Ganda Mweri
JF-Expert Member
- Mar 8, 2018
- 303
- 887
Nimekaa lupango zaidi ya safari 4, nadhani Nina Hilo tatizo la kutokuvumilia ujinga. Hata kazini Huwa nakosana sana na hao wanaojiita wakubwa kisa kusema ukweli .Haujakamatwa brother...upo na familia yako