Watanzania wenye tabia ya Kipuuzi kama hii ifuatayo mkikutana nami katika 18 zangu mtaanyooka tu

Watanzania wenye tabia ya Kipuuzi kama hii ifuatayo mkikutana nami katika 18 zangu mtaanyooka tu

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Ni tabia ya Kipuuzi na Kishamba sana ambayo naiona imeshaota Mizizi hasa hapa Jijini/ Mkoani Dar es Salaam.

Yaani unakuta umekaa sehemu au mahala (katika Fremu yako ya Biashara) au Kwingineko kisha anakuja Mtu kutaka Huduma fulani badala ya Kwanza Kukusalimu aliyekukuta Yeye Moja kwa Moja anaulizia Huduma aitakayo au Mtu amtakaye.

Na akikuta haipo au hayuko kisha akakutana na Macho Makali ya GENTAMYCINE na Uso wangu Uliodinda kwa Usununu (Sura Ukauzu) ndipo anakumbuka Kunisalimu (tena Kinafiki) kana kwamba mwanzoni pale alipokuja hakuniona Mzanaki Mmakuwa na Mtutsi Mimi.

Nilichoamua sasa kwa Wapuuzi wa aina hii mkikutana nami Kwanza nakupa Jibu Umiza Mujarab kisha nakuangalia Nakumudu Akili yangu ikinijibu ndiyo nakusindikiza na ama Kibao na hata Ngumi Kali ya Mfaume Mfaume na nikiona Sikumudu Nakunyamazia tu.

Na nakuchunia huku nikikuangalia kwa Macho yangu Makali na yanayomshinda Mngwena (Mfalme) wa Nyikani (Porini) Simba ambayo kama hauko vizuri nikikuangalia nayo ni lazima tu utajikojolea au utaachia kidogo hata punje tu ya Nnya yako kwa Uwoga na Kuniogopa.

Kudadadeki zenu jifunzeni Kuheshimu Watu popote muendapo au muwapo na acheni Kusalimia baada ya Kukosa Huduma au Uliyemfuata kwani huo ni Unafiki Uliotukuka na Sanifu isiyovumilika.

Na mwisho acheni Dharau kwakuwa tu una Vijisenti kadhaa Benki au katika Miamala yako ya Simu au Umeshayapatia Maisha kwani huyo aliyekupa Leo Kesho anaweza Kukunyang'anya na akampa GENTAMYCINE unayemdharau.

Na bahati nzuri Mwenyezi Mungu alivyoniumba hata Siku nikizikamata huwa nakuwa vile vile tena Mnyenyekevu kwa Watu na nikizikosa huwa nakuwa Mchangamfu na mwenye Kujifariji na kuwa na Matumaini ya Kuzikamata tena Siku za Usoni na Maisha yanaenda.
 
Ni tabia ya Kipuuzi na Kishamba sana ambayo naiona imeshaota Mizizi hasa hapa Jijini / Mkoani Dar es Salaam.

Yaani unakuta umekaa sehemu au mahala ( katika Fremu yako ya Biashara ) au Kwingineko kisha anakuja Mtu kutaka Huduma fulani badala ya Kwanza Kukusalimu aliyekukuta Yeye Moja kwa Moja anaulizia Huduma aitakayo au Mtu amtakaye na akikuta haipo au hayuko kisha akakutana na Macho Makali ya GENTAMYCINE na Uso wangu Uliodinda kwa Usununu ( Sura Ukauzu ) ndipo anakumbuka Kunisalimu ( tena Kinafiki ) kana kwamba mwanzoni pale alipokuja hakuniona Mzanaki Mmakuwa na Mtutsi Mimi.

Nilichoamua sasa kwa Wapuuzi wa aina hii mkikutana nami Kwanza nakupa Jibu Umiza Mujarab kisha nakuangalia Nakumudu Akili yangu ikinijibu ndiyo nakusindikiza na ama Kibao na hata Ngumi Kali ya Mfaume Mfaume na nikiona Sikumudu Nakunyamazia tu huku nikikuangalia kwa Macho yangu Makali na yanayomshinda Mngwena ( Mfalme ) wa Nyikani ( Porini ) Simba ambayo kama hauko vizuri nikikuangalia nayo ni lazima tu utajikojolea au utaachia kidogo hata punje tu ya Nnya yako kwa Uwoga na Kuniogopa.

Kudadadeki zenu jifunzeni Kuheshimu Watu popote muendapo au muwapo na acheni Kusalimia baada ya Kukosa Huduma au Uliyemfuata kwani huo ni Unafiki Uliotukuka na Sanifu isiyovumilika.

Na mwisho acheni Dharau kwakuwa tu una Vijisenti kadhaa Benki au katika Miamala yako ya Simu au Umeshayapatia Maisha kwani huyo aliyekupa Leo Kesho anaweza Kukunyang'anya na akampa GENTAMYCINE unayemdharau.

Na bahati nzuri Mwenyezi Mungu alivyoniumba hata Siku nikizikamata huwa nakuwa vile vile tena Mnyenyekevu kwa Watu na nikizikosa huwa nakuwa Mchangamfu na mwenye Kujifariji na kuwa na Matumaini ya Kuzikamata tena Siku za Usoni na Maisha yanaenda.
1683190584252.png
 
Sipendi watu wanaoabudu salamu utadhani ni msosi. Kwa wanawake ni shida,mwanamke akianza kutoa salamu huku anatabasamu basi anaonekana rahisi sana unakuta muuzaji badala ya kutoa huduma husika anaanza kuleta masihara. Fanyeni kazi ,tafuteni pesa. SALAMU BILA PESA KELELE TU
 
Ni tabia ya Kipuuzi na Kishamba sana ambayo naiona imeshaota Mizizi hasa hapa Jijini / Mkoani Dar es Salaam.

Yaani unakuta umekaa sehemu au mahala ( katika Fremu yako ya Biashara ) au Kwingineko kisha anakuja Mtu kutaka Huduma fulani badala ya Kwanza Kukusalimu aliyekukuta Yeye Moja kwa Moja anaulizia Huduma aitakayo au Mtu amtakaye.

Na akikuta haipo au hayuko kisha akakutana na Macho Makali ya GENTAMYCINE na Uso wangu Uliodinda kwa Usununu ( Sura Ukauzu ) ndipo anakumbuka Kunisalimu ( tena Kinafiki ) kana kwamba mwanzoni pale alipokuja hakuniona Mzanaki Mmakuwa na Mtutsi Mimi.

Nilichoamua sasa kwa Wapuuzi wa aina hii mkikutana nami Kwanza nakupa Jibu Umiza Mujarab kisha nakuangalia Nakumudu Akili yangu ikinijibu ndiyo nakusindikiza na ama Kibao na hata Ngumi Kali ya Mfaume Mfaume na nikiona Sikumudu Nakunyamazia tu.

Na nakuchunia huku nikikuangalia kwa Macho yangu Makali na yanayomshinda Mngwena ( Mfalme ) wa Nyikani ( Porini ) Simba ambayo kama hauko vizuri nikikuangalia nayo ni lazima tu utajikojolea au utaachia kidogo hata punje tu ya Nnya yako kwa Uwoga na Kuniogopa.

Kudadadeki zenu jifunzeni Kuheshimu Watu popote muendapo au muwapo na acheni Kusalimia baada ya Kukosa Huduma au Uliyemfuata kwani huo ni Unafiki Uliotukuka na Sanifu isiyovumilika.

Na mwisho acheni Dharau kwakuwa tu una Vijisenti kadhaa Benki au katika Miamala yako ya Simu au Umeshayapatia Maisha kwani huyo aliyekupa Leo Kesho anaweza Kukunyang'anya na akampa GENTAMYCINE unayemdharau.

Na bahati nzuri Mwenyezi Mungu alivyoniumba hata Siku nikizikamata huwa nakuwa vile vile tena Mnyenyekevu kwa Watu na nikizikosa huwa nakuwa Mchangamfu na mwenye Kujifariji na kuwa na Matumaini ya Kuzikamata tena Siku za Usoni na Maisha yanaenda.
We nae una shida
 
Sasa Mtu kukusalimia anakuongezea nini?
Na asipokusalimia anakupunguzia nini?
Kusalimiana vyema na watu ni suala la wema( It's kindness ) Being kind to people has varieties of advantages. Kwenye maandiko yenu Takatifu Biblia na Qur'an imeelezwa vyema sana.

Hasara moja wapo ni ile "Feeling of detachment " katika suala hilo iwe ni dukan ama popote. Someone was there for you but you didn't show any kindness kwake automatically and naturally lazima utajihisi vibaya japo utajipuuzia. Hivyo constantly not being kind, Ni kama kuvunja the laws of nature in return unahukumiwa hapa hapa duniani.
 
Naelewa vyema Mkuu...

But kitu nimejifunza hasa nyakati hizi za kila mtu kujali Maisha yake ni kutokuchukulia kila kitu Maanani utaishi kwa Amani sana...

Japo Salamu ni kitu chema sana..

Binafsi mimi nimsalimiaji mzuri sana(Huwa napewa haya maua kila mara wacha niseme tu[emoji1])Ila mtu asiponisalimia hata hainisumbui...
 
Sipendi watu wanaoabudu salamu utadhani ni msosi. Kwa wanawake ni shida,mwanamke akianza kutoa salamu t anatabasamu basi anaonekana rahisi sana unakuta muuzaji badala ya kutoa huduma husika anaanza kuleta masihara. Fanyeni kazi ,tafuteni pesa. SALAMU BILA PESA KELELE TU
Salam ni muhimu ila Kwann usalimie huku unachekacheka lazma mfnyabiashara mkwere ataleta shobo tu
 
Ni tabia ya Kipuuzi na Kishamba sana ambayo naiona imeshaota Mizizi hasa hapa Jijini / Mkoani Dar es Salaam.

Yaani unakuta umekaa sehemu au mahala ( katika Fremu yako ya Biashara ) au Kwingineko kisha anakuja Mtu kutaka Huduma fulani badala ya Kwanza Kukusalimu aliyekukuta Yeye Moja kwa Moja anaulizia Huduma aitakayo au Mtu amtakaye.

Na akikuta haipo au hayuko kisha akakutana na Macho Makali ya GENTAMYCINE na Uso wangu Uliodinda kwa Usununu ( Sura Ukauzu ) ndipo anakumbuka Kunisalimu ( tena Kinafiki ) kana kwamba mwanzoni pale alipokuja hakuniona Mzanaki Mmakuwa na Mtutsi Mimi.

Nilichoamua sasa kwa Wapuuzi wa aina hii mkikutana nami Kwanza nakupa Jibu Umiza Mujarab kisha nakuangalia Nakumudu Akili yangu ikinijibu ndiyo nakusindikiza na ama Kibao na hata Ngumi Kali ya Mfaume Mfaume na nikiona Sikumudu Nakunyamazia tu.

Na nakuchunia huku nikikuangalia kwa Macho yangu Makali na yanayomshinda Mngwena ( Mfalme ) wa Nyikani ( Porini ) Simba ambayo kama hauko vizuri nikikuangalia nayo ni lazima tu utajikojolea au utaachia kidogo hata punje tu ya Nnya yako kwa Uwoga na Kuniogopa.

Kudadadeki zenu jifunzeni Kuheshimu Watu popote muendapo au muwapo na acheni Kusalimia baada ya Kukosa Huduma au Uliyemfuata kwani huo ni Unafiki Uliotukuka na Sanifu isiyovumilika.

Na mwisho acheni Dharau kwakuwa tu una Vijisenti kadhaa Benki au katika Miamala yako ya Simu au Umeshayapatia Maisha kwani huyo aliyekupa Leo Kesho anaweza Kukunyang'anya na akampa GENTAMYCINE unayemdharau.

Na bahati nzuri Mwenyezi Mungu alivyoniumba hata Siku nikizikamata huwa nakuwa vile vile tena Mnyenyekevu kwa Watu na nikizikosa huwa nakuwa Mchangamfu na mwenye Kujifariji na kuwa na Matumaini ya Kuzikamata tena Siku za Usoni na Maisha yanaenda.
Unaanza mbaaaliii Maneno miiiingiii kumbe unataka tu kutujulisha na kuturingia umefungua na kuanzisha fremu.

Popoma bana.
 
Ni tabia ya Kipuuzi na Kishamba sana ambayo naiona imeshaota Mizizi hasa hapa Jijini / Mkoani Dar es Salaam.

Yaani unakuta umekaa sehemu au mahala ( katika Fremu yako ya Biashara ) au Kwingineko kisha anakuja Mtu kutaka Huduma fulani badala ya Kwanza Kukusalimu aliyekukuta Yeye Moja kwa Moja anaulizia Huduma aitakayo au Mtu amtakaye.

Na akikuta haipo au hayuko kisha akakutana na Macho Makali ya GENTAMYCINE na Uso wangu Uliodinda kwa Usununu ( Sura Ukauzu ) ndipo anakumbuka Kunisalimu ( tena Kinafiki ) kana kwamba mwanzoni pale alipokuja hakuniona Mzanaki Mmakuwa na Mtutsi Mimi.

Nilichoamua sasa kwa Wapuuzi wa aina hii mkikutana nami Kwanza nakupa Jibu Umiza Mujarab kisha nakuangalia Nakumudu Akili yangu ikinijibu ndiyo nakusindikiza na ama Kibao na hata Ngumi Kali ya Mfaume Mfaume na nikiona Sikumudu Nakunyamazia tu.

Na nakuchunia huku nikikuangalia kwa Macho yangu Makali na yanayomshinda Mngwena ( Mfalme ) wa Nyikani ( Porini ) Simba ambayo kama hauko vizuri nikikuangalia nayo ni lazima tu utajikojolea au utaachia kidogo hata punje tu ya Nnya yako kwa Uwoga na Kuniogopa.

Kudadadeki zenu jifunzeni Kuheshimu Watu popote muendapo au muwapo na acheni Kusalimia baada ya Kukosa Huduma au Uliyemfuata kwani huo ni Unafiki Uliotukuka na Sanifu isiyovumilika.

Na mwisho acheni Dharau kwakuwa tu una Vijisenti kadhaa Benki au katika Miamala yako ya Simu au Umeshayapatia Maisha kwani huyo aliyekupa Leo Kesho anaweza Kukunyang'anya na akampa GENTAMYCINE unayemdharau.

Na bahati nzuri Mwenyezi Mungu alivyoniumba hata Siku nikizikamata huwa nakuwa vile vile tena Mnyenyekevu kwa Watu na nikizikosa huwa nakuwa Mchangamfu na mwenye Kujifariji na kuwa na Matumaini ya Kuzikamata tena Siku za Usoni na Maisha yanaenda.
Nunua bereta nzuri chukua m29 alafu hakuna utakaeshindwa kummudu
 
Back
Top Bottom