MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
- Thread starter
-
- #101
Watu wachafu watakuja kumteteaYani ni tatizo aiseh.... Kuna siku nkipanda daladala zinazoenda umbali mrefu... Akapanda baba mmja kananyua mkono kushika chuma maan alikua kasimama..... Ehh kumchek kweny kwapa nywele zimeota zimekua nyingi alaf kumejaa ukoko mweupe.... Nlicheka hyo siku Aecha kabisa
[emoji4][emoji4]Watu wachafu watakuja kumtetea
[emoji23][emoji23] hatari mnooYani ni tatizo aiseh.... Kuna siku nkipanda daladala zinazoenda umbali mrefu... Akapanda baba mmja kananyua mkono kushika chuma maan alikua kasimama..... Ehh kumchek kweny kwapa nywele zimeota zimekua nyingi alaf kumejaa ukoko mweupe.... Nlicheka hyo siku Aecha kabisa
Mapuani kuna nini sijaelewa hapoIla ni aibu sana...nina mgonjwa hii week ya pili...... Yani watu ninaopishana nao hospital asubui najiuliza hivi huyu kaoga au..... muda mwingi sana watu wanafundisha kutumia limao kweny kwapa , unanyoosha ka nguo vzuri, unavaa..... Sasa asubui unakutana na mdada ananuka jasho alf ukimsalimia anaitikia mapuani khaaa[emoji28]
Maan yangu ilikua ni kuitumia kw madharauMapuani kuna nini sijaelewa hapo
Hahahahaah🤣🤣🤣🤣🤣unataka anayebeba zege, machinga, mama ntilie, fundi gereji, na fundi welding, selemara, mvuvi, muuza samaki, ndugu zangu wagogo Hapo mazizini wapake, sijui wapulizie hiyo deodorant??
Wewe utakuwa BashiteHeri ya sikukuu ya sabasaba.
Kwa masikitiko makubwa naomba niwakilishe malalamiko yangu kuhusu ndugu zangu na wananchi wenzangu. Wengi wenu hamuogi, hamfui nguo zenu na hampaki deodorant achilia mbali perfume.
Jana nilikua kwenye misongamano ya watu sehemu mbili tofauti katika jiji la Dar es Salaam, yaani uvundo na harufu mbaya za watu karibu zinifanye nihairishe safari zangu. Imagine unakwenda kumuangalia mgonjwa kwenye wodi ya hospitali ya Muhimbili, kwenye ngazi unapishana na kundi la watu wanaonuka mchanganyiko wa harufu mbaya zenye kustaajabisha.. Halikadhalika, mikusanyiko ya watu kama kwenye maonesho ya sabasaba unaweza kuchefukwa na harufu mbaya za watu na ukastaajabu..
Kwa maoni yangu, sehemu kubwa ya watu hawa hawaogi, hawafui nguo zao, wana magojwa ya fungus miguuni, hawapaki deodorant au manukato.
Nini kifanyike?
1. Elimu ya usafi wa mwili itolewe kuanzia shule za chekechea mpaka vyuoni. Raia wafundishwe umuhimu wa kuoga na kupaka deodorant. Waeleweshwe kwamba kutofanya hivyo ni ukatili kwa wengine kwani kunawasababishia maumivu ya kiakili na kero kubwa;
2. Watu wasiooga au kupaka deodorant wakibainika watozwe fine kwa uchafuzi wa mazingira na kusababishia raia wengine kero na maumivu ya kiakili; na mwisho
3. Wasiruhusiwe kuja mjini.
Namshukuru mkuu wa mkoa mstaafu bwana Paul Makonda aliwahi kulishughulikia ili swala, natumaini Raisi wangu msikivu atalishughulikia pia.
Naomba kuwasilisha
Mfano wa sehemu ambazo mtu mchafu hawezi kuingia ni zipi mkuu?Kuna sehemu hauwezi kuingia kama sio msafi unanuka. By the way, usafi ni mojawapo ya masomo ya kufundisha shule ya msingi mfululizo madarasa yote hadi mtoto ana graduate.
MbinguniMfano wa sehemu ambazo mtu mchafu hawezi kuingia ni zipi mkuu?
Bashite hawezi kuwa na akili kubwa kama hii, kichwa chake kinge jam. Ana bites chache sana (KB 1)Wewe utakuwa Bashite
Wataoga tu, ilimradi sheria itungweHaya mambo ya usafi wa mwili na kunukia harufu nzuri kwa mtu binafsi kiasi cha kutungiwa sheria huwa yanawezekana kwa nchi ndogo ndogo duniani na kwenye majimbo yanayojiamulia kujitungia sheria zao za ajabuajabu. Wengine hufanya hivyo ili kuvutia watalii kutembelea nchi zao, tena wanaenda mbali zaidi kuweka sheria ni marufuku kununanuna, mwendo ni tabasamu tu. Ili la kuoga na kupaka manukato bongo ni zoezi gumu kutokana na aina ya maisha na kazi wanazozifanya wabongo wengi. Kula ni lazima kuoga ni hiari
Mtu mzima utamshikia bakora akaoge? Mnapenda kusingizia wanawake Mme asipooga mkewe wakati maji yapo amegoma kuoga iweje shida iwe kwa mkewe [emoji43][emoji43][emoji43]Kuoga kuanzie kwa wanandoa, unakuta wanandoa hawaogi wananuka uvundo, mke hajali usafi wa mume wake, kazi kubwa mojawapo ya mke ni kuhakikisha mume wake ni msafi ameoga. Unakuta wanandoa wananuka miili yao na midomo unajiuliza hivi wanapeanaje majamboz wakiwa wananuka vibaya hivyo?