Watanzania wapo kwenye njia panda baina ya Kiswahili na Kingereza

Watanzania wapo kwenye njia panda baina ya Kiswahili na Kingereza

Umetumia maneno mengi kueleza kitu kidogo sana, na humo ndani umenilisha maneno.
Kwanza kabisa uandishi wa Kiswahili haupimwi kwenye magazeti maana yanahaririwa, nazungumza kuhusu uandishi wa wengi wenu kwenye shughuli za kawaida hata huku kwenye mitandao, au hata barua za kawaida tu na jumbe zingine.

Halafu kwetu hakuna asiyezungmza Kiswahili, labda mababu wa enzi zilee vijijini, wewe hapo labda unawakatalia kwa kupima wanavyo ongea kwa lafudhi/accent zao, mtu kuongea Kiswahili au Kingereza kwa lafudhi ya asilia yake sio kipimo tosha kwamba hajui hiyo lugha husika. Hili lipo hata kwa Warusi au Wajerumani wakati wanaongea Kingereza, lazima utamskia akiongea kwa kingereza kizuri lakini kwa lafudhi ya kwao. Hata Watanzania ukiwaskia Kingereza huwa wanachomekea ZE ZE ZE nyingi.

Hapo nilisema Kingereza kinaunganisha dunia sikumaanisha ndicho kinatumika kwenye kila nchi, bali ndicho kinawezesha mazungumzo baina ya watu wa matabaka mbali mbali, nikakupa mfano hapo Bongo nilikua na mradi uliowahusu Wamarekani, Mnigera, Wachina, Wahindi, Watanzania hata jamaa kutokea Mauritius na Wasouth-Afrika Kusini lakini hatukutumia Kifaransa wala Kijerumani au Kiswahili ila Kingereza kilituleta pamoja.

Hao Waturuki wanaowafungia reli hamuwasiliani nao kwa Kituruki au Kiswahili ila Kingereza, hata Wachina wanaochimba gesi, wote hamna jinsi ila Kingereza. Kwa hivyo kwako wewe kuwahadaa Watanzania wenzako wakomae na Kiswahili bila kujifunza Kingereza ni kwa manufaa yako binafsi lakini sio hiyo zuga ya uzalendo.


Punguza hisia katika kujenga hoja kama hizi. Ebu jaribu kutumia vizuri uwezo wako wa kufikiri.
Hivi Uzungumzaji na uandishi wa kiswahili wa mwananchi wa kawaida wa Tanzania unaweza kulinganisha na ncgi yoyote katika ukanda huu au hata Afrika na dunia kwa ujumla? Unadiriki kusema majanga wakati Kenya ambao ni moja ya lugha yao ya taifa wanaongea na kuandika kiswahili kibovu sijapata kuona. Ukweli ni kuwa licha ya mapungufu yaliyopo kwenye uandishi na uongeaji wa kiswahili, Tanzania niyo mfadhili na mmiliki wa lugha adhimu ya kiswahili.
 
Too much hubris.
The world is changing. English is where the direction leads.

A farmer in Meru is not expected to speak English, but a businessman in Nairobi is.
The drivers of the world economy speak English. You can bet the 50% of EU that speak English contribute 90% to the GDPs.

The thing with Tanzania, even the upper class that went to reasonably good schools still speak very pathetic English. As a result they avoid it. I had 2 classmates from bongolala from a very prominent political family that I won't name.
Pathetic.

Dont be myopic brother, you still believe the knowledge, civilization and everything are hiden in english language. One can not access them if is not an english speaker. Mungu tusaidie tutoke kwenye utumwa wa akili.
 
Kiswahili is native to Kenya and Tanzania. Kenya is a more popular country of the two countries and if you mention Swahili anywhere in the world, Kenya comes to mind, not Tanzania. And yes, some copy paste: The Swahili tribe is found along the coastal areas of Kenya, as well as Tanzania and Mozambique. They make up less than 1% of the total Kenyan population. Today, the largest populations of Swahili can be found in Zanzibar and Mombasa. So mtu kutoka Mwanza or Arusha kuja kuargue ati ni mswahili kushinda mtu kutoka Lamu ama Malindi ama Mombasa ni nonsense. Those three towns are more Swahili than 99% of Tanzania
You're insane, ati those three towns are more swahili than 99% of Tz, i repeat, you are insane. If not, back up your claim like a sane guy
 
Leta picha za hii midude ambazo zimeandikwa kichina pekee.
Imeandikwa kwa kichina na translation yake ya Kingereza/Kiswahili.
Hawa wachina ni kama wakenya tu, wanaongea lugha mbili.

Nyinyi hata hamuwezi pata kazi nje ya nchi.
Nje ya nchi kufanya nn pumbavu
 
HAKUNA mtanzania anayeogopa kiingereza hata kidogo, ni kwamba tuko aware na our pride ya uafrika so hatuoni sababu ya kuongea lugha za wakoloni. Wale wachina walikuwa wanaandika thesis papers zao na wakataka niwasaidie to correct them because ile paper ilibidi waandike in English. Suala la Somalia haliingiliani hapa japo nimejaribu kukuelewesha ila hauelewi. Wale hawabaguani per say, ila wanagombania madaraka based on clans. Suala la dini liko all over Africa, north Africa ukiwa a Christian you are considered an alien na other parts of Africa both Muslims na Christians wanabaguana, it is what is it.

Kila nchi LAZIMA kuwa na identity yake, ni haibu kujiita mtanzania na kusema damn English is your main language here in Tanzania. Look at you Kenyans, you speak English with a messed up accent si bora hata mngeongea Kikuyu or other local dialects? It's a damn shame kwa kweli.


You nailed it my broda. Mtu ambaye hana exposure kama MK254 hawezi kukuelewa unamaanisha nini. Simlaumu, kwa maana hata mimi mwenyewe nilivyokuwa sijatoka nje ya bara hili, nilifikiri maisha hayawezekeni bila kiingereza. lakini nilivyofika continental europe, scandinavia, south america, asia nikagundua kuwa there is a life outside english. Nikakuta watu wa meeneo hayo wanaendelea na maisha yao kama kawaida kabisa. unaenda kwenye metro ni lugha yao, unaenda kwenye subway ni lugha yao hata kwenye machine za kutolea pesa bado nakuta ni lugha yao, hukuti hata bango moja limeandikwa kwa kiingereza. I wish huyu jamaa atembelee maeneo hayo ili aondokane na kufungwa kiakili kwamba huwezi fanya lolote bila kiingereza.
 
Wajinga ndio waliwao. Hizo China na Japan unataja zina wengi sana wanaoongea kingereza.
Wewe ukiskia kingereza unaona tu England ambayo umesema iko 10,764 kilomita mbali. Huoni hizo nchi za karibu, kama Zimbabwe, Botswana, South Africa etc.
Sasa zimbabwe, botswana kenya mna nn cha ziada kutushinda. Nothing exceptional. Y'all are just poor english speaking people.
 
Hapa Kenya, Kiswahili ni lugha ya taifa. 99% ya biashara zote reja reja, pamoja na day to day conversation huwa kiswahili.
Kingereza ni lugha ya ofisi.
Jifunze kutofautisha.

Kama vile USD ni pesa ya kimataifa. Kenya tunatumia shilingi yetu, lakini biashara ikilazimisha, tunatumia dola.

Nyinyi bongolala mtaishi tu hivo. Lakini ukweli ni kwamba waliojiweza kati yenu wameleta watoto wao wasomee Kenya, ama kuwapeleka shule za kimataifa huko Tanzania.
Watu wanaoleta watoto wao kenya wanazidi kupungua budaboss, enzi hizo zinaisha, viceversa is booming.
 
Hahaha wakenya wanasema nao wanaongea kiswahili......semeni tu watu wa pwani ya kenya ndo wanaongea kiswahili hao wengine waliobaki wanaongea ugoro tu maana mtu kitu anachoongea kachanganya na lugha ya mkoloni hapohapo kuna lugha ya mama yake halaf kdg ndo wanaweka vineno vya kiswahili halafu wanasema wanaongea kiswahili hahahaha
Umesahau na ushuzi unaitwa sheng
 
Umesahau na ushuzi unaitwa sheng
Ndo huohuo halafu wanasema wanaongea kiswahili.......kiswahili hawajui kiingereza chenyewe sio wote wanajua lugha yao ya taifa labda hizo lugha zao za asili
 
HAKUNA mtanzania anayeogopa kiingereza hata kidogo, ni kwamba tuko aware na our pride ya uafrika so hatuoni sababu ya kuongea lugha za wakoloni. Wale wachina walikuwa wanaandika thesis papers zao na wakataka niwasaidie to correct them because ile paper ilibidi waandike in English. Suala la Somalia haliingiliani hapa japo nimejaribu kukuelewesha ila hauelewi. Wale hawabaguani per say, ila wanagombania madaraka based on clans. Suala la dini liko all over Africa, north Africa ukiwa a Christian you are considered an alien na other parts of Africa both Muslims na Christians wanabaguana, it is what is it.

Kila nchi LAZIMA kuwa na identity yake, ni haibu kujiita mtanzania na kusema damn English is your main language here in Tanzania. Look at you Kenyans, you speak English with a messed up accent si bora hata mngeongea Kikuyu or other local dialects? It's a damn shame kwa kweli.

Mmngekua proud na uafrika, mngeanza kwa kukumbatia lugha zenu za asili, lakini wengi wenu hamjui hata salamu kwa lugha zenu. Mnaita ushamba, ukweli wa mambo kingereza kimewashinda na ndio maana mumekiogopa.

Hao Wachina uliokua nao wakiandika thesis in English maana wanatambua umuhimu wake, mamilioni ya Wachina, Wakorea, Warusi, Wahindi n.k. dunia hii wapo mbioni kujifunza kingereza, wewe maskini mswahili hutaki kujiboresha unadanganywa na wakuu wa kwenu ukomae na lugha moja ilhali watoto wao wanatumia kingereza balaa na kunyakua fursa zinazokihitaji.

Leo hii ukienda Urusi, Uchina au hata India inabidi mpatane nao kwa matumizi ya kingereza, sawa wao kwa wao wanatumia lugha zao, lakini ili mpatane au wawasialiane na wageni, kingereza kinatumika sana.

Mngekua mumejisimamia kiviwanda labda ningeelewa hilo la kukomalia lugha moja, lakini hadi chupi na nguo za ndani na sindano vyote mnaagiza, halafu kiuzembe hamtaki kujifunza lugha za hao mnaagiza kutoka kwao, mnaishia maisha ya tabu sana maana vitu vyote vinakuja vimeandikwa kwa lugha yao. Na ndio maana huwa mnaliwa sana kwenye raslimali za nchi, mikataba imeandikwa kwa kingereza, tena zenye kurasa nyingi sana na mlivyo wavivu wa kusoma hadi huruma....

Nimekuambia na narudia tena, Somalia nimeitaja kama mfano kwako kwamba ubaguzi unaweza kuja kwa kutumia vyanzo vingine nje ya lugha. Watu wanaweza kutumia lugha moja lakini wakabaguana na kupigana kwa misingi ya kiukoo, rangi ya ngozi n.k. Somalia sio vita vya madaraka tuu, kuna koo hazioani kabisa, na huajiriwi kwenye hoteli zinazomilikiwa na mtu wa ukoo fulani kisa ukoo wako huwa hauendani na ukoo wake. Kama hujaelewa hapo basi sitoweza kukusaidia.
 
Too much hubris.
The world is changing. English is where the direction leads.

A farmer in Meru is not expected to speak English, but a businessman in Nairobi is.
The drivers of the world economy speak English. You can bet the 50% of EU that speak English contribute 90% to the GDPs.

The thing with Tanzania, even the upper class that went to reasonably good schools still speak very pathetic English. As a result they avoid it. I had 2 classmates from bongolala from a very prominent political family that I won't name.
Pathetic.
English era is coming to its end, usa states kama california sasa hivi spanish is taking over, eu ushapewa data na mkikuyu za 2016, its lower now in 2018. Only mental slaves like you and your kinds think english is still superior
 
Punguza hisia katika kujenga hoja kama hizi. Ebu jaribu kutumia vizuri uwezo wako wa kufikiri.
Hivi Uzungumzaji na uandishi wa kiswahili wa mwananchi wa kawaida wa Tanzania unaweza kulinganisha na ncgi yoyote katika ukanda huu au hata Afrika na dunia kwa ujumla? Unadiriki kusema majanga wakati Kenya ambao ni moja ya lugha yao ya taifa wanaongea na kuandika kiswahili kibovu sijapata kuona. Ukweli ni kuwa licha ya mapungufu yaliyopo kwenye uandishi na uongeaji wa kiswahili, Tanzania niyo mfadhili na mmiliki wa lugha adhimu ya kiswahili.
Nenda hata kwa comment section ya miziki ya bongo, utakuta wenyewe wanasema watz wana kiswahili sanifu.
Huyu mbulula inakaa hujamzoea, hawezi punguza hisia kwenye mada kama hizi.
Unatwanga maji kwenye kinu hapo mkuu.
 
You nailed it my broda. Mtu ambaye hana exposure kama MK254 hawezi kukuelewa unamaanisha nini. Simlaumu, kwa maana hata mimi mwenyewe nilivyokuwa sijatoka nje ya bara hili, nilifikiri maisha hayawezekeni bila kiingereza. lakini nilivyofika continental europe, scandinavia, south america, asia nikagundua kuwa there is a life outside english. Nikakuta watu wa meeneo hayo wanaendelea na maisha yao kama kawaida kabisa. unaenda kwenye metro ni lugha yao, unaenda kwenye subway ni lugha yao hata kwenye machine za kutolea pesa bado nakuta ni lugha yao, hukuti hata bango moja limeandikwa kwa kiingereza. I wish huyu jamaa atembelee maeneo hayo ili aondokane na kufungwa kiakili kwamba huwezi fanya lolote bila kiingereza.
Huyu kafika Tz tu, ndio exposure alonayo.
 
Punguza hisia katika kujenga hoja kama hizi. Ebu jaribu kutumia vizuri uwezo wako wa kufikiri.
Hivi Uzungumzaji na uandishi wa kiswahili wa mwananchi wa kawaida wa Tanzania unaweza kulinganisha na ncgi yoyote katika ukanda huu au hata Afrika na dunia kwa ujumla? Unadiriki kusema majanga wakati Kenya ambao ni moja ya lugha yao ya taifa wanaongea na kuandika kiswahili kibovu sijapata kuona. Ukweli ni kuwa licha ya mapungufu yaliyopo kwenye uandishi na uongeaji wa kiswahili, Tanzania niyo mfadhili na mmiliki wa lugha adhimu ya kiswahili.

Wacha kujificha kwenye mambo ya hisia, hapa tunaambizana ukweli.
Nilichokua nasema na narudia, nyie mumefungwa kwenye lugha moja ambayo wengi wengi hamjaimudu kiuandishi, hivyo mnakua kama mateka fulani hivi, maana huwa kama mumechanganyikiwa vile, mnaazisha mtoto wa saint Kayumba kwa Kiswahili kwenye elimu ya msingi, halafu kisha mnakuja kumchanganya na Kingereza pale anapojiunga na shule ya upili.

Sisi Kiswahili ni lugha yetu ya taifa, lakini pia tumetambua hakiwezi kukidhi kila kitu maana bado sana kwenye uboreshwaji wake, hauwezi kukilinganisha kwa mfano na Kichina ambacho kimetumika kiviwanda mamia ya miaka iliyopita. Hivyo tumekumbatia na kutumia Kingereza maana dunia yote sasa hivi ujanja wa kutumia lugha za kimataifa unakuwezesha kwenye mambo mengi.

Lakini zaidi ya yote, sisi hatujatelekeza lugha zetu za asili, mimi hapa naongea Kikikuyu tena kwa ufasaha, naimba nyimbo zetu za kitamaduni, na pia nimejifunza lugha zingine zetu kama vile Kiluhya, Kikamba na pia Kijaluo japo kidogo. Hata hivyo kila siku napambana kuboresha uwezo wangu wa kuongea na kuandika Kingereza na Kiswahili maana nazitumia kibiashara. Kuna kipindi nilikua nimeanza kujifunza Kifaransa ila nikakosa watu wa kunisaidia kufanya mazoezi.
 
wako wanasema amna vitabu vya elimu ya juu ya vya kiswahili lakini vipo vitabu vingi sana vya kiswahili vya sayansi na ni vya elimu ya juu ila wengi wa 254 wanadhani mjadara huu ni kwaajiri ya kuweka tabaka la tajiri na masikini lakini awajui asimia kubwa ya watanzania wanasoma lugha tofauti na hata kichina wanachosema wao 254 wanaongea hata uku ni hivyo hivyo kama uku akina wingi wa watumiaji

labda niwaambie majirani zetu kwa sasa tupo katika mikakati mikubwa ya maendeleo na hata kayumba wakitumia kiswahili bado uchumi unawaruhusu kimaendeleo maana watumiaji wa lugha ni wengi duniani

majirani msitukwamishe sisi atutaki kugeuka jiwe
 
Mmngekua proud na uafrika, mngeanza kwa kukumbatia lugha zenu za asili, lakini wengi wenu hamjui hata salamu kwa lugha zenu. Mnaita ushamba, ukweli wa mambo kingereza kimewashinda na ndio maana mumekiogopa.

Hao Wachina uliokua nao wakiandika thesis in English maana wanatambua umuhimu wake, mamilioni ya Wachina, Wakorea, Warusi, Wahindi n.k. dunia hii wapo mbioni kujifunza kingereza, wewe maskini mswahili hutaki kujiboresha unadanganywa na wakuu wa kwenu ukomae na lugha moja ilhali watoto wao wanatumia kingereza balaa na kunyakua fursa zinazokihitaji.

Leo hii ukienda Urusi, Uchina au hata India inabidi mpatane nao kwa matumizi ya kingereza, sawa wao kwa wao wanatumia lugha zao, lakini ili mpatane au wawasialiane na wageni, kingereza kinatumika sana.

Mngekua mumejisimamia kiviwanda labda ningeelewa hilo la kukomalia lugha moja, lakini hadi chupi na nguo za ndani na sindano vyote mnaagiza, halafu kiuzembe hamtaki kujifunza lugha za hao mnaagiza kutoka kwao, mnaishia maisha ya tabu sana maana vitu vyote vinakuja vimeandikwa kwa lugha yao. Na ndio maana huwa mnaliwa sana kwenye raslimali za nchi, mikataba imeandikwa kwa kingereza, tena zenye kurasa nyingi sana na mlivyo wavivu wa kusoma hadi huruma....

Nimekuambia na narudia tena, Somalia nimeitaja kama mfano kwako kwamba ubaguzi unaweza kuja kwa kutumia vyanzo vingine nje ya lugha. Watu wanaweza kutumia lugha moja lakini wakabaguana na kupigana kwa misingi ya kiukoo, rangi ya ngozi n.k. Somalia sio vita vya madaraka tuu, kuna koo hazioani kabisa, na huajiriwi kwenye hoteli zinazomilikiwa na mtu wa ukoo fulani kisa ukoo wako huwa hauendani na ukoo wake. Kama hujaelewa hapo basi sitoweza kukusaidia.
Kiswahili ndo lugha yetu ya asili sisi kama Taifa asili yetu ndio hio
 
English era is coming to its end, usa states kama california sasa hivi spanish is taking over, eu ushapewa data na mkikuyu za 2016, its lower now in 2018. Only mental slaves like you and your kinds think english is still superior

So English is coming to an end, paving way for the world to embrace Kiswahili. Mshenzi wewe.
And if you want to prove you're not a mental slave, remove those western clothes you're wearing and wear what African used to wear.
 
Watu wanaoleta watoto wao kenya wanazidi kupungua budaboss, enzi hizo zinaisha, viceversa is booming.

Sasa wanapeleka watoto wao international schools huko Tanzania ili wafunzwe kingereza.
Nyinyi wa saint kayumba mbaki tu bongolala.
 
Back
Top Bottom