Watanzania wenye asili ya kitutsi tulivyohenya kupata vitambulisho vya NIDA


Tanzania kuna Watutsi, Wakamba, Wamasai, Waganda-Kyaka etc wote Hawa ni raia
 
Nina rafiki niliosoma nao wenye asili ya huko. Ukubwani huku wamerudisha mapenzi ya kwao na hasa ukizingatia kuna umoja wa watu wa huko. Kiuhalisia hata muwe na uraia wa hapa Tz na kupata kazi mamlaka za juu bado mioyo yenu inakuwa Rwanda
Kuna mshikaji mmoja ni DJ wa club za usiku pale Mwanza, tena yeye huwa anavaaga kabisa na litisheti ameliandika.

"I might be be born and raised in Tanzania, but my heart was made in rwanda" ...

Huyo jamaa amezaliwa na kukulia Mecco pale na hajawahi hata kuishi Rwanda, ila sasa anavyoikubali Rwanda na kuipondea Tz, mpaka anatia shaka, ukimuona hata huulizi kama ni mtutsi.

Naungana na yule anayesema hawa jamaa tuwachukulie kama maadui wa taifa, mathalani tu wana asili ya Rwanda haijalishi hata kama maisha yao yote wameishi hapa nchini kwetu.
 
Msipewe tu nyie watu wakorofi hatuwataki
 
Hawa watu ni kichomi
 
Nashangaa serikali na vyombo vyake hawakuliona hili
Tuko kwenye awamu isiyojali chochote especially kuhusiana na jambo kama hilo La kuwa makini na wageni ambao ni potential enemies...

Angalau kidogo awamu ya nne na ya tano zilionesha kujali.
 
Wanasaidia uchumi wa nchi. Hata Zambia na Malawi kuna wanyakyusa wameshika uchumi wa huko.
Kuchangia kwao uchumi wa nchi sio sababu ya sisi kuwa complacent na kuacha kuwatilia shaka uwepo wao humu nchini.... yaani hawa wanatakiwa wafanyiwe surveillance moja ya hatari.

Kuhusu uwepo wa wanyakyusa huko Zambia hauwezi kuwa threat sawa na hawa wanyaru hapa bongo.
 
Kuna Dada namfahamu anafanya kazi Kigali ila anamiliki nyumba geita yeye na ukoo waje wote.


Inabidi serikali waivunje uhamiaji ipewe jeshi ( JWTZ) naona ndio wazalendo waliobaki.
Moja ya taasisi ambayo inanuka rushwa iliyokithiri ni hiyo uhamiaji.

Kuna mghana alikamatwa na cocaine huko Malaysia akiwa na passport inayomuonesha yeye ni mtanzania, ilikuwa ni kituko na aibu ya mwaka
 
Kwani tatizo lipo wapi?. Ndo tumeanza leo kupakana na Rwanda/Burundi?.
Ni hivi, ukiwa ukiwa Tanzania utaongozwa na sheria na taratibu za Tanzania na ukubali, vivyo hivyo Rwanda, Burundi, Congo,.......
 
Wote hawajioni kama watanzania wanajiona kama wanyarwanda.
 
Kama wamefuata sheria kupata vibali vya kuishi hakuna tatizo. Kuhusu surveillance inawezekana hata wewe ulipo unafuatiliwa.. vyombo vya usalama viko macho muda wote.
 
Wakijitoa ufahamu wataludishwa kwenye kanchi kao hako kadogo kama pilitoni
 
Kama wamefuata sheria kupata vibali vya kuishi hakuna tatizo. Kuhusu surveillance inawezekana hata wewe ulipo unafuatiliwa.. vyombo vya usalama viko macho muda wote.
Sawa, hawa raia sio wa kuwaacha kabisa..!! Ni kuwawekea 24/7 surveillance maana akili yao huwa ni moja tu roho zao mbaya
 
Sawa, hawa raia sio wa kuwaacha kabisa..!! Ni kuwawekea 24/7 surveillance maana akili yao huwa ni moja tu roho zao mbaya
Ni kweli watutsi, warundi na wakongo huwa wana hatari. Kwenye nchi jirani huwa hawana mzaha na mnyarwanda.
 
Wote hawajioni kama watanzania wanajiona kama wanyarwanda.
Halafu cha ajabu huko Rwanda penyewe hawataki kwenda kuishi... wanaendesha maisha yao wakitumia kila kitu cha hapa at the same time wakiiponda TZ na kuifagilia Rwanda, haya sasa waambie warudi kwao Rwanda wanakuwa wanyonge ghafla, wajinga sana hawa na huwa siwapendi kweliii,
 
Ni kweli watutsi, warundi na wakongo huwa wana hatari. Kwenye nchi jirani huwa hawana mzaha na mnyarwanda.
Sema kinachonipa matumaini mimi ni kwamba kati ya wageni wote tumekuwa tukiishi nao vizuri, ila hawa wanyaru kila mtu anawatilia shaka na yuko makini nao, hivyo hii tu peke yake ni hatua nzuri ya kuweza kuwadhibiti wasituletee hatari yoyote.
 
Mbona Watanganyika hatupewi ardhi Zanzibar na wanadai ni nchi moja, oops sorry kumbe Zanzibar ni nchi nyingine lakini raia wa kwao anatutawala tu.
I hope sijatoka nje ya mada 🤔🤔.
Wewe sio Mtanganyika wala Mtanzania, ni mtutsi wa rwanda.
 
Kuna Dada namfahamu anafanya kazi Kigali ila anamiliki nyumba geita yeye na ukoo waje wote.


Inabidi serikali waivunje uhamiaji ipewe jeshi ( JWTZ) naona ndio wazalendo waliobaki.
Peleka taarifa huko kwa wazalendo watajua namna ya kushughulika naye.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…