Watanzania wanawakubali CHADEMA juu ya kutetea rasilimali zao kuliko CCM kwa kipindi hiki fukuto likizidi kufukuta

Watanzania wanawakubali CHADEMA juu ya kutetea rasilimali zao kuliko CCM kwa kipindi hiki fukuto likizidi kufukuta

Ukikaa vijiweni, baa au kwenye maofisi ya umma, mjadala ni namna CHADEMA wanavyopambana kulinda rasilimali za Tanzania.

Utasikia watu wakisema nilikuwa naichukia CHADEMA ila kwa hili.

Nilikuwa namchukia Lissu ila kwa hili.

Mwisho kabisa wanakamilisha mjadala kwa kusema. Mama anatumiwa na ... Kuuza rasilimali za Nchi
Hao Chadema wamewahi ongoza Majimbo kibao tuu,labda mtueleze faidia walizowaletea vinginevyo hizo njia njaa tuu za matumbo Yao.
 
Kauli kama hizi ndiyo kamba ya ccm kujinyongea.Pale mnapoishiwa au kuzidiwa katika mijadala,mnasemaga maneno hayahaya...!Dawa yenu ipo jikoni,jiandaeni tu kisaikolojia....!

Acha kunifananisha na hzo takataka CCM
 
Kura hazina maana, wala kura sio zinazotoa viongozi hapa nchini. Hilo zoezi liko kukamilisha tu formalities, lakini viongozi huchaguliwa na kundi dogo la watu ndani ya CCM. Machafuko ama mapinduzi ya kijeshi ndio yataweza kuleta heshima ya kweli ya box la kura.

Ukiona mtu anaenda kupiga kura kwa mazingira haya eti anachagua kiongozi, ujue huyo ni mfaidika wa huo uhuni, ama hajitambui.
Bado una maumivu ya 2020?
 
Narudia tena kwa lugha nyingine, whether uchaguzi uwe huru na haki au vinginevyo, chadema pekee haiwezi kufua dafu mbele ya CCM. Tishio kwa CCM ni moja tu, ''vyama kuunganisha nguvu''

Kuna tabia moja ya ajabu sana ya upinzani nchini, yaani ukishinda kesi mahakamani, hujipiga kifua eti mahakama imetenda haki, lakini ukishindwa kesi utaskia mahakama sio huru.
Pia ukishinda uchaguzi hata Jimbo moja tu hudai uchaguzi ulikua huru na haki, wakishindwa wanadai wameibiwa kura 🤓


Tume ikiwa huru CDM wanabeba mkuu tuache utani, kuna sumu mbaya sn kuhusu CCM kwa sasa
 
Ukikaa vijiweni, baa au kwenye maofisi ya umma, mjadala ni namna CHADEMA wanavyopambana kulinda rasilimali za Tanzania.

Utasikia watu wakisema nilikuwa naichukia CHADEMA ila kwa hili.

Nilikuwa namchukia Lissu ila kwa hili.

Mwisho kabisa wanakamilisha mjadala kwa kusema. Mama anatumiwa na ... Kuuza rasilimali za Nchi
Hili Kaka hata ukutane na Bibi wa kijijini atakwambia. Kiufupi CCM wamecheza karata garasa.
 
Ukikaa vijiweni, baa au kwenye maofisi ya umma, mjadala ni namna CHADEMA wanavyopambana kulinda rasilimali za Tanzania.

Utasikia watu wakisema nilikuwa naichukia CHADEMA ila kwa hili.

Nilikuwa namchukia Lissu ila kwa hili.

Mwisho kabisa wanakamilisha mjadala kwa kusema. Mama anatumiwa na ... Kuuza rasilimali za Nchi
Acha uongo ndugu, waTanzania wengi vinywani mwao kuhusu rasilimali za Taifa wanamtamka Hayati JPM, sisi ndo wakaa vijiweni kuliko udhaniavyo, kabla ya kwenda kazini na baada ya kazi, tena hiyo Chadema inapondwa mbaya tu na wanaonekana wamesha gawanyika watu wa Mbowe na Lisu, narudia vinywa vya wengi vinamtaka JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI
 
Acha uongo ndugu, waTanzania wengi vinywani mwao kuhusu rasilimali za Taifa wanamtamka Hayati JPM, sisi ndo wakaa vijiweni kuliko udhaniavyo, kabla ya kwenda kazini na baada ya kazi, tena hiyo Chadema inapondwa mbaya tu na wanaonekana wamesha gawanyika watu wa Mbowe na Lisu, narudia vinywa vya wengi vinamtaka JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI
Ahaaaa
 
Ukikaa vijiweni, baa au kwenye maofisi ya umma, mjadala ni namna CHADEMA wanavyopambana kulinda rasilimali za Tanzania.

Utasikia watu wakisema nilikuwa naichukia CHADEMA ila kwa hili.

Nilikuwa namchukia Lissu ila kwa hili.

Mwisho kabisa wanakamilisha mjadala kwa kusema. Mama anatumiwa na ... Kuuza rasilimali za Nchi
Yeyote anayetetea rasilimali za nchi bila kujali anatokea wapi ni wa maana sana kwa watanzania.
 
Ukikaa vijiweni, baa au kwenye maofisi ya umma, mjadala ni namna CHADEMA wanavyopambana kulinda rasilimali za Tanzania.

Utasikia watu wakisema nilikuwa naichukia CHADEMA ila kwa hili.

Nilikuwa namchukia Lissu ila kwa hili.

Mwisho kabisa wanakamilisha mjadala kwa kusema. Mama anatumiwa na ... Kuuza rasilimali za Nchi
Ni vyema wanatusaidia kama wananchi lkn pia ukumbuke msimamo wetu tuko nao sisi kama wananchi hivyo hata wao wapo kwa sehem tu lkn mafikirio pia tuko nayo sisi wenye nchi
 
Narudia tena kwa lugha nyingine, whether uchaguzi uwe huru na haki au vinginevyo, chadema pekee haiwezi kufua dafu mbele ya CCM. Tishio kwa CCM ni moja tu, ''vyama kuunganisha nguvu''

Kuna tabia moja ya ajabu sana ya upinzani nchini, yaani ukishinda kesi mahakamani, hujipiga kifua eti mahakama imetenda haki, lakini ukishindwa kesi utaskia mahakama sio huru.
Pia ukishinda uchaguzi hata Jimbo moja tu hudai uchaguzi ulikua huru na haki, wakishindwa wanadai wameibiwa kura 🤓
Kuna chama gani cha kuungana na CDM? vile vyama mamluki?
 
Ni kweli wanatoa picha tuu but they doesn't matter!, wanaomatter ni wapiga kura!

Ndio ukweli wenyewe

Tathmini doesn't matter much, what matters ni decision makers!, tathmini ingekuwa ina ratings hapo tungejali.
Maandalizi ya HGA, yanaendelea
P
Wanaopiga kura ni wananchi...wanaoamua kura ziende kwa nani ni CCM...

So, what matters don't matter any more!
 
Wewe upite kwenye vijiwe vya wajinga wenzio na kuja kuandika uzi kuwa CHADEMA inakubalika.. una akili kweli wewe? Kwenye suala la DP World bora ungemtaja Dr Slaa, Mwabukusi na TEC ambao sio wanachadema. Nyie ni wazee wa kudandia agenda za watu. Hoja zilizotolewa na CHADEMA zilikuwa hazina mashiko. Nakumbuka ni Mbowe tu aliropoka kuhusu Tanganyika na Zanzibar... hakuna mtu yeyote toka CHADEMA aliyeongea la maana. Kitu pekee mlichoongea ni #freemdude na #freemwabukusi.
Chadema, ndio walikuwa wakwanza kuuchambua mkataba na kuanzisha kampeni za kuamsha nchi kuhusiana na mkataba wa DPW! Na hata sasa ndio walio beba agenda kuipeleka kwa Watz!
 
Back
Top Bottom