Mkuu, it seems huko Kenya mnakula sana kuku asee. Nilipitaka kwenye mabanda ya chips na hotels huku bongo naonana kuku wengi sana. Sasa sipati picha huko Naii...itabidi nije kula hako maana wanaweza kuwa cheap zaidi maana mna zalisha wengi so obvious price yenu itakuwa chini.
Ni mitaa gani hapo Naii wanakula sana hawa kuku nifanye ka ziara ka fupi?
Mbona ng'ombe za Rwanda zinakula sana kwenye misitu yetu na hatufanyi loloteSerikali ya awamu hii sio yakuibeep kabisa watu inabidi tubadilike,ukiambiwa acha basi ujue wana maanisha kweli uache na ukikaidi basi ujue utapigwa tu.
Kazikamate uzipige mnada, kwani wewe sio mtanzania?, changamkia fursa hiyo ya ng'ombe za wanyarwanda, acha kuzubaa weweMbona ng'ombe za Rwanda zinakula sana kwenye misitu yetu na hatufanyi lolote
Kwani hivyo vifaranga ni wananchi wanachangamkia kuvitia moto?Kazikamate uzipige mnada, kwani wewe sio mtanzania?, changamkia fursa hiyo ya ng'ombe za wanyarwanda, acha kuzubaa wewe
Sasa kama ni serikali subiri itafanya kazi yake kwa wakati itakapoona inafaa, wewe endelea na kazi zako hupaswi kuisimamia na kuwaambia lini wafanye nini.Kwani hivyo vifaranga ni wananchi wanachangamkia kuvitia moto?
Mbona ng'ombe za Rwanda zinakula sana kwenye misitu yetu na hatufanyi lolote
Kwani hivyo vifaranga ni wananchi wanachangamkia kuvitia moto?
Kwanini vifaranga vya Kenya imefaa mapema sana?Sasa kama ni serikali subiri itafanya kazi yake kwa wakati itakapoona inafaa, wewe endelea na kazi zako hupaswi kuisimamia na kuwaambia lini wafanye nini.
Hahahahahaha braaaavv.. I'm back, I'm back!!Hahahaa,
I missed this type of Fisadi..(ulipoa sana)
Your sense of Belligerency never cease to amaze me!
Wewe umejuaje kama ni mapema?,Kwanini vifaranga vya Kenya imefaa mapema sana?
Kwasababu umesema kule Rwanda tuendelee kusubiri mpaka watakapoamua..Wewe umejuaje kama ni mapema?,
Somebody please translate for me what this African is saying.Hahahaa,
I missed this type of Fisadi..(ulipoa sana)
Your sense of Belligerency never cease to amaze me!
Sasa mimi kwangu hata hivi vifaranga pia walisubiri, kama wanavyosubiri ng'ombe za Rwanda, kila kitu kina wakati wake, wakati wa vifaranga ulifika juzi, tusubirie wakati wa ng'ombe za RwandaKwasababu umesema kule Rwanda tuendelee kusubiri mpaka watakapoamua..
Please keep up this vibe sasa!Hahahahahaha braaaavv.. I'm back, I'm back!!
Tatizo la ng'ombe wa Rwanda limeanza leo? Au zile ng'ombe 5 tulizopewa ilikuwa ni hongo ili misitu yetu iwe sehemu za malisho yao?Sasa mimi kwangu hata hivi vifaranga pia walisubiri, kama wanavyosubiri ng'ombe za Rwanda, kila kitu kina wakati wake, wakati wa vifaranga ulifika juzi, tusubirie wakati wa ng'ombe za Rwanda
Not to worry brav..Please keep up this vibe sasa!
Tatizo la ng'ombe wa Rwanda limeanza leo? Au zile ng'ombe 5 tulizopewa ilikuwa ni hongo ili misitu yetu iwe sehemu za malisho yao?
Vyovyote vile utakavyofikiria wewe ni sawa kwasababu akili ni zako, ila jua kwamba serikali inafanya vile inavyoona inafaa bila msukumo wa mtu yeyote, ni sio lazima kila mtu akubaliane na utendaji wa serikali.Tatizo la ng'ombe wa Rwanda limeanza leo? Au zile ng'ombe 5 tulizopewa ilikuwa ni hongo ili misitu yetu iwe sehemu za malisho yao?
Vipi kuhusu Lowassa? Bernard sikumtaka, ingawa angepata kwangu kungekuwa na benefit kubwa sanaHivi unajua Mzee Benard Membe angekuwa Raisi sasa hivi tungekuwa vitani tunatwangana na jirani yoyote!
Yaani wakina Raisi Kagame walikuwa wanaombea asipite hata kwenye ngazi ya Chama..
Sasa kwanini mnatupangisha line kuwachagua kama mkipata mawazo yetu sio lolote kwenu?Vyovyote vile utakavyofikiria wewe ni sawa kwasababu akili ni zako, ila jua kwamba serikali inafanya vile inavyoona inafaa bila msukumo wa mtu yeyote, ni sio lazima kila mtu akubaliane na utendaji wa serikali.
Kwasababu wajinga ndio waliwao[emoji38] [emoji38]Sasa kwanini mnatupangisha line kuwachagua kama mkipata mawazo yetu sio lolote kwenu?