Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
Unataka kumfanya nini mwenzako ?🤣yupo uchi alafu achutame usiku huu,saa 12:26 AM😂Huu uzi unawavua nguo wengi. Snapdragon 8 uko uchi wa mnyama bora uchutame
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka kumfanya nini mwenzako ?🤣yupo uchi alafu achutame usiku huu,saa 12:26 AM😂Huu uzi unawavua nguo wengi. Snapdragon 8 uko uchi wa mnyama bora uchutame
Mtafiti wa mchongoNi taarifa za utafiti juu ya jambo Fulani, yeye amefanya utafiti kwa watu wangapi mpaka akasema watanzania wengi!!? Pili kwanini yeye mwenyewe hajui kuandika, tunawezaje kuamini utafiti wa mtafiti!!?
DahUnataka kumfanya nini mwenzako ?🤣yupo uchi alafu achutame usiku huu,saa 12:26 AM😂
Yeye ni MtanzaniaKwani na wewe ni Mtanzania ?
Kwaiyo na wewe ukalike mkuu
Sasa watu na ubolo wao halafu ni si like tena🤣🤣🤣🤣Kwaiyo na wewe ukalike mkuu
Dah, nimecheka kibwege aisee
Mitandao ina mengi ya kufurahisha🤣Dah, nimecheka kibwege aisee
Nataka nimuoe Jemima Mrembo tuwe na watoto uniqueMtafiti wa mchongo
Unique Sister ni ndugu na Chai JabqNataka nimuoe Jemima Mrembo tuwe na watoto unique
Hunakuja reni kunihoha?Nataka nimuoe Jemima Mrembo tuwe na watoto unique
Vuta Subila Muda siyo mlefu, nakuhaidi wewe mwenyewe utafulahiyaHunakuja reni kunihoha?
Mkenya huyo,alivyoweka hizo 'a' mbili kwenye Tanzania ni dalili mkenya,huwa wanavuta hivyo jina la nchi yetu tukufuKwani na wewe ni Mtanzania ?
Hata kusoma hya majinaaa nnkeroooiNingeshangaa sana, mtu ujiite jemima alafu ujue kuandika!!!? Ningeshangaa sana!
Hebu andika sentensi ya maneno kumi tuone uwezo wako wa kuandika Kiswahili.