Watanzania watia moto vifaranga wengine 5,000 kutoka Kenya

Watanzania watia moto vifaranga wengine 5,000 kutoka Kenya

Lengo ni kutaka kukuonyesha kwamba Tanzania inaweza kuifanya Kenya vyovyote vile na Kenya haiwezi kulipiza wala kufanya lolote dhidi ya Tanzania.
Kenya inahusikaje Hapa? Vifaranga ni vya mtanzania amevinunua.
 
Magendo ndio uchome?! Bora wangezigawa mashuleni watoto wakafuga kwenye poultry zao na at the same time wanapata kitoweo
Sheria ndivyo inavyosema tokea vipigwe marufuku 2007 kutokana na mlipuko wa mafua ya ndege, vibali havitolewi tena vikikamatwa vinateketezwa ndivyo sheria inavyosema.
 
Nchi yetu inafuata sheria ilizojiwekea, haindeshwi kwa kutumia rushwa au ukabila kama nchi yenu, ndiyo sababu hatuna rushwa, hatuna ukabila, hatuna matatizo ya mauaji ya kinyama kama Kenya, hatuna njaa, hatuna shida ya ajira kama Kenya, uchumi unakua kwa kasi kubwa na vitu vingi vinaenda vizuri.

Kenya kutokana na ukabila wenu na roho mbaya zenu, watu wachache wanamiliki uchumi wote, waliowengi wanabaki katika umadikini wa kutupwa, nchi linanuka rushwa na mnauana kama wanyama wa porini.Maisha ya wakenya na wanyama kule Serengeti National park hayana tofauti, mwenye nguvu anachukua kila kitu, sera zenu za kibepari ndizo zilizofanya ukoo wa Jommo Kenyatta ukachukua ardhi yote, mliobaki mnabaki kuwa majambazi mnavuka mpaka na kuja kutuvunjia Bank zetu huku Tanzania.

Nchi gani ambayo uwezo wa watu kujenga hoja ni mdogo, miaka 54…baada ya kupata uhuru bado hamna uwezi wa kujitosheleza kwa chakula watu wanakufa kwa njaa?, hata maji ya kunywa pia ni shida, mnabaki kuitegemea Tanzania kwa chakula. Kenya is very uncivilized state. Kenya ipo kundi moja na Afghanstan, Syria, Yemen na South Sudan as a failed state.
Kenya ranked as 'failed state'
 
Ni ngumu kuzuia biashara ya magendo hasa kwa mfanyabiashara mzoefu wa magendo.

Hapo ujue vifaranga vinavuka kila siku maelfu kwa maelfu ila wanakamata hivyo kama ushahidi tu kuwa wanafanya kazi.

Ukitaka hiyo biashara ife waache uzalishaji Kenya.....
Uko sahihi kwani binadamu ana mbinu nyingi, lkn pamoja na hayo lzm tujilinde accordingly.
 
Tanzania ilipiga marufuku uingizwaji wa aina yoyote ile ya ndege mwaka 2007 kama sehemu ya kudhibiti magonjwa ya ndege, ni sehemu ya kampeni ya dunia nzima na nchi nyingi zilifanya hivyo. Tanzania inaruhusu kuingiza mayai na zoezi la kutotolea vifaranga lifanyike Tanzania, ndiyo sababu hata hao wafanyabiashara wanatumia njia za panya ktk biashara yao, hawaombi vibali wala kutumia njia halali kwasababu wanajua watakataliwa.
ok kwahiyo watu wanajua hilli?
 
lakini wafanya biashara mipakani mbona mnatafuta sababu zisizo na tija mkimwona simba kalowa maji bado ni simba msimtafutie sababu
 
ok kwahiyo watu wanajua hilli?
Ni jukumu la kila mtu anayetaka kufanya biashara, kutafuta taarifa zote muhimu kabla ya kuanza biashara husika ili kuepuka kuvunja sheria za nchi au kupunguza uwezekano wa kupata hasara.
 
Ni jukumu la kila mtu anayetaka kufanya biashara, kutafuta taarifa zote muhimu kabla ya kuanza biashara husika ili kuepuka kuvunja sheria za nchi au kupunguza uwezekano wa kupata hasara.
tabu hawa watu wanaacha ofisi zetu zinajaa vumbi hatukui kwakuwa hawako tayari kuandaliwa bplan sasa wakipata hasara wanakuja kulia humu kwa mlango wa siasa
 
Wabaki na top quality yao tunataka vifaranga watotolewe hapa nyumbani watu wapate kazi(ajira)lkn sera yetu(viwanda)inatekelezwa.
Hehehe, sasa nyinyi si ndo mnafata vifaranga hadi Kenya, Kenya vifaranga vinazalishwa kwa wingi sana, ila wafugaji wa kuku ndo wengi zaidi! Kama mikakati ya kuwazalisha vifaranga Tz ndo hiyo, basi mmepiga hatua kubwa sana.
 
Kama uhuni ni sheria sio anayetekeleza.
Mngekuwa mnatumia hiyo sheria unayoiita ya kihuni, kuwakamata mafisadi na watu wasojulikana, asee hapa E.A mngekuwa mnatamba sana! Ila mnavoitumia kuchoma vifaranga wenu nyinyi wenyewe, ndo mnajaribu sana, kupiga hatua za rewind.
 
Tawala zilizopita vifaranga wengi wameingizwa Tanzania bila madhara yeyote.
 
Mngekuwa mnatumia hiyo sheria unayoiita ya kihuni, kuwakamata mafisadi na watu wasojulikana, asee hapa E.A mngekuwa mnatamba sana! Ila mnavoitumia kuchoma vifaranga wenu nyinyi wenyewe, ndo mnajaribu sana, kupiga hatua za rewind.
Fuatilia vizuri kama kuna mafisadi wanaotamba Tanzania kwa sasa, Tanzania is mafisadi free zone, this is a new Tanzania.
 
Back
Top Bottom