Kumbe gazeti la NIPASHE lina waandishi wa habari vihiyo na ambao kazi yao ni ku copy na ku paste,hata bongo zao zimeganda,pia wahariri habari wao pia ni vihiyo,hivi kweli inakuwaje mwandishi hujidadisi mwenyewe kwanza,eti walibeba kilo 150 ,kweli kwenye ndege ya abiria mtu anaweza kubeba kilo 150 za madawa ya kulevya,hata kujihoji wenyewe wanashindwa,kwa hiyo hiyo mifuko mitatu ya sementi ilifichwa kwenye masanduku,hayo ndio matunda ya waandishi na wahariri wa vibahasha vya kaki,kazi kila kukicha kukimbilia kwenye harambee za kuchangia makanisa na kuandika habari za kusifia chama cha Mabugando.
Ningekuwa mi ndi Mzee Machache huyu mwandishi na mhariri leo hii wangekuwa wako mtaani,kwa kushusha hadhi za gazeti makini na kuwa gazeti la udaku