SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 8,189
- 7,853
πWatu weweeeeeeeππ€£
Mi Mtanzania najuwa kuongea tu na kufuata umbea mtandaoni huku maisha yakinishinda.Hebu andika sentensi ya maneno kumi tuone uwezo wako wa kuandika Kiswahili.
Haha hahah hahah
Huyu ni bingwa wa dunia
Akiwemo muanzisha uzi. Kujidhania ndio nini? Angetumia 'wakidhani'.Huu uzi unawavua nguo wengi. Snapdragon 8 uko uchi wa mnyama bora uchutame
Takwimu zinahusu wingi au uchache (idadi) na zaidi tarakimu (numbers).Ni taarifa za utafiti juu ya jambo Fulani, yeye amefanya utafiti kwa watu wangapi mpaka akasema watanzania wengi!!? Pili kwanini yeye mwenyewe hajui kuandika, tunawezaje kuamini utafiti wa mtafiti!!?
hhahahahhahaha umempa jibu lakeNi mbinu ya uandishi kuvutia wasomaji
Hebu andika sentensi ya maneno kumi tuone uwezo wako wa kuandika Kiswahili.
Muda, unaweza kuwakilishwa kwa Kiswahili pia.Unataka kumfanya nini mwenzako ?[emoji1787]yupo uchi alafu achutame usiku huu,saa 12:26 AM[emoji23]
ewaaah,,hili ndio swali la msingi.HIVI WEWE JEMIMA MREMBO!, JE NI KWELI MREMBO KAMA JINA LAKO?
Viwango vya kimataifa
alafu Jemima mwenyewe sasa hata aringiπͺViwango vya kimataifa