Pre GE2025 ‘Watanzania wanyonge’ wataka Paul Makonda agombee na kupewa Urais 2030

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Tatizo hueleweki yupi ni Rais ajaye
panapo majaliwa ya Mwenyezi Mungu mwingi wa Rehema na Fadhila ni kuwa .

2025-2030 Rais ni Mheshimiwa Dkt
Mama Samia Suluhu
Hasssan.

Halafu

2030-2040 Rais ni Mwamba
Mwenyewee
Mheshimiwa Paul Christian
Makonda .
 
Kama huna uwelewa na katiba na huelewi hata katiba yetu ipoje .basi huwezi ukaelewa kitu chochote kile kinachoendelea hapa nchini na kwanini kitokee.
 
MImi nazitafuta kwa kutumia jasho langu tena za HALALI huyo Mwizi wa fedha za TASAF unayemtetea amekutumia mwamala.
Acha kuchafua watu wewe kwa kuropoka ropoka uongo na uzushi wako hapa wewe mshamba.
 
Kwahyo wale wengine ni waongo mkuu?
Kwani wapi nimesema kuwa ni waongo. Kila awamu na kitabu chake.awamu zilizopita walifanya kazi kubwa katika kuongeza megawati za umeme hapa nchini. Kumbuka kuwa mahitaji ya umeme hapa nchini yanaongezeka sana kutokana na kuongezeka kwa shughuli za kiuchumi zinazotegemea umeme .ndio maana Mheshimiwa Rais wetu ameamua aharakishe ukamilishaji wa bwawa la mwalimu Nyerere ili lianze kazi haraka sana ya kuzalisha umeme.
 
Kwa akili yako mbilikimo umeona urais ni kitu ya Kupewa kama piping!
Unatafuta mufilisi wa Taifa hili nini!.
Kwendaa huko!!
 
Kwa akili yako mbilikimo umeona urais ni kitu ya Kupewa kama piping!
Unatafuta mufilisi wa Taifa hili nini!.
Kwendaa huko!!
Taifa hili linastahili sana kuongozwa na Makonda baada ya kumalizika uongozi wa Rais Samia Mwaka 2030.
 
Ngoja afanyiwe mpango aone huu uzi wako

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…