Watanzania wanatafuta Kenya na Wakenya wanatafuta Afrika Kusini

Watanzania wanatafuta Kenya na Wakenya wanatafuta Afrika Kusini

ww Bado unasisitiza, kubali huo ndio ukweli
Zoea kwanza ndio uanze kuwa na mimi.
Propaganda hizo tunaziweza sana.
Nimekueleza uletea credible source.
Statical information.

Did you consider VPN connection.
Where does this source come from.
IMG_20200811_155445.jpg
 
Hakuna Afrika anayesearch au anayejali kuhusu Tanzania [emoji23][emoji23][emoji382] Rwanda, Uganda and Somalia which is a failed state are at least on African minds.
South Sudan ni wajanja wanajiwaza wenyewe kwa wenyewe wakipewa support na Chad.
Yani hadi failed states zinafikiriwa kuliko ubongolala land.
No one cares about shithole Tanzania [emoji23]
[emoji1][emoji1][emoji1] Igwe Magufuri must hear about this!
Ruto10.jpg
 
Nimecheka sana kwa kweli, ila ndio ukweli wenyewe, hawa jamaa hufuatilia sana mambo ya Kenya, haswa siasa zetu, nilikutana na Mtanzania anawajua wabunge wetu hadi wengine ambao huwa sina habari nao kabisa. Yaani mtu anakueleza kuhusu siasa za gatuzi kama Nyandarua, sehemu ambayo hata haijawahi kunijia akilini.
 
Nauliza Burundi inasearch nchi gani? Hio bendera ni ya nchi gani? Maana hio bendera sio ya Tanzania. Nimeshangaa kuona hata Burundi wanawapuuzilia mbali ilhali nyie ndio mumebeba Wakimbizi wao.
 
Give me that source from google.
Wewe bado unawashwa washwa nini? Kubali kuwa nchi nne zinaiwaza Kenya (Rwanda, Tanzania, Uganda na Somalia) ilhali nyie hamna nchi hata moja inayowasearch. Aisee hii ni aibu kubwa, hata Burundi imewakataa. Masikini jameni mnatia huruma.
 
Ha ha ha nilikuwa najiuliza, mdudu gani anafanana na bendera ya kenya?
Ndio hii evidence number 1. Huyu Mtanzania tayari ameshakiri kuwa huwa anawaza kuhusu bendera yetu. Mimi sijawahi kuwaza kuhusu bendera ya Tanzania na sitawahi kupoteza muda wangu kufanya hivyo.
 
Back
Top Bottom