Watanzania watakujaza 'Upepo' kuisema Serikali ila ukikamatwa tu wanakuacha peke yako

Watanzania watakujaza 'Upepo' kuisema Serikali ila ukikamatwa tu wanakuacha peke yako

Ndiyo maana GENTAMYCINE ninachokiangalia ni Mimi Kula Ugali, Maharage na Dagaa wangu, kuwa na Kipato cha Kawaida kikibahatisha kuwepo, Amani yangu ya Moyo, Kula Bata kama zikinitembelea na Kumuabudu na Kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa hii Zawadi yake Tukuka ya huu Uhai wangu.

Kwa nchi za Afrika, Watawala wake na Uongozi wake ukijifanya kuwa Mwanaharakati na Kiherehere ( Waganda wanasema Lugezigezi ) ili utafute Sifa kwa Watu jua unakitafuta Kifo au Kifungo au Usumbufu na Ukikamatwa jua hilo ni lako na Familia yako na hata Koo zako zote Mbili.

Imeisha hiyo....!!
Akili tu mtu wangu.
 
Kuna maandamo flani hivi yalihuburiwa sana kule X, kufika siku ya tukio binafsi niliona picha ya polisi wamekamata vijana wakike kwa wakiume wasiozidi watano na ndio waliojitokeza front, basi ndani ya akili yangu nika draw my own conclusion ambayo nitaendelea kuiamini sana kuhusu pande zote mbili, yaani $ na ile pande ambayo ni against $ alafu nikajifunza nifanye tu kazi zangu kwa bidii
 
Ndiyo maana GENTAMYCINE ninachokiangalia ni Mimi Kula Ugali, Maharage na Dagaa wangu, kuwa na Kipato cha Kawaida kikibahatisha kuwepo, Amani yangu ya Moyo, Kula Bata kama zikinitembelea na Kumuabudu na Kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa hii Zawadi yake Tukuka ya huu Uhai wangu.

Kwa nchi za Afrika, Watawala wake na Uongozi wake ukijifanya kuwa Mwanaharakati na Kiherehere (Waganda wanasema Lugezigezi) ili utafute Sifa kwa Watu jua unakitafuta Kifo au Kifungo au Usumbufu na Ukikamatwa jua hilo ni lako na Familia yako na hata Koo zako zote Mbili.

Imeisha hiyo!
Ndio maana wewe si mwanaharakati. Mwanaharakati ni mtu anayeamini kwamba msimamo wake ni sahihi, hafanyi kwa kutafuta sifa au kupendwa na watu. Wanaharakati wengi wanazaliwa na vipaji hivyo - wapo tayari kujitoa mhanga ili kufanikisha kile wanacho amini au kudai haki yao.
 
CLAUDE HENRY YOU ARE RIGHT. UANARAKATI UZALIWA KURIDHISHWA. KUNA WATU HAWAWEZI KUONA MAOVU YANATENDEKA WAKAVUMILIA. NDIO MAANA WAMASAI NI KABILA AMBALO HAWAKUPELEKWA UTUMWANI. TUSIBEZE AMBAO WANATETEA WANACHOKIAMINI.
 
Back
Top Bottom