Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
-
- #21
Au arudi kwenye chama chake na kina Mwabukusi Cha NCCR japo nacho ni Cha wachaga sawa na TLP.
Akikosa kote akaungane na Mzee wa Ubwabwa Chauma
Tunatoka tukirudishe chama Tanganyika, huko uchagani kinazidi kidorora kila uchao
Atashughulikiwa maana ameshashitukiwaHawezi kuondoka Mpaka akiache CHADEMA dhoofu Hali. CCM ndio inachochea Hilo litokee.
20m za church πππToka Mke Mwanza wako Kwa Amsterdam awe anatapa tapa nimekuwa na furaha sana ππ
Watakuwepo kupiga kura? Serikali za mitaa tu hawakupiga, itakuwa uchaguzi unaohusu wajumbe tu!
Atashughulikiwa maana ameshashitukiwa
Tangu mwaka 2021, CCM siyo adui wa CHADEMA tena. Wenyeviti wa vyama hivi walifanya maridhiano.Dhana hiyo inatumiwa pia na maadui wa CHADEMA wakiwemo CCM
Hili kundi lipo kweli
Tangu mwaka 2021, CCM siyo adui wa CHADEMA tena. Wenyeviti wa vyama hivi walifanya maridhiano.
Haijaisha mpaka iisheWalipofikia Ngoma imeisha hiyo. Wee ngoja uone
Haijaisha mpaka iishe
Mange kimambi ana mchango gani katika siasa za Tanzania ?
Ana influence Kwa watu ambao hawana uwezo wa kujitafutia taarifa
Mchango wa Mange Kimambi upo huko Mtandaoni.
Watanzania wengi wanamuamini Mange na Kigogo.
Nakuunga mkono kwa asilimia π―Hoja ya ukabila ndani ya CHADEMA inapaswa ifutwe kiivitendo hicho ndicho Watanzania wanataka.
Kimesahiliwa wapi , weka documents hapa kutoka ofisi ya msajili wa vyama vya siasaHujasikia chagadema
Hizo ni politics nyepesi sanaaa, huo wimbo umeanza enzi za jpm bado chadema ipo.Mpo salama!
Watanzania wanaamini Wachagga ni watu wote wanaotokea Kilimanjaro na Arusha bila kujali mikoa hiyo inamakabila mengine kama Wapare, Wameru, Wambulu, Wamasai, Wachagga na Wasambaa kidogo.
Sio ajabu hata wakisikia John Mnyika, au Halina Mdee licha ya kuwa ni Wapare hao ila Watanzania utawakuta wakitoa maoni Yao wakisema hao ni Wachagga.
Ukiende kwenye page ya Mange Kimambi ambaye yupo upande wa Mbowe, ukifuatilia maoni ya watu kwenye page hiyo utaona wakimhusisha Mange Kimambi na Uchagga ilhali Mange sio mchaga Bali Mpare.
Utasikia wakimwambia Mange Kimambi, ninyi Wachagga wabaguzi Sana kwa vile ni mchaga mwenzako ndio maana unamuunga Mkono.
Hoja ya ukabila ndani ya CHADEMA inapaswa ifutwe kiivitendo hicho ndicho Watanzania wanataka.
Sio ajabu watu wa kanda ya ziwa, kusini, na kanda ya Kati wanamuunga Mkono Tundu Lisu.
Inajulikana kuna uhusiano wa karibu baina ya Wachagga na watu wa kanda ya mashariki ambayo ni Pwani yote.
Ngoja tuone
Ebo , yafaa waache chuki tuijenge nchi yetu kwa upendo daima !Kuna watu wanawachukia Wachaga hata bila sababu.
Mchaga kufanikiwa utasikia ametoa kafara, ni mwizi na blah blah kibao.
Mchaga akienda kwao utasikia ameenda kutambikia mizimu.
Utakuta mtu mzima JF analeta mada kuwa wanawake wengi Wachaga ni wajane na anatoa ushauri kabisa kuoa Mchaga ni kulitafuta kaburi.
Itoshe kusema kuwa wale watu wenye mtazamo wa kuwa CHADEMA ni chama cha Wachaga ni watu walewale wenye chuki na Wachaga zisizo na sababu.
Vipi Kamala Haris alipokuja alipokelewa na nani kweli wakati lichama lake ndio waunga ndoa gani kweli na sasa Trump ametangaza Nini kule niu yoroko.Toka Mke Mwanza wako Kwa Amsterdam awe anatapa tapa nimekuwa na furaha sana ππ