Watanzania watakujaza 'Upepo' kuisema Serikali ila ukikamatwa tu wanakuacha peke yako

Watanzania watakujaza 'Upepo' kuisema Serikali ila ukikamatwa tu wanakuacha peke yako

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Ndiyo maana GENTAMYCINE ninachokiangalia ni mimi kula ugali, maharage na dagaa wangu, kuwa na kipato cha kawaida kikibahatisha kuwepo, amani yangu ya moyo, kula bata kama zikinitembelea na kumuabudu na kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa hii zawadi yake tukuka ya huu uhai wangu.

Kwa nchi za Afrika, watawala wake na uongozi wake ukijifanya kuwa mwanaharakati na kiherehere (Waganda wanasema Lugezigezi) ili utafute sifa kwa watu jua unakitafuta kifo au kifungo au usumbufu na ukikamatwa jua hilo ni lako na familia yako na hata koo zako zote mbili.

Imeisha hiyo!
 
Ndiyo maana GENTAMYCINE ninachokiangalia ni Mimi Kula Ugali, Maharage na Dagaa wangu, kuwa na Kipato cha Kawaida kikibahatisha kuwepo, Amani yangu ya Moyo, Kula Bata kama zikinitembelea na Kumuabudu na Kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa hii Zawadi yake Tukuka ya huu Uhai wangu.

Kwa nchi za Afrika, Watawala wake na Uongozi wake ukijifanya kuwa Mwanaharakati na Kiherehere ( Waganda wanasema Lugezigezi ) ili utafute Sifa kwa Watu jua unakitafuta Kifo au Kifungo au Usumbufu na Ukikamatwa jua hilo ni lako na Familia yako na hata Koo zako zote Mbili.

Imeisha hiyo....!!
 
F3jgOTWXUAAbCBJ.jpeg
 
Ndiyo maana GENTAMYCINE ninachokiangalia ni Mimi Kula Ugali, Maharage na Dagaa wangu, kuwa na Kipato cha Kawaida kikibahatisha kuwepo, Amani yangu ya Moyo, Kula Bata kama zikinitembelea na Kumuabudu na Kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa hii Zawadi yake Tukuka ya huu Uhai wangu.

Kwa nchi za Afrika, Watawala wake na Uongozi wake ukijifanya kuwa Mwanaharakati na Kiherehere ( Waganda wanasema Lugezigezi ) ili utafute Sifa kwa Watu jua unakitafuta Kifo au Kifungo au Usumbufu na Ukikamatwa jua hilo ni lako na Familia yako na hata Koo zako zote Mbili.

Imeisha hiyo....!!
 
Ndiyo maana GENTAMYCINE ninachokiangalia ni Mimi Kula Ugali, Maharage na Dagaa wangu, kuwa na Kipato cha Kawaida kikibahatisha kuwepo, Amani yangu ya Moyo, Kula Bata kama zikinitembelea na Kumuabudu na Kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa hii Zawadi yake Tukuka ya huu Uhai wangu.

Kwa nchi za Afrika, Watawala wake na Uongozi wake ukijifanya kuwa Mwanaharakati na Kiherehere ( Waganda wanasema Lugezigezi ) ili utafute Sifa kwa Watu jua unakitafuta Kifo au Kifungo au Usumbufu na Ukikamatwa jua hilo ni lako na Familia yako na hata Koo zako zote Mbili.

Imeisha hiyo....!!
we jamaa hujawahi kuwa na akili toka umezaliwa! hopeless


YESU NI BWANA NA MWOKOZI
 
Watanzania na mambo ya vurugu wapi na wapi? Hao wenye nguvu wanasema wamekamata hao wanaowapa nakoz za uso, wanaendelea kusema kuwa watakamata wengine tena watakaoibuka kuwapa za uso. Kunguru muoga huokoa mbawa zake za kurukia, ya nini kutimbana na nguvu za dola? Wacha wauze bandari watakavyo na watuingize utumwani, kujikomboa ni lazima wala hakuna na hatakuwepo wa kuzuia ukombozi wakati wowote wa kujikombo ukifika
 
Ndiyo maana GENTAMYCINE ninachokiangalia ni Mimi Kula Ugali, Maharage na Dagaa wangu, kuwa na Kipato cha Kawaida kikibahatisha kuwepo, Amani yangu ya Moyo, Kula Bata kama zikinitembelea na Kumuabudu na Kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa hii Zawadi yake Tukuka ya huu Uhai wangu.

Kwa nchi za Afrika, Watawala wake na Uongozi wake ukijifanya kuwa Mwanaharakati na Kiherehere ( Waganda wanasema Lugezigezi ) ili utafute Sifa kwa Watu jua unakitafuta Kifo au Kifungo au Usumbufu na Ukikamatwa jua hilo ni lako na Familia yako na hata Koo zako zote Mbili.

Imeisha hiyo....!!
Uko sahihi.. charismatic fella...Yani watu wanafiki Sana..hata wanao shinikiza maandano..wana andamania ndani ya mablanketi mazito mazito na mvunguni mwa kitanda
 
Back
Top Bottom