Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Baada ya Mbowe kutangaza kutetea Kuelekea 2025 - Baada ya Mbowe kutetea uenyekiti wake, masikini Tundu Lissu, kwishney! Je, atabaki ama atatimka? Lissu Cool down, usiitishe Press kumjibu Mbowe!Swali ni kuwa atatoboa?
Maana Ngoma bado haieleweki.
Mbowe alishaumaliza huu uchaguzi kwenye mikoa na kanda.Swali ni kuwa atatoboa?
Maana Ngoma bado haieleweki.
Mbowe alishaumaliza huu uchaguzi kwenye mikoa na kanda.
Anayetaka Uenyekiti wa Chadema aanze kujiandaa sasa Mbowe ameshatangaza ni awamu yake ya mwisho.
Kuna vyama zaidi ya 20 Tanzania, anayeamini anakubalika afanye kama Maalim Seif ahamie chama kingine na wafuasi wake tuone.Ajiandae kwa CHADEMA gani wakati January hii ndio tunajua tunazika au tunasafirisha?
Hao ni watanzania vilaza amabao hawapaswi kabisa kuwepo ktk hili taifaMpo salama!
Watanzania wanaamini Wachagga ni watu wote wanaotokea Kilimanjaro na Arusha bila kujali mikoa hiyo inamakabila mengine kama Wapare, Wameru, Wambulu, Wamasai, Wachagga na Wasambaa kidogo.
Sio ajabu hata wakisikia John Mnyika, au Halina Mdee licha ya kuwa ni Wapare hao ila Watanzania utawakuta wakitoa maoni Yao wakisema hao ni Wachagga.
Ukiende kwenye page ya Mange Kimambi ambaye yupo upande wa Mbowe, ukifuatilia maoni ya watu kwenye page hiyo utaona wakimhusisha Mange Kimambi na Uchagga ilhali Mange sio mchaga Bali Mpare.
Utasikia wakimwambia Mange Kimambi, ninyi Wachagga wabaguzi Sana kwa vile ni mchaga mwenzako ndio maana unamuunga Mkono.
Hoja ya ukabila ndani ya CHADEMA inapaswa ifutwe kiivitendo hicho ndicho Watanzania wanataka.
Sio ajabu watu wa kanda ya ziwa, kusini, na kanda ya Kati wanamuunga Mkono Tundu Lisu.
Inajulikana kuna uhusiano wa karibu baina ya Wachagga na watu wa kanda ya mashariki ambayo ni Pwani yote.
Ngoja tuone
Huelewi Historia, Tanganyika kabla ya wakoloni zilikuwa ni Kingdom, hata Kilwa ilikuwa ni dola yenye sarafu yake, tatizo ccm imewajaza ujinga Watanzania wengi hawajui lolote, soma sera ya majimbo ya Chadema utaelewa.
!Hujasikia chagadema
🤣🤣🤣🤣Lisu aende kwenye chama Cha Wanyaturu wenzie
Na nani??Atashughulikiwa maana ameshashitukiwa