Pre GE2025 ‘Watanzania wanyonge’ wataka Paul Makonda agombee na kupewa Urais 2030

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Naona akili yako ina hitaji matibabu ya haraka sana pale hospitali ya Mirembe Dodoma
 
Napata mashaka na uwezo wako wa kufikiri,
Kama huoni tofauti endelea kuishi usubiri siku yako ya mwisho
Wewe unataka wote tufikiri kama wewe nyumbu! Siku inafika ndo ujinga gani? Hao wote wasaka maisha tu pambana kivyako!
Hakuna siku Mbowe atakusaidia chochote zaidi ya familia yake na marafiki zake! Kwa hiyo usijisahau sana maana nyinyi nyumbu mnaamini kila mtu hata kama Jizi kama Mbowe!
 
Naona akili yako ina hitaji matibabu ya haraka sana pale hospitali ya Mirembe Dodoma
Wewe nae umezidii kila siku unaambiwaa huna akilii ila bado huelewii yaanii Mimi ningekuwa rais wajinga Kama wewe ningekupiga risasii hadharanii ili huo ujinga uliokujaa kichwanii ukutokee!!!!
 

 
Una kipaji cha kutunga mashairi, sema mashairi yako yana pumba sana.
 
Hoja hujibiwa kwa hoja na siyo viroja.
Unaelewaa maana ya hoja yaanii wewe hujawahii kuwa na hoja ila unaandikaga ujinga tuu,,,,,Makonda ambaye kupita tuu kwenye kura za maonii za kuwa mbunge CCM alishindwa vibaya Sana halafu aje awe rais kwa akili zake zile au ataazima zinginee!!!
 
Siamini kama unamaanisha mkuu. Huyu huyu Makonda na uraisi wapi na wapi? Mbona atawa nyea vichwani. Kama ukuu wa mkoa tu ulimzuzua na akaunda kikosi cha jeshi la kuvamia Clouds media je akiwa raisi?
 
Ndiyo kakutuma uje utuambie?? Sada sisi Wanyonge tunaona huko ni mbali sana tumpe tu 2025 au vipi??
 
Ndiyo kakutuma uje utuambie?? Sada sisi Wanyonge tunaona huko ni mbali sana tumpe tu 2025 au vipi??
2025-2030 ni mama wa shoka Mama Samia Suluhu Hasssan kumalizia kazi nzuri na kubwa anayoendelea kuifanya kwa sasa.
 
Unaelewaa maana ya hoja yaanii wewe hujawahii kuwa na hoja ila unaandikaga ujinga tuu,,,,,Makonda ambaye kupita tuu kwenye kura za maonii za kuwa mbunge CCM alishindwa vibaya Sana halafu aje awe rais kwa akili zake zile au ataazima zinginee!!!
Kushindwa katika kura za maoni ya ubunge siyo kigezo cha kushindwa Urais. Alitia nia ya ubunge na siyo Urais.
 
Dah! Kwa haya maigizo ya kupanda guta kujustify na kutengeneza per diem (pesa za wajinga), halmashauri ya kichwa chako ishamtunuku the highest national office?. Nahisi una ugonjwa wa kufisha ni bora sasa utafute matibabu.

Yani mshaona kbs urais wa Tanzania ni wa mediocres? Ndo maana nchi haisogei mbele hata nukta moja ni wizi na ufisadi left and right, na viongozi mediocre hawajui cha kufanya, wanajua kukopa tu kufidia wizi waliofanya.

Huo utafiti wa mamilioni umeufanyia wapi? Unaweza kujustify hao mamilioni sio makamasi yako kichwani?

Wandugu nafikiri kumjibu na kuchangia threads za huyu kichaa ni kushindwa kujitofautisha naye na kumpa mileage za kuhorojeka kila siku multiple times, just ignore huyu mdada! Hajavunja ungo bado
 
Kafirane mbele uko
 

Huyu jamaa kuna nchi ni wanted kama jangili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…