bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,873
Wakati fulani marekani robin givens aliwahi kutajwa
kuwa ndo the most hated woman in america,,,
enzi hizo watu walikuwa wanamuona ndo chanzo cha mike tyson kuchanganyikiwa,,,,,hasa aliposema aliolewa na tyson for money......
Any way hivi leo kwa hapa tanzania ni nani ambaye tunaweza
kusema ndo mtanzania anaetuboa zaidi?????
Tukiacha wanasiasa hasa wa ccm.
Kwenye upande wa burudani na jamii ni watanzania gani
kama wapo unafikiri wana kuboa kupita kiasi????????
Public smokers man!!!!!!!! nawachukia bora mlevi anaetukana.....seriously! sheria is not enforceable sijui!!!!!!!!!