Watanzania wanaishi Nchi ya Uchumi wa Kati?

Watanzania wanaishi Nchi ya Uchumi wa Kati?

Hawa ni wachumia tumbo Rais Magufuli ameziba rushwa na ufisadi waliozoea kuiba ndio maana wanapiga kelele
Magufuli kaziba wapi? Trilion 1.5 mpaka kutomtoa CAG kafara walikula wachumia tumbo? Bilion 12 za Ndungai wamekula wachumia tumbo? 10% ununuzi wa Ndege wamekula wachumia tumbo?
 
Mkuu Kama anaka kujibiwa Basi mwambie apeleke hoja zake hizo World Bank walioitanga Tanzania kufikia huo Uchumi wa Kati.

Hakuna Mtanzania wa Aina yoyote Ile alieamuka asubuhi na kwenda kutangaza kuwa tumefikia Uchumi wa Kati.

Sasa nashangaa Kama vile wapingaji wa taifa wanaanza kuilaumu serikali ya Tanzania kuhusu huu Uchumi utafikiri imeua Wala kumukwaza mtu.
Kwani amepinga au amefafanua nini maana ya kuingia katika kundi hilo na kueleza faida na hasa zake?
 
Tan

Tanzania hata ufanye nini kinaonekana kibaya tu sasa hawa watu ambao tunawaona ni wasomi mwingine anajua kuliko mwenyekiti wa Benki ya Dunia bwana Zito kabwe anatoa povu la kuwadanganya watanzania wasione kazi nzuri ya serikali. Kuna tofauti gani kati ya Kenya na Tanzania huko kenya wapo watu wanalala na njaa na kipato duni kama kwetu sasa mbona Kenya waliingizwa kwenye nchi za kipato cha kati tangu 2015 sijaona kuwabeza. Tungebaki kwenye LDC bado Zito angetoa povu zaidi. Kwa Tanzania ukichukua fedha za serikali ukaenda zako Marekani kutafuta mabibi na kuzitumbua basi wapo watu watakusifia sana na kukutolea mfano kwamba wewe ni kiongozi mzuri.
Vyovyote itakavyokuwa jua au mvua rais wetu ni JPM, tazama Mungu anavyomwekea mkono wake mpaka Tanzanite za kilo kumi zinapatikana chini ya utawala wake tulizoea kuona size ya kokoto tu.
Jamaa ameishiwa. Amebaki kuwachota makamanda uchwara, kwa sababu hizi ndio lugha wanazozipenda.
 
CCM huwasingizia wapinzani kuwa hupinga kila kitu wakati wapinzani wapo kazini kwao kupinga uovu mapungufu mabaya ya CCM ni wajibu wao kikatiba na Sheria, cha ajabu CCM ndiyo wapingaji wa kila kitu cha upinzani hata wakiwafanyia udikiteta bado hupinga kuwa siyo udikiteta ni haki yao kuwabambikia kesi kuwafanyia unyanyasaji wapinzani, hakuna uchumi wa kati pasipo na haki za binadamu na demokrasia.
 
Jamaa ameishiwa. Amebaki kuwachota makamanda uchwara, kwa sababu hizi ndio lugha wanazozipenda.
Ameishiwa nini? Uchumi wa kati upo kweli? Kamchota kamanda yupi? Mbona Ndungai kapiga bilion 12 na kuitaka Bandari ya Bagamoyo lakini kwenye pesa hamjamgusa lakini kwenye Bandari ya Bagamoyo mmepinga? Tambua kuwa CCM wengi hawapendi unyanyasaji wenu na pia hawataki tabia ya kuwabambikia kesi kuwanunua wapinzani kuja kuwapa vyeo wakati wana CCM asilia wapo hawana vyeo
 
CCM huwasingizia wapinzani kuwa hupinga kila kitu wakati wapinzani wapo kazini kwao kupinga uovu mapungufu mabaya ya CCM ni wajibu wao kikatiba na Sheria, cha ajabu CCM ndiyo wapingaji wa kila kitu cha upinzani hata wakiwafanyia udikiteta bado hupinga kuwa siyo udikiteta ni haki yao kuwabambikia kesi kuwafanyia unyanyasaji wapinzani, hakuna uchumi wa kati pasipo na haki za binadamu na demokrasia.
Huwezi kuja na hoja nzito alafu ccm wakikujibu kwa hoja, bc wao watakuja na vihoja...hoja kwa hoja kwao ni mwiko
 
Acha ngonjera mkuu..jibu hoja za mhe.zitto..hv nyie watu wa ccm mkoje??
Zitto anapenda kucheza na kiki Yaan likitokea hili anapitia hapohapo!! Kwà akili mlizonazo mkuu kama ndio hizi huwa naona hamfahi hata ujumbe tu wa nyumba 10!!
 
Zitto anapenda kucheza na kiki Yaan likitokea hili anapitia hapohapo!! Kwà akili mlizonazo mkuu kama ndio hizi huwa naona hamfahi hata ujumbe tu wa nyumba 10!!
Jibu hoja comredy... kwnn kwenu hoja huwa ni kikwazo?? Kama ameongopa si muje na ushahidi?.
 
Huwezi kuja na hoja nzito alafu ccm wakikujibu kwa hoja, bc wao watakuja na vihoja...hoja kwa hoja kwao ni mwiko
CCM inaongozwa na watu wa zidumu fikra za mwenyekiti wa CCM pekee ni vigumu kujua Athari na mabaya yao.
 
Zitto anapenda kucheza na kiki Yaan likitokea hili anapitia hapohapo!! Kwà akili mlizonazo mkuu kama ndio hizi huwa naona hamfahi hata ujumbe tu wa nyumba 10!!
Kazi ya upinzani ni nini? Huwezi kuwapangia cha kufanya wapinzani wanapita na kila kitu kibaya cha CCM na siyo kiki ni kazi yao, Akili zipi za wapinzani hazifai kuwa wajumbe wa nyumba kumi? Wapinzani wangekuwa na Akili ndogo wewe na CCM yako Msingetumia matilion na mabilioni kuwahujumu kuwadhoofisha kuwabambikia makesi kuwapiga risasi kuwapora ushindi kwenye chaguzi mbalimbali, mngeacha watanzania wenyewe ndiyo waamue.
 
CCM kaeni mtambue kuwa kazi ya upinzani siyo kuifagilia CCM, kazi ya upinzani ni kuikosoa kuipinga Serikali kwa kila mapungufu mabaya yote kuanzia Dogo mpaka kubwa pasipo kuchoka kubagua chochote.
 
Tan

Tanzania hata ufanye nini kinaonekana kibaya tu sasa hawa watu ambao tunawaona ni wasomi mwingine anajua kuliko mwenyekiti wa Benki ya Dunia bwana Zito kabwe anatoa povu la kuwadanganya watanzania wasione kazi nzuri ya serikali. Kuna tofauti gani kati ya Kenya na Tanzania huko kenya wapo watu wanalala na njaa na kipato duni kama kwetu sasa mbona Kenya waliingizwa kwenye nchi za kipato cha kati tangu 2015 sijaona kuwabeza. Tungebaki kwenye LDC bado Zito angetoa povu zaidi. Kwa Tanzania ukichukua fedha za serikali ukaenda zako Marekani kutafuta mabibi na kuzitumbua basi wapo watu watakusifia sana na kukutolea mfano kwamba wewe ni kiongozi mzuri.
Vyovyote itakavyokuwa jua au mvua rais wetu ni JPM, tazama Mungu anavyomwekea mkono wake mpaka Tanzanite za kilo kumi zinapatikana chini ya utawala wake tulizoea kuona size ya kokoto tu.
Kuna ngiri wao ni kupinga tuu..wacha waendelee kuilaumu serkali kwa umaskini...huku nchi yao ikiwa na fursa kemkem ambazo hata haziitaji mtaji zaidi ya akili yako na nguvu.hakuna mtu aliekwenda kuomba huko tutangazwe ni Maendeleo dhahiri yaliyofichua hili.Zitto anaandika akikusudia kukijenga chama chake kupitia mambumbu fuata upepo wasiopenda kazi,na hatimaye chama kitamnufaisha yeye.
 
Waswahili walisema, mpenda chongo, huita kengeza.
 
Watanzania tunashukuru Rais Magufuli kwa kutupeleka Tanzania katika uchumi wa kati ndani ya miaka mitano tu

Tukimpa muda zaidi tunaweza kuipiku USA
Dah nikajua basi utajibu hoja za msingi hapo kwa kufafanua kitakwimu na kimahesabu, au wewe na wenzio mko kimaneno maneno zaidi, yani kuongea mipasho tu ????!
 
Back
Top Bottom