Watanzania wengi wanaamini CHADEMA ni chama cha Wachagga ndio maana wanamuunga Lisu kuondoa mzizi wa fitna

Watanzania wengi wanaamini CHADEMA ni chama cha Wachagga ndio maana wanamuunga Lisu kuondoa mzizi wa fitna

Mange kimambi ana mchango gani katika siasa za Tanzania ?

Ana influence Kwa watu ambao hawana uwezo wa kujitafutia taarifa
 
Mpo salama!

Watanzania wanaamini Wachagga ni watu wote wanaotokea Kilimanjaro na Arusha bila kujali mikoa hiyo inamakabila mengine kama Wapare, Wameru, Wambulu, Wamasai, Wachagga na Wasambaa kidogo.

Sio ajabu hata wakisikia John Mnyika, au Halina Mdee licha ya kuwa ni Wapare hao ila Watanzania utawakuta wakitoa maoni Yao wakisema hao ni Wachagga.

Ukiende kwenye page ya Mange Kimambi ambaye yupo upande wa Mbowe, ukifuatilia maoni ya watu kwenye page hiyo utaona wakimhusisha Mange Kimambi na Uchagga ilhali Mange sio mchaga Bali Mpare.

Utasikia wakimwambia Mange Kimambi, ninyi Wachagga wabaguzi Sana kwa vile ni mchaga mwenzako ndio maana unamuunga Mkono.

Hoja ya ukabila ndani ya CHADEMA inapaswa ifutwe kiivitendo hicho ndicho Watanzania wanataka.

Sio ajabu watu wa kanda ya ziwa, kusini, na kanda ya Kati wanamuunga Mkono Tundu Lisu.

Inajulikana kuna uhusiano wa karibu baina ya Wachagga na watu wa kanda ya mashariki ambayo ni Pwani yote.

Ngoja tuone
Hizo ni politics nyepesi sanaaa, huo wimbo umeanza enzi za jpm bado chadema ipo.

Kingekuwa chama cha wachaga, 89 % ya viongozi wangekuwa wachagga.
Lakini haiko hivyo kwa hiyo mada yako ni irrelevant
 
E
Kuna watu wanawachukia Wachaga hata bila sababu.

Mchaga kufanikiwa utasikia ametoa kafara, ni mwizi na blah blah kibao.

Mchaga akienda kwao utasikia ameenda kutambikia mizimu.

Utakuta mtu mzima JF analeta mada kuwa wanawake wengi Wachaga ni wajane na anatoa ushauri kabisa kuoa Mchaga ni kulitafuta kaburi.

Itoshe kusema kuwa wale watu wenye mtazamo wa kuwa CHADEMA ni chama cha Wachaga ni watu walewale wenye chuki na Wachaga zisizo na sababu.
Ebo , yafaa waache chuki tuijenge nchi yetu kwa upendo daima !
 
Back
Top Bottom