Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Kwani amepinga au amefafanua nini maana ya kuingia katika kundi hilo na kueleza faida na hasa zake?Ulitaka tufanyeje maana per capita income ndiyo inayotumiwa kupima hizo nchi sasa ulitaka waseme siyo. Hata hizo nchi zilizoendelea nazo hupima hivyo hivyo.