Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,201
- 16,246
Unazo akili nyingi mno Kama umenijua kuwa Sina za kunitosha. Fanya hivi lete tin number tucheki ama ndio Ile talk is cheap and is affordable to majority even dog talks but actions remain for few.Mbona huna akili za kukutosha
Hiyo inaitwa phising.Unazo akili nyingi mno Kama umenijua kuwa Sina za kunitosha. Fanya hivi lete tin number tucheki ama ndio Ile talk is cheap and is affordable to majority even dog talks but actions remain for few.
Toa yako kwanza ili tuelewane kodi unayolipa.Mkuu toa jina lako na tin number yako pia na nida namba yako ili tuone wewe umeshalipa Bei gani ama ndio waliovimbewa
We kidampa wa TRA, lipa kodi ili ujijengee heshima yako na nchi yako.Mie nimekuomba details hapa Niingize ili tuone Kama kweli unalipa kwani shida iko wapi. Naomba tuone urefu wako wa akili. Sawa mimi na watanzania wengi Ni ufupi mie Nimeshakubaliana Ila Sasa naomba tuone urefu wa akili yako ama na wewe unajiona Kama na ellite na huku haupo kwenye royal family
Ha ha haWe kidampa wa TRA, lipa kodi ili ujijengee heshima yako na nchi yako.
Kujamba jamba na kushindana hakukusaidii kuongeza urefu wa barabara za nchi.
Ongea lugha zote Ila toa details zako tuone kama kweli unalipa ,Naona umeanza kutumia lugha ulizofundishwa nyumbani kwenu ukiwa mdogo ama Ni shuleni ulikosomoea. Ama Anza kutukana ili utumie skills ulizofundishwa sijui Ni wazazi walikufundisha namna ya kuonyesha mawasiliwano na walimwenguWe kidampa wa TRA
Hapana wewe ndiye uliyeanza kuongea kuwa tulipe Sasa si tujifunze kwakoToa yako kwanza ili tuelewane kodi unayolipa.
Ninyi ndio mnaifilisi nchi kwa kutumia zaidi ya kodi mnayolipa.
Piga kodi yako mwenyewe, halafu zidisha kwa watu ishirini wa aina yako, kodi yangu umeipata.Hapana wewe ndiye uliyeanza kuongea kuwa tulipe Sasa si tujifunze kwako
Naona ulikuwa unaongea kuonekana Mana talk is cheap mkuu even nzi anaongea sema vitendo kila kiumbe kinakimbia. Naona nawew Ni mbinu zako za kukimbia. Sasa ilitakiwa uhamasishe tulipe Kodi huku ukituonyesha unavyolipa kumbe unasukuma wenzako na ilhali hata sh zero hujawahi lipa bado uko minusPiga kodi yako mwenyewe, halafu zidisha kwa watu ishirini wa aina yako, kodi yangu umeipata.
Si kukimbia mkuu, sasa wewe ambaye unajua. basi tupe kodi anaazolipa Mwigulu Nchema , mwanzilishi wa Tozo.Naona ulikuwa unaongea kuonekana Mana talk is cheap mkuu even nzi anaongea sema vitendo kila kiumbe kinakimbia. Naona nawew Ni mbinu zako za kukimbia. Sasa ilitakiwa uhamasishe tulipe Kodi huku ukituonyesha unavyolipa kumbe unasukuma wenzako na ilhali hata sh zero hujawahi lipa bado uko minus
Hujatoa mchango wowote kulisaidia Taifa namna ya kuongeza kipato kama Taifa.Ongea lugha zote Ila toa details zako tuone kama kweli unalipa ,Naona umeanza kutumia lugha ulizofundishwa nyumbani kwenu ukiwa mdogo ama Ni shuleni ulikosomoea. Ama Anza kutukana ili utumie skills ulizofundishwa sijui Ni wazazi walikufundisha namna ya kuonyesha mawasiliwano na walimwengu
Naona Kama umedandia mbele ya treni ama jump the gun. Yaani risasi haijatoka Ila wewe umewahi. Fuatilia mazungumzo tokea nilivyoanza mlipa Kodi mmoja. Otherwise tufanye wewe mjanja mie mjinga.Hujatoa mchango wowote kulisaidia Taifa namna ya kuongeza kipato kama Taifa.
Sasa wewe unayetaka ID ya mtu humu mtandaoini, kwanza huna akili, pili wewe kidampa unaye anza kazi TRA.
Umedandia treni ama jump the gun ama una haraka zaidi ya goli lenyewe. Mie Kuna mtu nazungumza naye alijidai kuwaambia watu walipe Kodi Sasa nikamuomba atoe details zake tuone anavyolipa Kodi ili tujifunze kwake. Ama brain Ni yako hupangiwi Cha kuongeaSi kukimbia mkuu, sasa wewe ambaye unajua. basi tupe kodi anaazolipa Mwigulu Nchema , mwanzilishi wa Tozo.
Una jaribu ku side track mada na kuingia shimo unalolijua vizuri.
Lipa kodi acha tontoriro.
Kweli wewe mjinga, hujaonyesha Taifa litaongeza vipi pato lake kwa ujinga wako.Naona Kama umedandia mbele ya treni ama jump the gun. Yaani risasi haijatoka Ila wewe umewahi. Fuatilia mazungumzo tokea nilivyoanza mlipa Kodi mmoja. Otherwise tufanye wewe mjanja mie mjinga.
NKweli wewe mjinga, hujaonyesha Taifa litaongeza vipi pato lake kwa ujinga wako.
Katwa TOZO, tujenge SGR ya kwenda Mtwara.Mie Ni mjinga onyesha wewe na toa tuone unavyolipa Kodi Basi ili tuone ulivyo na akili
N
Una matatizo yanayohitaji uangalizi wa karibu!Umedandia treni ama jump the gun ama una haraka zaidi ya goli lenyewe. Mie Kuna mtu nazungumza naye alijidai kuwaambia watu walipe Kodi Sasa nikamuomba atoe details zake tuone anavyolipa Kodi ili tujifunze kwake. Ama brain Ni yako hupangiwi Cha kuongea
Asante sana mkuu.Nenda kasome tena uchumi na maswala ya kodi..kwa kifupi serikali inatakiwa itengeneze mazingira mazuri ya kufanya biashara watu wawekeze yenyewe ije kuchukua kodi..sasa shida inaanzia hapa serikali inataka ichukue kiasi sawa na aliefanya uwekezaji.
1. Kwenye miamala ya simu service prodiver (Tigo,Vodacom, Airtel) wao wameshafanya uwekezaji kwenye infrastructure, minara,manpower etc. Kwaio wao warudishe gharama zao wameanzisha huduma kadha wa kadha i.e kutuma na kupokea hela sasa kwa kuangalia gharama walizotumia wameweka kiwango fulani cha ili kufikisha gharama hizo husika kwa mtumiaji wa mwisho.
2. Shida inaanzia hapa i.e kutuma kiasi fulani ni 400 tsh na kiasi cha kutolea ni 300 tshs...tukumbuke kwamba hio kampuni ya simu baada ya kutoa mapato na matumizi yake faida iliopatikana inatozwa 30% (corporate tax) pia inalipa PAYE kutoka kwa income tax kitu kisichoeleweka ni kutaka serikali nayo ichukue hela toka kwenye hizo gharama za kutuma na kutolea wakati baadae inakuja kukata kodi katika mahesabu ya mwisho wa mwaka hicho ndo hakikubaliki maana mzigo wote anasukumiziwa mlaji wa mwisho(mtuma hela)
3. Porojo za kujenga madaraja, mashule, mahospitali hazina uzito sababu hayo majengo sio kwamba yameanza kujengwa baada ya tozo kuanzishwa serikali imekua ikikusanya kodi toka sehemu mbali mbali tangu kupatwa kwa uhuru sasa iweje ndo useme kwamba tozo hizi ni za kufanyia hivyo vitu,kodi zingine zinaenda kufanyia vitu gani? Hapo unakuta kuta LC200 na Lc300 zinanunualiwa kwenye misafara etc isio kua na tija
4. Kwanza kabisa kujenga barabara,mahospitali, mashule hayo ni majukumu ya serikali sio fadhila..siku watu watakapo amka na kujua majukumu ya serikali na wajibu wake kwa wanachi ni upi ndio tutaelewena..hakika hio siku itafika hapo waongo waongo ndo watakapo kua wamefikia mwisho.
Principles zipi za taxation zinazotumika kutoza kitu mara mbili mbili?
Soma vizuri post yangu. Mimi sio muumini wa ulichokiandikaMkuu ukishindwa kujiendesha ndio unaona sasa "wahisani" wanahamia nyumbani kwao na kukuamrisha ufanye nini kimandeleo, kiufupi wanakutawala.
Ulichoandika hakina uhalisia na eventuality niliyokuwekea.Soma vizuri post yangu. Mimi sio muumini wa ulichokiandika