wambagusta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2014
- 2,825
- 2,292
Oya kweli hasa wale wasiokuwa na elimu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ukiwa hunywi wanakushangaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mimi ninachoshangaa watanzania wengi tunadhani pombe ndo starehe pekee.
Mmmh sio nyie kwa majungu ndio hamjambo? Maana kazini huwa hakuna pombe ni kazi kwa kwenda mbele labda kama uwe manager wa bar au mhudumu, sasa nyie mpaka mnapata muda wa kufuatilia nani anaekunywa pombe na nani hanywi (hii sasa ndio majungu)Lakini kwa majungu hamjambo!
Kumbuka nimeandika kuhusu walevi wa pombe, siyo wanywaji.Hii ni tabai ya Walevi welio wengi, hata kama ulevi humpelekea kuishi vibaya, Ukimshauri akiwa hajanywa, atakuaukiliza tena kuitikia unayomshauri.
Sasa akishakunywa tu, huanza kukusema haaa akiwa amekaa na mlevi mwenzie anaekujua, atakuaema kuwa unajifanya unayajua maisha sana, kumshauri yeye wakati hakutegemei wewe, fala yule mbona yeye mwenyewe hana gari, au baiskeli.
Ila kesho akiharibikiwa, huwa mnyonge, na kuona waliokua wanamshauri Wachawi, kumbe ni njia ya kuwakwepa, Wasimlaumu kutokana na matokea ya ulevi.
Kumbuka nimeandika kuhusu walevi wa pombe, siyo wanywaji.
Nyie wanywa pombe mkiangusha magari laiti mngejua mnayofanywa watu washahama mitaa na mikoa kisa Pombe hlf unishauri ninywe !!Wengi ni watu wasiojiamini.
Wakiwa makazini ni watu wa fitina na majungu.
Wanaamini sana uchawi na ushirikina.
Ukiwa nao mahala unaishi nao kuwa makini.
Ukiwa nao mahala unafanya nao kazi kuwa makini.
Hawafai kabisa
Halafu mimi nashangaa hawa walevi kutwa kujishtukia utafikiri wanaoga nje!🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mimi ninachoshangaa watanzania wengi tunadhani pombe ndo starehe pekee.
Akikuona unakunywa bia anaanza kukupigia hesabu za bia kwa siku, kwa mwezi,kwa mwaka!!!!Eti huyu jamaa anakunywa nyumba kwa mwaka wakati yeye mnywa soda huyo ni mwaka wa kumi hata kiwanja hana sijui anazotunza zinapotelea wapi,wana fitina sana washenzi hawaWengi ni watu wasiojiamini.
Wakiwa makazini ni watu wa fitina na majungu.
Wanaamini sana uchawi na ushirikina.
Ukiwa nao mahala unaishi nao kuwa makini.
Ukiwa nao mahala unafanya nao kazi kuwa makini.
Hawafai kabisa
Una mpemba mmoja. 100% ya sampuli yako.Kweli kabisa na mpemba mmoja ofisini
Ana roho mbaya sana.
Utalimia meno kudadeki zakoOgopa Sana mtu pombe hanywi, bange havuti sigara havuti ogopa Sana huyo mtuu!!!
Kuna jamaa tupo nae kitaa anakunywa pombe mpk haoni mbele,mke wake analiwa tu ovyo.Wengi ni watu wasiojiamini.
Wakiwa makazini ni watu wa fitina na majungu.
Wanaamini sana uchawi na ushirikina.
Ukiwa nao mahala unaishi nao kuwa makini.
Ukiwa nao mahala unafanya nao kazi kuwa makini.
Hawafai kabisa
Unajua origin ya mchawa ni kwenye Pombe je uchawa sio unafiki?Wengi ni watu wasiojiamini.
Wakiwa makazini ni watu wa fitina na majungu.
Wanaamini sana uchawi na ushirikina.
Ukiwa nao mahala unaishi nao kuwa makini.
Ukiwa nao mahala unafanya nao kazi kuwa makini.
Hawafai kabisa