Uchaguzi 2020 Watanzania wengi sasa wanamiliki smartphone ili kupashana habari za uchaguzi hasa zinazohusu wapinzani

Uchaguzi 2020 Watanzania wengi sasa wanamiliki smartphone ili kupashana habari za uchaguzi hasa zinazohusu wapinzani

Mkuu unasahau mbona vyombo vikubwa Duniani vililipoti tukio la Tundu Lissu kurejea nyumbani? Sema vyombo vya Tanzania ndo vilibanwa lakini haikusaidia nadhani taarifa ilifika.
 
Hata wasiporusha habari za lissu tunazipata instantly na kuzisambaza kwenye mitandao ya kijamii na pia huku mtaani tunawapa elimu wasio na access na internet/mitandao.
Safi kabisa ninani asiyemjua Lissu mpaka sasa alivyonusulika kuuwawa na wakora wa Ccm?
 
Nimependezwa na maelezo yako lakini mimi sina mengi nakukumbusha kuwa wanaomiliki smartphone kwa wingi ni vijana ambao kiukweli wanapata sana taarifa lakini haohao ndio hawapigagi kura hivyo amini nakueleza kutumia mitandao
 
Kuwa muwazi tu,lisu anamsindikiza magufuli sema sio mbaya nae atakuwa kwenye list ya wasindikizaji
Amini maneno yangu. Lissu ni raisi wako wa Jamhuri ya muungano Tanzania baada ya uchaguzi wa October 2020
 
Nimependezwa na maelezo yako lakini mimi sina mengi nakukumbusha kuwa wanaomiliki smartphone kwa wingi ni vijana ambao kiukweli wanapata sana taarifa lakini haohao ndio hawapigagi kura hivyo amini nakueleza kutumia mitandao
Wanatafuta ajira hivyo lazima watapiga kura .
 
Hahahaaaa ulishajiuliza Tanzania ni mambo gani au vitu gani vinafatiliwa au kugoogle sana kwenye Internet ?utashangaa sana nikwambie kitu watanzania hawafatilii siasa kwenye mitandao ni asilimia chache sana hata ukifanya utafiti utagundua ni Twitter tu ndo wanafatilia siasa but sehemu au mitandao mingine nadhani unajua nn kinafatiliwa sasa jiulize Twitter ni watanzania wangapi wana account huko??

Tanzania bado main stream media(TV,Magazeti,Radio) bado zinanguvu sana na bado zinafatiliwa na watu wengi kwa sababu kupata taarifa huko ni free au cheap kulinganisha na mitandaoni ambapo lazima uwe na bando kitu ambacho mtu wa mikoani hawezi kununua GB 4 eti kumuangalia Tundu Lissu akiutubia You tube nazungumzia nchi kwa ujumla si mijini tu CCM si wajinga kuwabana huko wanajua nini wanafanya hapa ungewashauri wafungue vyombo vyao vya habari kama Radio na TV ambazo watakuwa na mamlaka navyo hata kwa wenzetu ambapo Dunia imeamka bado TV ,Magazeti na Radio zina nafasi kubwa sana ktk Ulingo wa kupashana habari pia kwa mfumo uliopo ni mpumbavu pekee anayeweza kusema Lissu au upinzani utachukua nchi ktk miaka hiii 10 au 15 ijayo bado sana .
 
Amini maneno yangu. Lissu ni raisi wako wa Jamhuri ya muungano Tanzania baada ya uchaguzi wa October 2020
Ngumu kumesa,alishindwa gwiji la siasa mwenye mvuto akiongea Ni maneno matatu tu chini ya mwamvuli wa ukawa, halafu ashinde huyo mropokaji traitor lisu? Ndio maana mkaambiwa upinzani (uchwara) [emoji23][emoji1787][emoji2960]
 
Ngumu kumesa,alishindwa gwiji la siasa mwenye mvuto akiongea Ni maneno matatu tu chini ya mwamvuli wa ukawa, halafu ashinde huyo mropokaji traitor lisu? Ndio maana mkaambiwa upinzani (uchwara) [emoji23][emoji1787][emoji2960]
Tukutane October
 
Hahahaaaa ulishajiuliza Tanzania ni mambo gani au vitu gani vinafatiliwa au kugoogle sana kwenye Internet ?utashangaa sana nikwambie kitu watanzania hawafatilii siasa kwenye mitandao ni asilimia chache sana hata ukifanya utafiti utagundua ni Twitter tu ndo wanafatilia siasa but sehemu au mitandao mingine nadhani unajua nn kinafatiliwa sasa jiulize Twitter ni watanzania wangapi wana account huko??

Tanzania bado main stream media(TV,Magazeti,Radio) bado zinanguvu sana na bado zinafatiliwa na watu wengi kwa sababu kupata taarifa huko ni free au cheap kulinganisha na mitandaoni ambapo lazima uwe na bando kitu ambacho mtu wa mikoani hawezi kununua GB 4 eti kumuangalia Tundu Lissu akiutubia You tube nazungumzia nchi kwa ujumla si mijini tu CCM si wajinga kuwabana huko wanajua nini wanafanya hapa ungewashauri wafungue vyombo vyao vya habari kama Radio na TV ambazo watakuwa na mamlaka navyo hata kwa wenzetu ambapo Dunia imeamka bado TV ,Magazeti na Radio zina nafasi kubwa sana ktk Ulingo wa kupashana habari pia kwa mfumo uliopo ni mpumbavu pekee anayeweza kusema Lissu au upinzani utachukua nchi ktk miaka hiii 10 au 15 ijayo bado sana .
Maneno yako ya mwisho yamedhihirisha upande uliopo na uliokusukuma kuandika uliyoyaandika

Usisahau kuna nchi zilifanya maandamano ya kuondoa watawala kwa kutumia nguvu ya social media, na hata hapa Bongo tishio la maandamano ya Mange lililonyima watawala usingizi liliratibiwa mitandaoni hivyo usijidanganye hata kidogo.

Wenyewe mamlaka wenyewe wanakesha mitandaoni kufuatilia nini kinajiri alafu wewe unakuja na porojo zako hapa!

Jiulize ni kwanini kuna mtu anatamani malaika aje azime mitandao ndio utajua hofu walionao.
 
The first rule of mass media ( GIVE THE PEOPLE WHAT THEY WANT)
 
Back
Top Bottom