Watanzania wapigwa tena na Kampuni ya Upatu ya "Best Capital Management" zaidi ya Bilioni 15

Watanzania wapigwa tena na Kampuni ya Upatu ya "Best Capital Management" zaidi ya Bilioni 15

Kampuni imessjiliwa
Inapata vibali vyote na inaoperate kwa uwazi.

Watu wanaibiwa kwa kutapeliwa

Kwa nini tusiipeleke serikali ICC kwa kutapeli wsnanchi wake?

Hii kampuni ni serikali 100% ndo maana hakuna hatua zitakazochukuliwa.

Majambazi sasa yanatumia ofisi za umma kuwaibia wananchi
Hii michezo huwezi kuelewa kwa vile hakuna close monitoring na watanzania wengi hawana ufahamu.

Mfano serikali inaweza kuwapa vibali ila mnajua vibali gani? kama ni financial ishu lazima wawe subjected to finance act ili wapete vibali kutoka BOT .

sasa wengi mnaonyesha usajili wa kampuni sijui brela na zile namba pale chini hmafuatilii ndo maana bongo cheti ndo kinatambulisha uwezo wa mtu hata kama kichwani ni zero.

unaweza kuta kampuni imesajili kufanya shughuli zake binafsi wakachomekea uwekezaji kwa nia ya kutapeli lazima mpigwe tu😂😂.

Mambo ya uwekezaji yanahitaji kusoma sana sio kukurupuka wacha wapigwe
 
Hizi kampuni huwa wanashirikiana na watumishi wa umma. Kuna kibosile mmoja somebody Katembo naam, kahusika sana hizi mambo.
Wanajua watz wanapenda dezo na wavivu wa maarifa. Nchi hii kupiga ni rahisi sana.
 
Sifa kubwa ya sisi wadanganyika ni Ujinga,ubishi na ujuaji.Kwenye hizo sifa lazima tamaa na kukurupuka havikosekani.Kwahiyo unaposikia kua nchi ina wajinga wengi uelewe.
 
Watanzania sijui watashtuka lini. Lakini hii ni uthibitisho wa fikra za Darwin kwamba hapa Duniani ni eitha uchague kua chakula uliwe ama uchague kua mla chakula.

Siku zote wala chakula hutafta chakula kilichoiva wakile, wakikukuta umejikalia kama chakula kilichoiva lazima utaliwa tu.

Watanzania wakiwemo viongozi wa dini wametapeliwa na kampuni ya Upatu inayoitwa Best Capital Management ambayo ilikua na ofisi pale karibu na Ubalozi wa Marekani.

Kampuni hiyo ili kujiunga ulipaswa kua na mtaji usiopungua milioni 23 kama kianzio. Watu waliweka hadi Bilioni 1.

Mwanzoni mwa uwekezaji, watu walikua wanalipwa faida bila shida ila baadae malipo yakaanza kusua sua, ukienda ofisini hakuna mtu hapo ndio baadhi ya wawekezaji wakakimbia polisi, muwekezaji mkuu akakamatwa na baadhi ya mali kuuzwa na kulipwa wawekezaji lakini idadi kubwa ya wawekezaji wameliwa pesa zao na mmiliki wa makampuni hajulikani alipo

Sijui ni kwa nini watanzania hawabadiliki.

Kabla sijamalizia naomba nitoe ushauri. Kama unataka kuwekeza, nenda kwa kampuni zilizosajiliwa kwenye masoko ya uwekezaji. Pamoja na hilo ujitidhishe vitu vifuatavyo.

1. Iwe ni kampuni iliyosajiliwa na mamlaka zinasosimalia uwekezaji kama Capital Market and Security Authority.

2. Kampuni iwe inaandaa hesabu za wazi(public accounts) na zinandaliwa na mhasibu aliesajiliwa NBAA na pia zinakaguliwa na kampuni iliyosajiliwa NBAA kama kampuni ya ukaguzi. Pia hapa ujiridhishe na uwezo wa kampuni ya ukaguzi, haiwezekani kampuni ina mtaji wa Bilioni 20 ikaguliwe na kampuni ndogo ya ukaguzi. Hapo uwe na mashaka. Taarifa za wahasibu wlaiosajiliwa NBAA na wakaguzi zinapatikana kwenye website ya NBAA.

3. Kampuni iwe inalipa kodi TRA kwa kutumia hesabu ama vitabu vya hesabu. Kampuni yoyote inayofanya biashara halali na inapata faida lazima iwe inaandaa hesabu na zinapelekwa TRA kwa ajili ya makadirio ya kodi.

4. Kampuni inajaza marejeo ya Brela(File Annual returns). Kampuni yoyote inayofanya biashara halali lazima ijaze taarifa muhimu Brela kila mwaka. Taarifa hizi ni muhimu kwa sababu zinakupa picha ya kujua wamiliki, biashara wanayofanya, mabadiliko yoyote ya wamiliki ama wakurugenzi nk. Annual returns za Brela ni tofauti usajili wa Brela. So annual ni bora zaidi.

Hesabu zilizokaguliwa zinakupa picha ya wanachama wangapi, pesa iliyoko bank ni kiasi gani, faida iliyopatikana ni kiasi gani nk.

Uwekezaji usitumie rafiki ama ndugu yako akushauri, tafta wataalamu wa masuala ya fedha wakushauri. Leo hii unaweza kujifunza masuala muhimu ya fedha bila hata kua mhasibu. Unaingia YouTube, google, chat GPT unauliza kwenye vitabu vya hesabu niangalie wapi muhimu na kila unachokiangalia kinakwambia nini utapata majibu.

Usiweke hela yako mahala kwa kutumia ushawishi ama ushauri wa marafiki. Utapoteza pesa na utapata hasara.

Wadau mnaweza kuongeza nini watu waangalie wasijikute wanapigwa na upatu.



View attachment 2572707
Afya ya akili
 
Watanzania sijui watashtuka lini. Lakini hii ni uthibitisho wa fikra za Darwin kwamba hapa Duniani ni eitha uchague kua chakula uliwe ama uchague kua mla chakula.

Siku zote wala chakula hutafta chakula kilichoiva wakile, wakikukuta umejikalia kama chakula kilichoiva lazima utaliwa tu.

Watanzania wakiwemo viongozi wa dini wametapeliwa na kampuni ya Upatu inayoitwa Best Capital Management ambayo ilikua na ofisi pale karibu na Ubalozi wa Marekani.

Kampuni hiyo ili kujiunga ulipaswa kua na mtaji usiopungua milioni 23 kama kianzio. Watu waliweka hadi Bilioni 1.

Mwanzoni mwa uwekezaji, watu walikua wanalipwa faida bila shida ila baadae malipo yakaanza kusua sua, ukienda ofisini hakuna mtu hapo ndio baadhi ya wawekezaji wakakimbia polisi, muwekezaji mkuu akakamatwa na baadhi ya mali kuuzwa na kulipwa wawekezaji lakini idadi kubwa ya wawekezaji wameliwa pesa zao na mmiliki wa makampuni hajulikani alipo

Sijui ni kwa nini watanzania hawabadiliki.

Kabla sijamalizia naomba nitoe ushauri. Kama unataka kuwekeza, nenda kwa kampuni zilizosajiliwa kwenye masoko ya uwekezaji. Pamoja na hilo ujitidhishe vitu vifuatavyo.

1. Iwe ni kampuni iliyosajiliwa na mamlaka zinasosimalia uwekezaji kama Capital Market and Security Authority.

2. Kampuni iwe inaandaa hesabu za wazi(public accounts) na zinandaliwa na mhasibu aliesajiliwa NBAA na pia zinakaguliwa na kampuni iliyosajiliwa NBAA kama kampuni ya ukaguzi. Pia hapa ujiridhishe na uwezo wa kampuni ya ukaguzi, haiwezekani kampuni ina mtaji wa Bilioni 20 ikaguliwe na kampuni ndogo ya ukaguzi. Hapo uwe na mashaka. Taarifa za wahasibu wlaiosajiliwa NBAA na wakaguzi zinapatikana kwenye website ya NBAA.

3. Kampuni iwe inalipa kodi TRA kwa kutumia hesabu ama vitabu vya hesabu. Kampuni yoyote inayofanya biashara halali na inapata faida lazima iwe inaandaa hesabu na zinapelekwa TRA kwa ajili ya makadirio ya kodi.

4. Kampuni inajaza marejeo ya Brela(File Annual returns). Kampuni yoyote inayofanya biashara halali lazima ijaze taarifa muhimu Brela kila mwaka. Taarifa hizi ni muhimu kwa sababu zinakupa picha ya kujua wamiliki, biashara wanayofanya, mabadiliko yoyote ya wamiliki ama wakurugenzi nk. Annual returns za Brela ni tofauti usajili wa Brela. So annual ni bora zaidi.

Hesabu zilizokaguliwa zinakupa picha ya wanachama wangapi, pesa iliyoko bank ni kiasi gani, faida iliyopatikana ni kiasi gani nk.

Uwekezaji usitumie rafiki ama ndugu yako akushauri, tafta wataalamu wa masuala ya fedha wakushauri. Leo hii unaweza kujifunza masuala muhimu ya fedha bila hata kua mhasibu. Unaingia YouTube, google, chat GPT unauliza kwenye vitabu vya hesabu niangalie wapi muhimu na kila unachokiangalia kinakwambia nini utapata majibu.

Usiweke hela yako mahala kwa kutumia ushawishi ama ushauri wa marafiki. Utapoteza pesa na utapata hasara.

Wadau mnaweza kuongeza nini watu waangalie wasijikute wanapigwa na upatu.



View attachment 2572707

Hapo ngoma droo maana hata hao Viongozi wa dini, kazi yao kuwapiga sadaka waumini wao
 
Watanzania ni kupigwa kila kukicha, wanapigwa na wanasiasa, wanapigwa na wafanyakazi mafisadi ofisini na wanapigwa mtaani.

CAG nasema watanzania wanapigwa kila kona, hawajakaa sawa wanapigwa na DECI, KALYA DA, D9, GNLD, OLIFLAME, QMET, ONE COIN, MR KUKU, JATU PLC(huyu jamaa ni smart maana alisajili hadi kampuni kwenye CMSA), sasa wamepigwa tena na BCM.
Ongezea na viongozi wa dini
Huko nako kunakupigwa kama kawaida
 
Watanzania sijui watashtuka lini. Lakini hii ni uthibitisho wa fikra za Darwin kwamba hapa Duniani ni eitha uchague kua chakula uliwe ama uchague kua mla chakula.

Siku zote wala chakula hutafta chakula kilichoiva wakile, wakikukuta umejikalia kama chakula kilichoiva lazima utaliwa tu.

Watanzania wakiwemo viongozi wa dini wametapeliwa na kampuni ya Upatu inayoitwa Best Capital Management ambayo ilikua na ofisi pale karibu na Ubalozi wa Marekani.

Kampuni hiyo ili kujiunga ulipaswa kua na mtaji usiopungua milioni 23 kama kianzio. Watu waliweka hadi Bilioni 1.

Mwanzoni mwa uwekezaji, watu walikua wanalipwa faida bila shida ila baadae malipo yakaanza kusua sua, ukienda ofisini hakuna mtu hapo ndio baadhi ya wawekezaji wakakimbia polisi, muwekezaji mkuu akakamatwa na baadhi ya mali kuuzwa na kulipwa wawekezaji lakini idadi kubwa ya wawekezaji wameliwa pesa zao na mmiliki wa makampuni hajulikani alipo

Sijui ni kwa nini watanzania hawabadiliki.

Kabla sijamalizia naomba nitoe ushauri. Kama unataka kuwekeza, nenda kwa kampuni zilizosajiliwa kwenye masoko ya uwekezaji. Pamoja na hilo ujitidhishe vitu vifuatavyo.

1. Iwe ni kampuni iliyosajiliwa na mamlaka zinasosimalia uwekezaji kama Capital Market and Security Authority.

2. Kampuni iwe inaandaa hesabu za wazi(public accounts) na zinandaliwa na mhasibu aliesajiliwa NBAA na pia zinakaguliwa na kampuni iliyosajiliwa NBAA kama kampuni ya ukaguzi. Pia hapa ujiridhishe na uwezo wa kampuni ya ukaguzi, haiwezekani kampuni ina mtaji wa Bilioni 20 ikaguliwe na kampuni ndogo ya ukaguzi. Hapo uwe na mashaka. Taarifa za wahasibu wlaiosajiliwa NBAA na wakaguzi zinapatikana kwenye website ya NBAA.

3. Kampuni iwe inalipa kodi TRA kwa kutumia hesabu ama vitabu vya hesabu. Kampuni yoyote inayofanya biashara halali na inapata faida lazima iwe inaandaa hesabu na zinapelekwa TRA kwa ajili ya makadirio ya kodi.

4. Kampuni inajaza marejeo ya Brela(File Annual returns). Kampuni yoyote inayofanya biashara halali lazima ijaze taarifa muhimu Brela kila mwaka. Taarifa hizi ni muhimu kwa sababu zinakupa picha ya kujua wamiliki, biashara wanayofanya, mabadiliko yoyote ya wamiliki ama wakurugenzi nk. Annual returns za Brela ni tofauti usajili wa Brela. So annual ni bora zaidi.

Hesabu zilizokaguliwa zinakupa picha ya wanachama wangapi, pesa iliyoko bank ni kiasi gani, faida iliyopatikana ni kiasi gani nk.

Uwekezaji usitumie rafiki ama ndugu yako akushauri, tafta wataalamu wa masuala ya fedha wakushauri. Leo hii unaweza kujifunza masuala muhimu ya fedha bila hata kua mhasibu. Unaingia YouTube, google, chat GPT unauliza kwenye vitabu vya hesabu niangalie wapi muhimu na kila unachokiangalia kinakwambia nini utapata majibu.

Usiweke hela yako mahala kwa kutumia ushawishi ama ushauri wa marafiki. Utapoteza pesa na utapata hasara.

Wadau mnaweza kuongeza nini watu waangalie wasijikute wanapigwa na upatu.



View attachment 2572707

Hao wanaoweka billion ndio wez wenyewe bro stuka. Anaweka kama wewe kumbe yuko nao wanatengeneza mazingira ya kuaminika. Nasema kila cku hii nchi ng'ombe ni wengi kuliko unavyofikiri.
 
Mkuu hii nchi hata ambao unaona wanaakili wanapigwa kizembe mnoo. Kuna wanajeshi flani hivi walipigwa hela Kama milioni kumi hivi kwa haya maswala ya upatu. Ila hata maprofesa na mawaziri wanalizwa Sana pesa na matapeli kwa tamaa zao. Usiwaone wanavaa matai na suti hamna kitu vichwani. Ndoo maaana mkiwatukanaga walimu humu kuwa ni kada ya watu wasiojielewa huwa na cheka Sana. Watanzania wengi uelewa Mdogo Sana.
 
Mkuu hii nchi hata ambao unaona wanaakili wanapigwa kizembe mnoo. Kuna wanajeshi flani hivi walipigwa hela Kama milioni kumi hivi kwa haya maswala ya upatu. Ila hata maprofesa na mawaziri wanalizwa Sana pesa na matapeli kwa tamaa zao. Usiwaone wanavaa matai na suti hamna kitu vichwani. Ndoo maaana mkiwatukanaga walimu humu kuwa ni kada ya watu wasiojielewa huwa na cheka Sana. Watanzania wengi uelewa Mdogo Sana.
Hahaaa hata mi nachekaga sana watu wakitukana walimu eti hawajielewi wakati suala la kutokujielewa ni la watanzania bila kujali kada ,kuna mkurugenzi mmoja wa halmashauri moja ya Dsm aliuziwaga madini feki huku Tanga nikikumbuka nacheka sana
 
Hivi GNLD na FOREVER LIVING bado yapo
Imeshawahi kufanya mfanyakazi mwenzangu akaacha kazi baada ya muda akawa anaishi kwa msoto mkubwa mno.
Haya sio makampuni ya upatu isipokuwa ni makampuni ya kuuzwa madawa ya virutubisho au supplements
 
Back
Top Bottom