Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
NAKAZIATabia ya mtu haitokani na utaifa...katika kila Taifa wastaarabu wapo na watu wa hovyo wapo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NAKAZIATabia ya mtu haitokani na utaifa...katika kila Taifa wastaarabu wapo na watu wa hovyo wapo.
Mkuu.Lugha za Mtanzania ni zipi ambazo hao Watu wanaotukana wenzao humu hawaelewi!?
Na huu ndio uungwana, ila kuna watu wanafosi kuvuruga hali hiyo. Ni mwendo wa kuwaignore tuNi kukosa ustaarabu na hekima. Mijadala sio vita na huwezi kujua vyote, hivyo lazima ukubali mawazo ya wengine hata kama hukubaliani nayo.
Binafsi nikiona mjadala unaelekea kubaya huwa naepusha shari, nakubali yaishe.
Tubaki tukiwa hatujakubaliana kistaarabu.
Kwani ni lazima kuzijua even numbers zote ili kujua tabia za even numbers?AM sure haifiki 10%. Tena nao unakutana nao daily kwa kujirudia rudia. Yan kuna mahala umeji position mfano hapa JF unakutana na posts za watu wale wale kila siku halaf wewe unafikiri hao ndio watanzaniq (wote)
Kwa concept ya sampling, Hapana sio lazimaKwani ni lazima kuzijua even numbers zote ili kujua tabia za even numbers?