Uchaguzi 2020 Watanzania wengi sasa wanamiliki smartphone ili kupashana habari za uchaguzi hasa zinazohusu wapinzani

Uchaguzi 2020 Watanzania wengi sasa wanamiliki smartphone ili kupashana habari za uchaguzi hasa zinazohusu wapinzani

Maneno yako ya mwisho yamedhihirisha upande uliopo na uliokusukuma kuandika uliyoyaandika


Usisahau kuna nchi zilifanya maandamano ya kuondoa watawala kwa kutumia nguvu ya social media, na hata hapa Bongo tishio la maandamano ya Mange lililonyima watawala usingizi liliratibiwa mitandaoni hivyo usijidanganye hata kidogo.

Wenyewe mamlaka wenyewe wanakesha mitandaoni kufuatilia nini kinajiri alafu wewe anakuja na porojo zako hapa.

Jiulize ni kwanini kuna mtu anatamani malaika aje lazima mitandao ndio utajua hofu walionao.
Unapozungumzia social media unatakiwa kujua ni mitandao gani watu wanafatilia hasa hapa Tanzania pia ukizungumzia maandamano ya kuwatoa watawala mfano uarabuni si social media pekee kwa maana kuna nguvu ya watu na baadhi ya mataifa pia main stream media kama CCN,BBC nk walikuwa wanayatangaza sana kitendo cha kutangaza watu wengi wanajua Social media kuacces ni gharama tofauti na main stream media (Radio ,TV na magazeti)

Kuhusu Tanzania mtandao wenye wafwasi wengi ni IG na kidogo FB yamwisho ni Twitter ambapo huko ndo 90% kinaongelewa siasa sasa je Twitter kuna watanzania wangapi huko? Badoo Tanzania ina watu wengi kuliko hata Twitter haya makundi ya Whats app huko kwanza ndo vituko kwanza yana limit ya watu pili si public ambapo unaitaji uwemo kwenye ilo group ndo uone taarifa ya ilo group

Mm ningewashauri wekezeni kwenye Main stream media coz huko ndo watu watapata taarifa kwa haraka nchi nzima ukienda sehemu nyingine hata social media hawajui lakini taarifa ya habari wanasikiliza na kuangalia kingine Chadema nyinyi ndo chama cha kwanza kuingia kwenye Digital media na nyinyi ndo chama cha kwanza kufaidika na Digital media lakini hamkuwekeza huko sasa CCM wameshaona weekness yenu upande wa Digital wao wanawekeza soon watawa out smart kwenye upande huo.
 
ya CCM HAIJAFANYA KITU. Sasa hao wananchi hizo smartphones, WhatsApp na Twitter wanazitoa wapi hapa Tanzania?
Kwa hiyo hata chupi tunazovaa ni bashite katununulia? Mwisho mtatuaminisha hata chooni tunakwenda Kwa hisani jiwe
 
Una mtzamo duni sana.Elewa tu,hali ingekuwa nzuri,hata huko vijijini karibu kila mtu angekuwa anamiliki smartphone akiwa na uhakika wa kuwa na umeme wa kuichaji.
Mbona mnajichanganya? Acheni kutumia akili za nyumbu. Anyway, Serikali ya CCM chini ya JPM inakamilisha Mwalimu Nyerere Hydroelectric Power. Kila mtu atapata umeme. Ila ninyi
 
Kwa hiyo hata chupi tunazovaa ni bashite katununulia? Mwisho mtatuaminisha hata chooni tunakwenda Kwa hisani jiwe
Maendeleo YOTE katika nchi hii yameletwa na Serikali zilizokuwepo na iliyopo madarakani. Kwani hizo nguo zako za ndani zingezalishwaji au kuletwaje toka nje kama Serikali haijaweka mazingira ya kufanya hivyo?
 
Kwa wake wanaodhani kuwa kudhibiti vyombo vya habari kuripoti habari za wapinzani kutawasaidia, wajue tu wanajidanganya kwani hivi sasa watanzania wengi wanamiliki smartphone hasa maeneo ya mijini, hivyo watazitumia kupashana habari za uchaguzi zikiwemo habari za wapinzani.

Lissu kasema wametishwa kuripoti habari zake na kwamba wanamuogopa mtu mmoja ila akaongeza kuwa ,watu sasa watutimia WhatsApp kupashana habari za uchaguzi.

Ukweli ni kwamba,Lissu kataja WhatsApp kama mfano tu, ila watu watatumia Facebook,Instagram, Twitter na mitandao mingine kama huu wa JamiiForums kusambaza na kupashana habari za nini kitakachokuwa kinajiri kwenye mkutano ya kampeni ya wapinzani hata kama watu wa TV na magazeti hawataripoti.

Uzuri wa haya mambo ni kuwa,watu wakipuuza hizi media,hata like kitakachokuwa kinaripotiwa na hizi media pia nacho kitapuuzwa, hivyo wataopata hasara ni hao watakaokuwa wanategeme hizi media ziwabebe.

Wao waendelee tu kujidanganya wakati watu Siku hizi wameanza kutegemea social media zaidi kama chanzo cha kupata habari huku mainstream media zikibaki kutumika kwakuwa tu ziko majumbani mwetu.

Siku hizi watu wanasikiliza habari kwenye tv huku teyari wana taarifa za matukio karibu yote ya siku husika tena taarifa hizo wakizipata pasipo kuchujwa ili kumsitiri mtu au kuficha baadhi ya mambo.

Mfano mzuri ni ujio wa Lissu ambao ulitangazwa zaidi kupitia social media lakini karibu kila mtu alikuwa na taarifa na alipokelewa na watu wengi utadhani tukio husika liliitangazwa na vyombo vikubwa vya habari mwezi mmoja kabla.

Labda yule Malaika wa kuzima mitandao ashuke ndio itakuwa ponepone yao ingawa nae anaonekana kukwama huko mawinguni.

Imekula kwao mwaka huu.
Mie siku hizi hata magazeti nimeacha kusoma kabisa baada ya kugundua kuwa wahariri karibia wote wanaandika kwa kuwafurahisha waliopo madarakani...Kabla nilikuwa sipitishi siku bila kusoma gazeti mbili tatu ... TV nimebakiza kuangangalia mpira tu Live
 
Mbona mnajichanganya? Acheni kutumia akili za nyumbu. Anyway, Serikali ya CCM chini ya JPM inakamilisha Mwalimu Nyerere Hydroelectric Power. Kila mtu atapata umeme. Ila ninyi
Lumumba mlisema upinzani umekufa sasa leo mnatapata tuwaeleweje au tatizo ni uwezo mdogo mlionao ndio unawagharimu?

Hiyo miradi sio issue ya kufanya watanzania wajinga tutaona miradi hiyo ihalalishe utekaji,utesaji, mauji, kunyima watu haki zao,kutesa watumishi wa umma,kusimanga wananchi majukwaani mfano wahanga wa tetemo Kule Bukoba, n.k
 
Nyumbu wa Lumumba mlisema upinzani umekufa sasa leo mnatapata tuwaeleweje au tatizo ni uwezo mdogo walionao kama nyumbu ndio unawagharimu?

Hiyo miradi sio issue ya kufanya watanzania wajinga tutaona miradi hiyo ihalalishe utekaji,utesaji, mauji, kunyima watu haki zao,kutesa watumishi wa umma,kusimanga wananchi majukwaani mfano wahanga wa tetemo Kule Bukoba, n.k
Kwani upo? Sasa hivi kuna White Elephant Opposition in Tanzania. Kitendo cha Lissu kuwa mgombea urais ni kiashirio tosha kabisa kwa kufa upinzani Tanzania.

TUKUTANE OKTOBA 28!
 
Kwani upo? Sasa hivi kuna White Elephant Opposition in Tanzania. Kitendo cha Lissu kuwa mgombea urais ni kiashirio tosha kabisa kwa kufa upinzani Tanzania.

TUKUTANE OKTOBA 28!
Mnamuogopa mpaka mnazuia habari zake zisitangazwe. Aibu sana hii!

Kazi kubebwa tu!!
 
Anaeongea ya maana ni yule anaemtafutia mzazi wake Bwana?
Ningeshangaa kama ungenipa mfano hata mmoja. Sasa, kama wewe umeshindwa, hivyo vyombo unavilalamikia vya nini? By the way, nimesikia yule rafiki yake Lissu Seneta wa Seneti ya Marekani ambaye ni shoga atakuwepo siku ya uzinduzi wa kampeni zake! Hapo vyombo vitarusha tu! Ahahahahahahahaha! Nasubiri ban!
 
Watanzania wasio na pesa wanaolala njaa wanatoa wapi pesa za smartphones na bundles sikuhizi?

Au pesa za uchumi wa kati?
 
Ningeshangaa kama ungenipa mfano hata mmoja. Sasa, kama wewe umeshindwa, hivyo vyombo unavilalamikia vya nini? By the way, nimesikia yule rafiki yake Lissu Seneta wa Seneti ya Marekani ambaye ni shoga atakuwepo siku ya uzinduzi wa kampeni zake! Hapo vyombo vitarusha tu! Ahahahahahahahaha! Nasubiri ban!
Mbebaki na propaganda za kijinga na kipuuzi tu hamna lolote!!
 
Back
Top Bottom