Watanzania wengi leo wamefurahia Taifa Stars kufungwa na Morroco, sababu kubwa ni TFF kuruhusu siasa kwenye soka

Watanzania wengi leo wamefurahia Taifa Stars kufungwa na Morroco, sababu kubwa ni TFF kuruhusu siasa kwenye soka

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Kila vijiwe watu wanachekelea tu

Ziech ziech.

Huu upuuzi umefanya stars kuchukiwa.👇
20231122_102822.jpg
 
❌ watanzania wengi
✅ Watanzania wengi wa Jamii forums
 
CCM na wao si wanashabikiaga mpira.
Labda wameamua kutumia hiyo platform kumbrand mama.
 
Back
Top Bottom