Watanzania wasiokula bia au kilevi wana roho mbaya sana. Ukiwa nao makazini au unapoishi kuwa makini

Watanzania wasiokula bia au kilevi wana roho mbaya sana. Ukiwa nao makazini au unapoishi kuwa makini

Inferiority complex tu inakusumbua!

Stress zako za kutumia hela vibaya baada ya kulewa unakuja kuwashika uchawi wasiokunywa pombe,sisi siyo wachawi nakushauri usinywee pombe bar beba kanywee ghetto hutakaa umuone mtu mbaya.kinaku-cost wewe pombe za makundi.
 
Kwani Walokole mnasemaje kwa hili. Ninywe beer zangu nipige supu ya Kongoro nirudi kwa mke wangu nikalale. Eti naambiwa dhambi. Kwani nyinyi mna maoni gani kwa case kama hii yangu, sielewi hapo dhambi inakujaje.
 
Wengi ni watu wasiojiamini.

Wakiwa makazini ni watu wa fitina na majungu.

Wanaamini sana uchawi na ushirikina.

Ukiwa nao mahala unaishi nao kuwa makini.

Ukiwa nao mahala unafanya nao kazi kuwa makini.

Hawafai kabisa
Naona walevi mnafarijiana.
 
Lakini kwa majungu hamjambo!
Hii ni tabai ya Walevi welio wengi, hata kama ulevi humpelekea kuishi vibaya, Ukimshauri akiwa hajanywa, atakuaukiliza tena kuitikia unayomshauri.
Sasa akishakunywa tu, huanza kukusema haaa akiwa amekaa na mlevi mwenzie anaekujua, atakuaema kuwa unajifanya unayajua maisha sana, kumshauri yeye wakati hakutegemei wewe, fala yule mbona yeye mwenyewe hana gari, au baiskeli.

Ila kesho akiharibikiwa, huwa mnyonge, na kuona waliokua wanamshauri Wachawi, kumbe ni njia ya kuwakwepa, Wasimlaumu kutokana na matokea ya ulevi.
Kumbuka nimeandika kuhusu walevi wa pombe, siyo wanywaji.
 
Aaaah.....uchawi tumefundishwa na mama zetu, achana na sisi.
 
Mi sinywi pombe,ila sehemu za pombe ndio maeneo yangu ya burudani,pombe nanunua watu wanakunywa na mbususu naenda kutafuna.
Kila mtu na starehe yake bwana.
 
Hela zao zinaishia kwa waganga..! Uchawi hauendi kwa mlevi..sasa mwili upo upo tu haujawahi hata kuumwagilia moyo unategemea nini? Tafiti zinaonesha wanaotumia vilevi huwa na uwezo mkubwa sana wa kufikiria..🤣
uwezo wa kufikiria sababu ya kilaji!?? damn, kama huna huna tu
 
Back
Top Bottom