Watanzania wengi ni watu wasiokuwa na ustaarabu katika kuongea

Na huu ndio uungwana, ila kuna watu wanafosi kuvuruga hali hiyo. Ni mwendo wa kuwaignore tu
 
AM sure haifiki 10%. Tena nao unakutana nao daily kwa kujirudia rudia. Yan kuna mahala umeji position mfano hapa JF unakutana na posts za watu wale wale kila siku halaf wewe unafikiri hao ndio watanzaniq (wote)
Kwani ni lazima kuzijua even numbers zote ili kujua tabia za even numbers?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…