Pre GE2025 ‘Watanzania wanyonge’ wataka Paul Makonda agombee na kupewa Urais 2030

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Akili za mataga wanajua wenyewe ni maisha ya kulamba watu naniu zao tu...
Kwanini ni kukosa kazi au??
 
Lucaa , DAB hawezi kuwa rais kutokana na rekodi zake na tuhuma zinazomkabili. Na endapo akiwa rais watu wanaweza ku mjfk
 
Lucaa , DAB hawezi kuwa rais kutokana na rekodi zake na tuhuma zinazomkabili. Na endapo akiwa rais watu wanaweza ku mjfk
Mheshimiwa Paul Makonda ni mtu safi kabisa na ndio maana hakuna mahakama yoyote ile kutoka mahali popote pale iliyowahi kumkuta na tuhuma ya aina yoyote ile.kwa hiyo acha kumchafua Mheshimiwa Makonda
 
Uchapazi kazi uko katika kufanya juu-chini nchi iwe na mfumo bora wa huduma za jamii na uwajibikaji wa viongozi kwa wananchi wao. Matamko ya A kuelezea jinsi alivyopokonywa ardhi na B au C alivyotapeliwa na D siyo suluhisho la matatizo ya Watanzania. Ni watu wangapi wana matatizo na hawawezi kuyasema kwenye hiyo mikutano? Hatutaki maigizo, tunataka mfumo bora wa namna ya kutoa huduma za jamii na uwajibikaji wa viongozi kwa wananchi.
 
Mheshimiwa Paul Makonda ndiye Rais kuanzia 2030
 
Huenda muandishi ni moja ya wale wakimbiz wanaoendelea kutamba humu nchini kinyume na sheria
Mimi siyo mkimbizi wala mababu wa mababu zangu nao siyo wakimbizi. Mimi ni mzalendo wa kweli .hata vita ya uganda 1978-1979 baba yangu amepigana akiwa msitari wa mbele kabisa mpaka dakika ya mwisho. Kwa hiyo unaweza ukaona namna uzalendo wa familia yangu kwa Taifa hili ukiwa katika damu zetu.
 
Ungekuwa mzalendo usingependekeza maliyamungu awe Rais au unataka watanzania wachinjwe kama kuku
 
Wa Tz wapuuz san cc

Wanatafuta watu wakuwatee badala waanze kujijitea wenyew ndio msing wa ujenz wa Taifa baada ya hapo ata ukiw na kiongz lazm atekeleza matakw na sheria na kulend matokeo Chanya ktk Taifa
 
sidhani kama watu wanamtaka lakini jitahidi kumpambania anaweza kuingia ikuru
Mamilioni ya watanzania wana mhitaji sana na kiu kubwa sana ya kuona Mheshimiwa Makonda anaongoza Taifa hili kama Rais wetu.
 
Hata yawe magumu kiasi gani,silambi kiatu cha mkubwa yeyote.
 
Nimesahau nikafungua huu uharo kumbe ni yule guberi asiye na kichwa wala miguu.
Makonda huyu huyu aliyekuwa henchman wa muuaji mkuu ambaye Mungu alimnyakua
Makonda huyu huyu aliyemuua Ben saanane bila kosa
Makonda huyu huyu aliyepigwa Marufuku kutembelea mataifa ya kistaarabu kwa sababu ni muuaji?
Makonda huyu huyu mwizi wa kodi
Unamzungumzia shoga wa GSM ambaye ana jinsia mbili (hemaphrodite).
Je watanzania mko tayari kuwa na kiongozi kama huyu?

Unampendekeza shoga kwa sababu wewe ni towashi uliyehasiwa mwili na akili!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…