Watanzania wengi wakishajenga nyumba ya kuishi wanaona wamemaliza ndoto

Watanzania wengi wakishajenga nyumba ya kuishi wanaona wamemaliza ndoto

Tunapambana kutafuta hela hekeheka za kufa mtu, halafu mtu huyu akishajenga nyumba ya kuishi anaona amemaliza ndoto yake aliyokuwa anaipigania anapunguza mapambano.

Hapo yeye anatafuta hela ya kula tu basi. Niwakumbushe kujenga si maendeleo bali ni hitaji la lazima tupambane zaidi tupate maendeleo.

1 Timotheo 6 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
⁶ Walakini utauwa pamoja na kuridhika ni faida kubwa.
⁷ Kwa maana hatukuja na kitu duniani, tena hatuwezi kutoka na kitu;
⁸ ila tukiwa na chakula na nguo tutaridhika na vitu hivyo.
⁹ Lakini hao watakao kuwa na mali huanguka katika majaribu na tanzi, na tamaa nyingi zisizo na maana, zenye kudhuru, ziwatosazo wanadamu katika upotevu na uharibifu.
¹⁰ Maana shina moja la mabaya ya kila namna ni kupenda fedha; ambayo wengine hali wakiitamani hiyo wamefarakana na Imani, na kujichoma kwa maumivu mengi.
 
1 Timotheo 6 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
⁶ Walakini utauwa pamoja na kuridhika ni faida kubwa.
⁷ Kwa maana hatukuja na kitu duniani, tena hatuwezi kutoka na kitu;
⁸ ila tukiwa na chakula na nguo tutaridhika na vitu hivyo.
⁹ Lakini hao watakao kuwa na mali huanguka katika majaribu na tanzi, na tamaa nyingi zisizo na maana, zenye kudhuru, ziwatosazo wanadamu katika upotevu na uharibifu.
¹⁰ Maana shina moja la mabaya ya kila namna ni kupenda fedha; ambayo wengine hali wakiitamani hiyo wamefarakana na Imani, na kujichoma kwa maumivu mengi.
Kwahiyo tujifariji na maandiko tusipambane zaidi?
 
n


Kuongeza kipato chako ni maendeleo na si kujenga nyumba. Hata nchi inachukuliwa imeendelea kama kipato chake kimeongezeka.
nikijenga nyumba nikaishi kwangu sitolipa Kodi ya nyumba
Kwahiyo tujifariji na maandiko tusipambane zaidi?

Fanya kazi, ila Mungu kwanza. Usiache kumfanyia Mungu ibada, kwa kigezo eti unapambana. miaka 70 ama 80 ni michache sana kulinganisha na Ile ya milele
 
Kujenga nyumba ni vizuri ila kama ni kijana bado hujaoa tumia mshahara kuwekeza au kuanzisha biashara. Biashara itakusaidia hata ukifukuzwa kazi lakini nyumba haitakupa hela ya kula pale ambapo ukifukuzwa kazi

be optimistic, kwanini uwaze kufukuzwa kazi.

wengine maisha yetu tushayakabidhi kwa BWANA YESU, maisha yetu sio yetu tena. (hapa ndipo penye ushindi)

JESUS IS LORD&SAVIOR
 
Tena kuna wengne wanaishi maisha magumu na mabaya ila kisa kajenga bas humwambii kitu

Kuna mtu kapanga anaishi
Maisha mazuri anasomesha watoto shule nzr anakula vzr analala vzr ila hawezi ongea mbele ya maskini mwenye kajumba ka vyumba 3
Mtanzania akijenga humwambii kitu
 
Tena kuna wengne wanaishi maisha magumu na mabaya ila kisa kajenga bas humwambii kitu

Kuna mtu kapanga anaishi
Maisha mazuri anasomesha watoto shule nzr anakula vzr analala vzr ila hawezi ongea mbele ya maskini mwenye kajumba ka vyumba 3
Mtanzania akijenga humwambii kitu
Jenga acha kuishi kwenye nyumba walizojenga wanaume
 
Majaribu yapo kuna leo na kesho.
achana na kesho, kesho itajisumbukia yenyewe

Mathayo 6 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
³³ Bali utafuteni kwanza ufalme wake, na haki yake; na hayo yote mtazidishiwa.
³⁴ Basi msisumbukie ya kesho; kwa kuwa kesho itajisumbukia yenyewe. Yatosha kwa siku maovu yake.
 
achana na kesho, kesho itajisumbukia yenyewe

Mathayo 6 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
³³ Bali utafuteni kwanza ufalme wake, na haki yake; na hayo yote mtazidishiwa.
³⁴ Basi msisumbukie ya kesho; kwa kuwa kesho itajisumbukia yenyewe. Yatosha kwa siku maovu yake.
Imani bila matendo ni batili.
Asiyefanya kazi na asile.
 
Tena kuna wengne wanaishi maisha magumu na mabaya ila kisa kajenga bas humwambii kitu

Kuna mtu kapanga anaishi
Maisha mazuri anasomesha watoto shule nzr anakula vzr analala vzr ila hawezi ongea mbele ya maskini mwenye kajumba ka vyumba 3
Mtanzania akijenga humwambii kitu
Anajiona ye ameendelea sana anaweza kukudharau hata wewe unayeingiza hela nyingi kuliko yeye.
 
Nyumba ni Liability kama ndoto zako ni kumiliki nyumba kwaajili ya kuishi amka amka kumekucha....

Sikuhz tunajenga nyumba alafu tunaifanya ya biashara/ nunua viwanja weka kama assets sio kwaajili ya kujenga nyumba ya kuishi matajiri sikuhz tunaishi kwenye apartments na nyumba zako unapangisha 😁
Mh
 
Binafsi nawaunga mkono wooote waliojipatia makazi ya kudumu na wanaweza kupata pesa ya kula hivyo wanakula, wanalala na kufanya ngono kama ng'ombe tu wakisubiri kufa maana hakuna namna.
🤝🤝🤜🤛
Nyumba Ni basic need ambayo kila mtu anatakiwa asikose. Then, kinachofuata Ni Kula bata 🦆🦆🥂🍷🥃mpaka kuku 🐔🐔🐔 wanaona wivu huku ukisubiri kiama chako.
 
  • Kicheko
Reactions: Tsh
Watu wana mortgages za 60yrs huko duniani ili wapate pa kulala panapoitwa HOME.
shida watu wanakurupuka kuandika tu humu bila hata kutafiti au kuuliza aelekezwe. si ajabu mleta mada hata hana habari ya kinachoendelea nchi jirani tu hapo.
 
Back
Top Bottom