Watanzania wengi wanapenda kuwa Usalama wa Taifa

Hamna lolote. Mbona tulikuwa tukiingia kila mtu anapoa?

Kinakuwa kimyaa!! Ila hapa unajifanya eti hakuna mtu anaogopa TISS pale ofisini kwenu.

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Acha uwongo. Kwanza wewe siyo TISS.

Ni mtu tu labda uliyekuwa unawaona wanakuja na kuondoka.

Tatu, Makinikia hayakua Zamcargo pekee yalikuwa mpaka TICTS ambako kote TISS na Feed Force walikuwa wanaenda.
 
Ata wewe Pia ni Mmoja wao pia
 
Kinachosababisha hayo yoote ni Ongezeko la Udumavu wa FIKRA KWA vijana na jamii ya watanzania wengi.

Uvivu na uzembe, mtu anapenda kukaa kijiweni Kupiga porojo na umbea akiamini Tiss ni kazi rahisi kama kuvaa kaunda na Kupiga umbea.
Mtu mwenye kujishughulisha na kuwajibika hawezi KUTAMANI kuwa mtu mwa Kwa kuajiriwa.

Hii imewafanya vijana wengi Tanzania kulawitiwa na Wanawake kusagwa na wenzao kisa kupenda slop
Shenzi typ
Ndio maana kuna ongezeko kubwa la Ukatili vijana kujiua na kuuwana.
Kisa tu alikuwa na lengo fulani la kuishi kifahari Kwa njia ya kitonga lkn kakutana na moto unaompeleka kupita njia ngumu anaamua kujitoa fahamu 🧏 Kwa kujifanyia Ukatili

Kuna jitu lisomi la PhD lkn saizi linafikiria haliwezi kuishi bila kuajiriwa afu linajiona lina Akili ety pambavu sana[emoji24]

Ngoja kuna siku moja tu inakuja
Mungu atafanya maajabu kupindua kombe
Nchii kuiweka mikononi mwa Kijana wa Mtaani
Hawa wanaojiita wasomi, ma-dkt na mapro watasaga lami Kwa kulipia haya mateso ya Vijana wenye ndoto wanawasababishia watoke kwenye Reli [emoji24][emoji24]
Leo kijana anashindwa kujisimamia Usalama wa Maisha yake
Lkn amedanganywa anaweza kusimamia Usalama wa taifa
Huu sio ujinga na upumbavu wa PhD order [emoji24]
 
Kazini kuna mademu watatu tofauti kwa muda tofauti washanambia kuwa mabasha zao ndio wale ambao rais au waziri mkuu anapokuepo mahali na wao lazima wapo...nikafikiri kwa kina nkaona huu wa kujifanya usalama wa taifa nayo ni janja janja na mbinu ya kuwapata hawa madada wa makalio makubwa kichwani wamejaza gesi ya pepsi.
 
Hivi wale jamaa hawanaga msemaji wao kama jinsi inavyokua kwenye Taasisi nyingine?
 
Wanataka kuwa usalama wa taifa wakati wameshindwa kuwa usalama wa familia zao
 
Mtoa mada bora tu umesema kweli..
Ety mijitu mingine ikitaka kutongoza utasikia tu ooh nice usalama wa taifa.
Sijui wanaona ndo nn masikini wakati pesa ndo muhimu zaid
 
Hivi wale jamaa hawanaga msemaji wao kama jinsi inavyokua kwenye Taasisi nyingine?
Hawana officially msemaji,but nasikia wamewahi kufanya press conference wakati fulani,aliyezungumza alikuwa Boss wao
 
Kuwa usalama wa taifa ni kuwa ndaani ya serikali. Unapokuwa mtu wa serikali unaogopwa na kuheshimiwa
Kwa kufikiri hivi tu' nao ni uzwazwa...
Utaheshimiwa Kwa Ukuu wa FIKRA na Matendo yako na sio Kwa cheo ama kazi yako.
Ukiwa mtu mwema, mtu mwenye Hekima, Heshima, mtu mwenye Maadili, Muwajibikaji na mwenye Upendo lazima Utaheshimiwa na kukimbiliwa na watu. Mtu anayeogopwa ni gaidi pekee
 
Acha uwongo. Kwanza wewe siyo TISS.

Ni mtu tu labda uliyekuwa unawaona wanakuja na kuondoka.

Tatu, Makinikia hayakua Zamcargo pekee yalikuwa mpaka TICTS ambako kote TISS na Feed Force walikuwa wanaenda.
Unajitetea.

Yeah, actually Mimi siyo TISS,nilikuwa nachangamsha genge tu..Yale makinikia yaliishia wapi hivi?
 
[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
 
I'm among them lazima ndoto yangu itimie anytime soon ni swala la muda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…