivi.

..Sikutegemea tuboronge namna hii huku Wizara ya Mambo ya Nje ikiongozwa na mtu mwenye uzoefu kama Balozi Dr.Mahiga.

NB.

..hata siasa zetu za ndani nazo zimechukua muelekeo mbaya.

..CCM ya miaka hii inafanana na KANU ya enzi za Mzee TOROITICH ARAP MOI.
 
MK254,

..msimamo wa serekali yetu kuhusu mgogoro wa Sahara Magharibi vs Morocco unafedhehesha.

..na zaidi Mfalme wa Morroco ametupa "ZAWADI" kutokana na serekali yetu kulegeza msimamo.

..pamoja na hayo siwezi kuelekeza lawama zote kwa serekali ya awamu ya 5.

.Kwa kumbukumbu zangu Tz tulianza kujikomba-komba kwa Morocco wakati wa awamu ya 4. Naamini awamu ya 4 ndiyo waliobadilisha muelekeo wetu.

..walichokosea awamu hii ni kukubali "ZAWADI." kitendo hicho ni cha kujidhalilisha. Tungebadili msimamo wetu wa awali, lakini tukakataa "zawadi" watani zetu kama Kenya wasingetucheka kama inavyotokea sasa hivi.

..Sikutegemea tuboronge namna hii huku Wizara ya Mambo ya Nje ikiongozwa na mtu mwenye uzoefu kama Balozi Dr.Mahiga.

NB.

..hata siasa zetu za ndani nazo zimechukua muelekeo mbaya.

..CCM ya miaka hii inafanana na KANU ya enzi za Mzee TOROITICH ARAP MOI.

Labda akina Mwanzi1 watakuelewa maana imetoka kwa Mtanzania.
 
Back
Top Bottom