MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
- Thread starter
- #21
Wengine wanahitaji msasa lainiDeodorant sio nzuri kwa matumizi.
Muhimu mtu ni kuoga Kwa sabuni na kujisugua makwapani kwa povu jingi na kurudiarudia na kupaka mafuta hata kama ni ya kupikia.