milele amina
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 6,045
- 8,080
TAL ni mkimbizi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana shida sio hiyoKuna watu wanawachukia Wachaga hata bila sababu.
Mchaga kufanikiwa utasikia ametoa kafara, ni mwizi na blah blah kibao.
Mchaga akienda kwao utasikia ameenda kutambikia mizimu.
Utakuta mtu mzima JF analeta mada kuwa wanawake wengi Wachaga ni wajane na anatoa ushauri kabisa kuoa Mchaga ni kulitafuta kaburi.
Itoshe kusema kuwa wale watu wenye mtazamo wa kuwa CHADEMA ni chama cha Wachaga ni watu walewale wenye chuki na Wachaga zisizo na sababu.
Hawachomoi kwani walichomeka nini?Hii Ngoma CHADEMA haichomoi nakuambia.
Kuchomoa kwao ni Mbowe akae pembeni Jambo ambalo haliwezekaniki.
Tupo hapa.
Yaani kwa kifupi 2025 ACT ndio habari ya Mjini.
Mtaji mdogo wa pesa waliobakiwa nap CHADEMA wautumie vizuri
Lisu ni kibaraka usituchosheVipi Kamala Haris alipokuja alipokelewa na nani kweli wakati lichama lake ndio waunga ndoa gani kweli na sasa Trump ametangaza Nini kule niu yoroko.
Kampeni za 2010 ulikua hujazaliwa?huo wimbo umeanza enzi za jpm bado chadema ipo.
Hawachomoi kwani walichomeka nini?
Haya maneno sio mageni,yameanza kuimbwa kitambo kabla hujaijua jf
Lisu ataanza kutangatanga kuanzia mwezi ujao.
Kashtukiwa mapema sana
Kashtukiwa mapema sana,carrier yake ndio imeisha hivyoUtajionea
E
Ebo , yafaa waache chuki tuijenge nchi yetu kwa upendo daima !
Ukiondoa ukabila, mbowe kachokwa, mbowe akipita chadema itakuwa imewavunja moyo vijana wengi wapenda mabadilikoMpo salama!
Watanzania wanaamini Wachagga ni watu wote wanaotokea Kilimanjaro na Arusha bila kujali mikoa hiyo inamakabila mengine kama Wapare, Wameru, Wambulu, Wamasai, Wachagga na Wasambaa kidogo.
Sio ajabu hata wakisikia John Mnyika, au Halina Mdee licha ya kuwa ni Wapare hao ila Watanzania utawakuta wakitoa maoni Yao wakisema hao ni Wachagga.
Ukiende kwenye page ya Mange Kimambi ambaye yupo upande wa Mbowe, ukifuatilia maoni ya watu kwenye page hiyo utaona wakimhusisha Mange Kimambi na Uchagga ilhali Mange sio mchaga Bali Mpare.
Utasikia wakimwambia Mange Kimambi, ninyi Wachagga wabaguzi Sana kwa vile ni mchaga mwenzako ndio maana unamuunga Mkono.
Hoja ya ukabila ndani ya CHADEMA inapaswa ifutwe kiivitendo hicho ndicho Watanzania wanataka.
Sio ajabu watu wa kanda ya ziwa, kusini, na kanda ya Kati wanamuunga Mkono Tundu Lisu.
Inajulikana kuna uhusiano wa karibu baina ya Wachagga na watu wa kanda ya mashariki ambayo ni Pwani yote.
Ngoja tuone
Kibaraka wa nani?Lisu ni kibaraka usituchoshe
Shida Moja ya wachaga ni ubinafsi uliopitiliza,kutojali utu na maslahi ya wenzao.............wakina mangi meli walitaka Wadai uhuru wa kilimanjaro peke yake,Mpo salama!
Watanzania wanaamini Wachagga ni watu wote wanaotokea Kilimanjaro na Arusha bila kujali mikoa hiyo inamakabila mengine kama Wapare, Wameru, Wambulu, Wamasai, Wachagga na Wasambaa kidogo.
Sio ajabu hata wakisikia John Mnyika, au Halina Mdee licha ya kuwa ni Wapare hao ila Watanzania utawakuta wakitoa maoni Yao wakisema hao ni Wachagga.
Ukiende kwenye page ya Mange Kimambi ambaye yupo upande wa Mbowe, ukifuatilia maoni ya watu kwenye page hiyo utaona wakimhusisha Mange Kimambi na Uchagga ilhali Mange sio mchaga Bali Mpare.
Utasikia wakimwambia Mange Kimambi, ninyi Wachagga wabaguzi Sana kwa vile ni mchaga mwenzako ndio maana unamuunga Mkono.
Hoja ya ukabila ndani ya CHADEMA inapaswa ifutwe kiivitendo hicho ndicho Watanzania wanataka.
Sio ajabu watu wa kanda ya ziwa, kusini, na kanda ya Kati wanamuunga Mkono Tundu Lisu.
Inajulikana kuna uhusiano wa karibu baina ya Wachagga na watu wa kanda ya mashariki ambayo ni Pwani yote.
Ngoja tuone
Shida Moja ya wachaga ni ubinafsi uliopitiliza,kutojali utu na maslahi ya wenzao.............wakina mangi meli walitaka Wadai uhuru wa kilimanjaro peke yake,
Wakati wakina Sykesa na wazee wa Dr es salaam walimpokea kwa moyo mmoja kijana kutoka Butiama awe muwakilishi wa kudai uhuru Kwa maslahi ya nchi,
hii nchi imeongozwa na itaongozwa na watu kutoka ukanda wa Pwani kwa zaidi ya 90%,sababu ya kutokua na roho mbaya iliyopitiliza
Mareale alienda UN kudai uhuru wa kina nani?..Mangi Meli aliishi enzi za kina Mkwawa, Mirambo, na wavamizi wa Kijerumani.
..Sio sahihi kumlinganisha na wanasiasa wa zama za kudai Uhuru wa Tanganyika.
..Na kuhusu harakati za kudai uhuru wa Tanganyika wako Wachaga wengi walishiriki kwa kuunga mkono chama chaTanu.
..Hata baada ya uhuru wako Wachaga wametumikia nchi kwa uzalendo na uadilifu wa hali ya juu ktk maeneo mbalimbali.
Ni kweli, this time Lissu anakwenda kuufuta ukabila wa Chadema.Hoja ya ukabila ndani ya CHADEMA inapaswa ifutwe kiivitendo hicho ndicho Watanzania wanataka.
Sio ajabu watu wa kanda ya ziwa, kusini, na kanda ya Kati wanamuunga Mkono Tundu Lisu.
Mareale alienda UN kudai uhuru wa kina nani?
Propaganda hizi ni za ccm lakini utashangaa wao wenyewe hawajafunga ofisi zao Uchagani wawaache Wachaga na chama chao Chadema...mimi nataka Mbowe asichaguliwe, lakini sio kwasababu za KIKABILA.
..Mbowe ameipeleka Chadema kila mahali hapa nchini na sio sahihi kumshambulia kuwa amejenga chama kwa ajili ya Wachaga.
..Tanzania kumekuwa na kampeni ya muda mrefu dhidi ya Wachaga.
..Kuna wanasiasa wa CCM ambao walipoona wanazidiwa maarifa na wanasiasa toka Kilimanjaro walitumia ukabila kupambana nao.
..Sasa hali hiyo ni ama ilifanikiwa huko zamani, au iliachwa bila kukomeshwa, matokeo yake imekuwa ni jambo la kawaida katika siasa za Tanzania.
..Katika zama hizi kumshambulia au kumtuhumu Mchaga au mtu wa Kilimanjaro imekuwa ni jambo linalovumilika katika jamii yetu. Hayo ni mazoea mabaya ambayo yanayobomoa umoja wetu wa kitaifa.
..Sio sahihi kuwafanya ndugu zetu toka mkoa wa Kilimanjaro wajisikie sio sehemu ya Watanzania wote.
Ni kweli, this time Lissu anakwenda kuufuta ukabila wa Chadema.
Zitto alipoutaka uenyekiti
P
Huelewi Historia, Tanganyika kabla ya wakoloni zilikuwa ni Kingdom, hata Kilwa ilikuwa ni dola yenye sarafu yake, tatizo ccm imewajaza ujinga Watanzania wengi hawajui lolote, soma sera ya majimbo ya Chadema utaelewa.Mareale alienda UN kudai uhuru wa kina nani?