MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
- Thread starter
-
- #21
Wengine wanahitaji msasa lainiDeodorant sio nzuri kwa matumizi.
Muhimu mtu ni kuoga Kwa sabuni na kujisugua makwapani kwa povu jingi na kurudiarudia na kupaka mafuta hata kama ni ya kupikia.
Waoge kwanza kabla ya hayo madawaWanajifujiza madawa ya mashetani ili wapate nafasi za uteuzi.
Mbona hela za kuhonga mnazoGaweni deodorant bure... Maji yasiuzwe! HATUPENDI MKUU, UCHUMI TU
watumie msasa lainiIzo deodorant kwa wengine zinadundaga
oga mkuu acha visingizioUsitufokee.
Mkuu tembea uone, pengine unakaa nyumbani tu unanusa paka wakoStori za Watu wa Dar bhana! Yaani wewe ukiwa kwenye mikusanyiko, kazi yako kubwa ni kunusa tu watu kama wameoga, wamefua nguo na kupulizia hizo deodorant!
Ubaya wake ni nini?Deodorant sio nzuri kwa matumizi.
Muhimu mtu ni kuoga Kwa sabuni na kujisugua makwapani kwa povu jingi na kurudiarudia na kupaka mafuta hata kama ni ya kupikia.
Mkuu oga, utapungua uzitonasubiri sheria irekebishwe ndipo nioge kwa kuhofia mkono wa sheria
πππ nakuunga mkononasubiri sheria irekebishwe ndipo nioge kwa kuhofia mkono wa sheria
Ndo maana makwapa ya johnthebaptist Kinuju Etwege na Idugunde the witch yanatema harufu mbaya balaa kama cham
Siku ukipata nafasi niandikie niki kisa, Mwamlima alibariki ndoa yangu pale kanisani kwake karibu na loleza, miaka hiyo wewe hujazaliwa bado.HAPo pa ndwika pamenikumbusha kanisa la Moravian na vita ya Mwamlima na Msinjili
Kabisa mkuu, watu wanafuga uchafu kama mifugo,
Watu Waoge, Wasafishe Kinywa, Wafue
Haa Nchi Hii Ngumu Sana
oga mkuuFocus kwenye mambo yako, hutapata muda wa kumtafuta mchawi Ni nani
DUH...... Wakati wa kubariki ndoa Yako sisi ndio tulikuimbia nyimbo za harusi nikiwa na kina Ulimba, Nyandu, Mwasumbi, Agrey Kandonga na wengine wengi, tumezeeka sana sasa.Siku ukipata nafasi niandikie niki kisa, Mwamlima alibariki ndoa yangu pale kanisani kwake karibu na loleza, miaka hiyo wewe hujazaliwa bado.