Wakati fulani marekani robin givens aliwahi kutajwa
kuwa ndo the most hated woman in america,,,
enzi hizo watu walikuwa wanamuona ndo chanzo cha mike tyson kuchanganyikiwa,,,,,hasa aliposema aliolewa na tyson for money......
Any way hivi leo kwa hapa tanzania ni nani ambaye tunaweza
kusema ndo mtanzania anaetuboa zaidi?????
Tukiacha wanasiasa hasa wa ccm.
Kwenye upande wa burudani na jamii ni watanzania gani
kama wapo unafikiri wana kuboa kupita kiasi????????
1:Ma Sophia Simba
2:Julius Nyani Ngabu
3: painkiller
4:Mashori wasiojua kulipuka pamba
5: Na wewe unaesoma haya.....
Marin Hassan Marin wa TBC jamaa sijui huwa linaongeaje, mijitu mingine bwana, yaani nilikuwa nataka kuangalia interview ya elizabeth wa BBA ghafla nikaliona na stimu zote kwishney.
ukiambiwa uwe shoga au uvute sigara utachagua nini?Wanaovuta sigara kwenye public places pasipo kujali afya za wenzao. Nawachukia sana tena sana narudia tena nawachukia sana.
well done kawife ka rais , haka kakomenti kako kameenda shule.jamani jamani jamani kama tutaanza kuwa na hates za namna hii sisi wenyewe naamini ndo maana wakoloni walitutawala bila shida
kwa imani yangu mpemba, muunguja ,( sijui wote ni wazanziberi ) mtu wa bara sisi wote ni ndugu na Africa ni moja
Ndugu yetu Masanilo yuko huko mbona anaishi kwa amani na upendo huku akifurahia upepo mwanana wa bahari ....na nchi kavu
well done kawife ka rais , haka kakomenti kako kameenda shule.
mimi wananiboa sana MA-LOVER BOYS!unajua mke wangu bado mdogo sana,sasa hawa jamaa hawaishi kunisababishia stress.infact nafikiria kununua pistol JUST FOR THEM
hawa ma-lover boiz dawa yao inachemkawivu utakusababishia maafa pole sana 😀
mimi wananiboa sana MA-LOVER BOYS!unajua mke wangu bado mdogo sana,sasa hawa jamaa hawaishi kunisababishia stress.infact nafikiria kununua pistol JUST FOR THEM
Dogo unaharibu mijadala......Kwa nini?
Dogo unaharibu mijadala......
Dogo unaharibu mijadala......
Tiyari ushaibaka thread.....kuliko ufanyavyo wewe?!
MG Kaanza kuchoka aisee rirer dude Lundega lishammwagia manii zake taabu tupu...MG ananitengenezea breakfast hapa.
MG Kaanza kuchoka aisee rirer dude Lundega lishammwagia manii zake taabu tupu...