Watanzania wanaishi Nchi ya Uchumi wa Kati?

Watanzania wanaishi Nchi ya Uchumi wa Kati?

Watanzania wanaishi Nchi ya Uchumi wa Kati? - Zitto Kabwe

Tangu jana nimeona shamrashamra kubwa kuhusu kinachoitwa mafanikio ya Tanzania kuwa nchi ya Uchumi wa Kati. Kuingia Uchumi wa Kati ni hatua nzuri lakini inayohitaji ufafanuzi wa kiuongozi. Hatua hii ikifanyiwa propaganda itaonekana kuwa Serikali ya Awamu ya Tano wana uhaba wa mafanikio au hawajui wanachoshangilia. Ni muhimu sana kutambua kuwa kufikia hatua hii ni mchango wa awamu zote zilizotangulia na wananchi wa Tanzania na si matokeo ya awamu moja au miaka 5 tu...
,
 
😂😂😂😂😂😂 Acha utani Mkuu! Pesa ya uchumi ulioanguka inaongezeka thamani kivipi?
Thamani ya shilling kwa dola bado inazidi kushuka kila leo
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Watanzania wanaishi Nchi ya Uchumi wa Kati? - Zitto Kabwe

Tangu jana nimeona shamrashamra kubwa kuhusu kinachoitwa mafanikio ya Tanzania kuwa nchi ya Uchumi wa Kati. Kuingia Uchumi wa Kati ni hatua nzuri lakini inayohitaji ufafanuzi wa kiuongozi. Hatua hii ikifanyiwa propaganda itaonekana kuwa Serikali ya Awamu ya Tano wana uhaba wa mafanikio au hawajui wanachoshangilia. Ni muhimu sana kutambua kuwa kufikia hatua hii ni mchango wa awamu zote zilizotangulia na wananchi wa Tanzania na si matokeo ya awamu moja au miaka 5 tu...
Ungewacopy na world bank maana ndio waliosema sio serikali..
 
Sasa unakuja kulialia huku jf si upande tu ndege Tena mpaka Kwenye ofisi za hao WB walioitangaza kuwa Imefika Uchumi wa Kati.

Sasa unatuumiza vichwa Sisi ambao hatukuhusika na kutangaza huo Uchumi..

Kama umeishiwa pesa ya karamu na karatasi ya kuandikia barua world bank + nauli ya ndege we anzisha tu Uzi wa kukuchangia uende Tena.

Msaliti mkubwa wewe utaendelea kuweweseka na maombi yako ya mabaya juu ya taifa hili kamwe hayatafua dafu.

Proud to be Tanzanian[emoji1241][emoji1241][emoji1241]
 
aise nimegain kitu! thx much bro!
CCM wamekariri maendeleo ya watanzania ni Hisani ya CCM hawataki kutambua kuwa maendeleo ni pesa za walipa kodi ambao wengi siyo CCM ni watanzania wasio na vyama wakishirikiana na wapinzani, CCM wengi siyo walipa kodi mchango wa CCM kwenye kodi ni Mdogo kuliko maelezo, CCM hawachangii uchumi kukua, wao wanajua kufuja pesa kujenga chato Airport kienyeji pasipo idhini ya bunge, kununua Ndege kwa cash kwa kuvunja Sheria ya manunuzi na mengi ya ajabu .
 
Mkuu ni kweli pesa imeongezeka thamani Kwasababu Rais Magufuli amefuta rushwa, amefuta ufisadi, amekomesha madawa ya kulevy,amekomesha majangili na majizi

Kama ulikuwepo kwenye hiyo cheni lazima pesa ikupige chenga uone maisha magumu

Makundi mengine yanafurahia maisha Kwasababu hawajaathiriwa na kitu chochote, ukizingatia Rais Magufuli anawatetea sana watu wa kipato cha chini
Tanzania hata ufanye nini kinaonekana kibaya tu sasa hawa watu ambao tunawaona ni wasomi mwingine anajua kuliko mwenyekiti wa Benki ya Dunia bwana Zito kabwe anatoa povu la kuwadanganya watanzania wasione kazi nzuri ya serikali.

Kuna tofauti gani kati ya Kenya na Tanzania huko kenya wapo watu wanalala na njaa na kipato duni kama kwetu sasa mbona Kenya waliingizwa kwenye nchi za kipato cha kati tangu 2015 sijaona kuwabeza. Tungebaki kwenye LDC bado Zito angetoa povu zaidi.

Kwa Tanzania ukichukua fedha za serikali ukaenda zako Marekani kutafuta mabibi na kuzitumbua basi wapo watu watakusifia sana na kukutolea mfano kwamba wewe ni kiongozi mzuri.

Vyovyote itakavyokuwa jua au mvua rais wetu ni JPM, tazama Mungu anavyomwekea mkono wake mpaka Tanzanite za kilo kumi zinapatikana chini ya utawala wake tulizoea kuona size ya kokoto tu.
 
Tatizo kubwa sectors zinazochangia ongezeko kubwa la GDP kama utalii,madini,na service sector zimeajiki watanzania wachache.

Mbaya zaidi kinachopatikana katika sectors hizo hakigawanywi kwa usawa kuinua sectors zilizoajili Watanzania wengi.suluhisho ya hili ni kuwa na uongozi wenye vipaumbele vinavyo toa mwanga kwa raia.
 
Sasa unakuja kulialia huku jf si upande tu ndege Tena mpaka Kwenye ofisi za hao WB walioitangaza kuwa Imefika Uchumi wa Kati.

Sasa unatuumiza vichwa Sisi ambao hatukuhusika na kutangaza huo Uchumi..

Kama umeishiwa pesa ya karamu na karatasi ya kuandikia barua world bank + nauli ya ndege we anzisha tu Uzi wa kukuchangia uende Tena.

Msaliti mkubwa wewe utaendelea kuweweseka na maombi yako ya mabaya juu ya taifa hili kamwe hayatafua dafu.

Proud to be Tanzanian[emoji1241][emoji1241][emoji1241]
JF ni jukwaa huru hajaja kulialia na wala siyo msaliti kwani CCM wasema ukweli huwa Adui zao na kuwapachika majina ya wasaliti kienyeji kwa vigezo visivyo na Tija, proud to be Tanzania yenye haki za binadamu siyo Tanzania ya kuwabambikia kesi, kuwapiga risasi wapinzani.
 
Tan

Tanzania hata ufanye nini kinaonekana kibaya tu sasa hawa watu ambao tunawaona ni wasomi mwingine anajua kuliko mwenyekiti wa Benki ya Dunia bwana Zito kabwe anatoa povu la kuwadanganya watanzania wasione kazi nzuri ya serikali. Kuna tofauti gani kati ya Kenya na Tanzania huko kenya wapo watu wanalala na njaa na kipato duni kama kwetu sasa mbona Kenya waliingizwa kwenye nchi za kipato cha kati tangu 2015 sijaona kuwabeza...
Mkuu hamna aliyepinga kazi haifanyiki,kazi inafanyika hata ikiongezeka $1 ni kazi inefanyika tatizo litakuja kuwa ingezeko haliendani na muda na hali halisi ya watu.

Mkuu tuache ushabiki wa kisiasa pembeni,emu sema toka nafsini mwako hali unayoiona ya watu kiuchumi hapo mtaani kwako ulipo inaendana na kinachozungumzwa??
 
Tatizo kubwa sectors zinazochangia ongezeko kubwa la GDP kama utalii,madini,na service sector zimeajiki watanzania wachache.

Mbaya zaidi kinachopatikana katika sectors hizo hakigawanywi kwa usawa kuinua sectors zilizoajili Watanzania wengi.suluhisho ya hili ni kuwa na uongozi wenye vipaumbele vinavyo toa mwanga kwa raia.
Haya uyasemayo yatawezekana siku CCM,hasa hii ya Magu, ikitoka madarakani.

Kwa sasa jiandae kusikia wakiitumia fursa ya kukopo, kukopa to the maximum.
 
Kumbe vigezo ndio dollar hizo? Basi wengine tulishaingia uchumi wa kati kitambo sana! 😜😜Hongereni sana wale mlioingia juzi😁😁
 
Hujaeleweka hata kidogo, nchi nying xinahagaika kufikia hatua hii sijuw we w ni nani upinge hatua nzur kama hii
 
JF ni jukwaa huru hajaja kulialia na wala siyo msaliti kwani CCM wasema ukweli huwa Adui zao na kuwapachika majina ya wasaliti kienyeji kwa vigezo visivyo na Tija, proud to be Tanzania yenye haki za binadamu siyo Tanzania ya kuwabambikia kesi, kuwapiga risasi wapinzani.
Acha kutoka nje ya mada kwa kutafuta huruma ya kisiasa..

Uzi unaongelea kuhusu Uchumi wa Kati wewe unapuyanga na Mambo ya risasi ndo ulifundwa hivyo unyagoni wewe binti?
 
Tan

Tanzania hata ufanye nini kinaonekana kibaya tu sasa hawa watu ambao tunawaona ni wasomi mwingine anajua kuliko mwenyekiti wa Benki ya Dunia bwana Zito kabwe anatoa povu la kuwadanganya watanzania wasione kazi nzuri ya serikali. Kuna tofauti gani kati ya Kenya na Tanzania huko kenya wapo watu wanalala na njaa na kipato duni kama kwetu sasa mbona Kenya waliingizwa kwenye nchi za kipato cha kati tangu 2015 sijaona kuwabeza. Tungebaki kwenye LDC bado Zito angetoa povu zaidi. Kwa Tanzania ukichukua fedha za serikali ukaenda zako Marekani kutafuta mabibi na kuzitumbua basi wapo watu watakusifia sana na kukutolea mfano kwamba wewe ni kiongozi mzuri.
Vyovyote itakavyokuwa jua au mvua rais wetu ni JPM, tazama Mungu anavyomwekea mkono wake mpaka Tanzanite za kilo kumi zinapatikana chini ya utawala wake tulizoea kuona size ya kokoto tu.
Tanzania hata ufanye nini kinaonekana kibaya kivipi, kuna uhuru wa kufanya siasa? Kuwabambikia kesi kuwapiga risasi kuwahujumu kuwadhoofisha wapinzani ni kitu kizuri? Kutopandisha mishahara ya watumishi wa umma kwa miaka 5 ni kitu kizuri? Kununua Ndege kujenga chato Airport kienyeji pasipo idhini ya bunge ni kitu kizuri? Bank ya Duniani hawakujua vingi kwa kuwa hakuna Demokrasia inakuwa vigumu kujua mapungufu mengi kwa haraka, usifananishe kenya na Tanzania, kenya wana haki za binadamu wapinzani wapo huru kufanya siasa popote siku zote, endelea kuitetea CCM na Udikiteta wake lakini ujue watanzania siyo wajinga kiasi hicho wanajua mabaya yote ya CCM.
 
Mmekosa hoja za kumjibu mnaleta vioja!!
Mkuu Kama anaka kujibiwa Basi mwambie apeleke hoja zake hizo World Bank walioitanga Tanzania kufikia huo Uchumi wa Kati.

Hakuna Mtanzania wa Aina yoyote Ile alieamuka asubuhi na kwenda kutangaza kuwa tumefikia Uchumi wa Kati.

Sasa nashangaa Kama vile wapingaji wa taifa wanaanza kuilaumu serikali ya Tanzania kuhusu huu Uchumi utafikiri imeua Wala kumukwaza mtu.
 
Back
Top Bottom