Uchaguzi 2020 Watanzania wengi sasa wanamiliki smartphone ili kupashana habari za uchaguzi hasa zinazohusu wapinzani

Smartphone kuanzia laki moja unapata vijana wote wanazo. So media outlet kwa sasa is subsituted from magazine to social media outlet
 
Hakuna anayesikiliza radio tena wala kuangalia TV za bongo.Tumerudi nyuma mika 50 kidemokeasia.Hatuna tena uwezo wa kujenga hoja.Debate za upande mmoja tu bila kualika upande wa pili ni mbaya.
Binafsi nina miaka 5 sijawahi kuangalia tv yoyote hapa nchini.
 
Serikali ya CCM HAIJAFANYA KITU. Sasa hao wananchi hizo smartphones, WhatsApp na Twitter wanazitoa wapi hapa Tanzania?
Duh! Hadi huruma, hawa ndio great thinkers ambao Jamiiforums inajivunia kuwa nao?
Maxence Mello kama ndio hivi ndoto zako zimebuma, GT's wamechanganyika na milupo!
 
Kusema chama cha siasa kufa si kama unavyodhania kufa kwa chama ni kutokuwa active ktk majukwaa ya kisiasa hasa shuguli zote zinazofanya chama kuitwa cha siasa lakini ukisema chadema haijafa kwa kuangalia wafwasi au watu wanaojaa kwenye misafara yenu utakuwa unachekesha coz hata CUF au TLP leo bado wanawafwasi kibao je CUF hii ndo CUF ya mwaka 2000? Jibu unalo mwenyewe


Ukizungumzia watu kujaa au kuwafata kwenye misafara yenu ndo useme sasa Chadema haijafa kisiasa nitakushangaa coz hata Diamond akitembea kkoo watu wanaomfata ni wengi sana tena wanaweza kusimamisha shuguli kabisa na kunaitajika police tena wengi sasa leo ukisema Diamond tena ni mtu mmoja si chama cha siasa akigombea hata ubunge Ilala atapata eti kigezo cha watu wengi kumfata au kumjua?

Leo Diamond anawafwasi 10.4 IG ninaimani wengi wapo Tanzania na 70% wanaumri wa kupiga kura so leo Diamond akigombea uraisi unaweza kusema atashinda? Jibu ni hapana tena inawezekana hata kula 1milion hatofikisha kufa kisiasa ni tofauti sana unavyoweza kidhani .
 
Watu wako kwenye Social Media hivyo vyombo vya habari ni wachache sana ambao bado wana shauku navyo hadi magazeti yanaelekea kufirisika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…