Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Unaota unajua ushindani wa mtu kujiunga na UDSM? Lazima mtoto.awe amefaulu sana Form four na form six kwa mpigo
Wengi wa kayumba huwa si rahisi kuingia UDSM sababu ufaulu wao huwa kiwango cha chini sana form sababu ya msingi mbovu wa kiingereza wanaishia tu kusoma vyuo vikuu vingine vya kata sio UDSM
,🤣🤣🤣🤣🤣🤣A za darasa la 4 na 7 nazo niza kutolea jasho hadi uteseke kweli
Upo so much obsessed na kuongea kiingereza eti eeh?
Sahihi kabisa mkuu halafu huyo hajasoma Udsm . Tulio soma UD tunamshangaaHivi unajua pale Udsm wanafunzi wengi wametokea Kayumba?
Alafu Kayumba Akiwa kichwa ujue ni kichwa kweli.
Mchukue kichwa wa Kayumba aliyepata One ya 7 alafu mchukue wa St. Aliyepata one ya 7 waweke waparangane Uone kama huyo wa St ataambulia chochote.
Pale Udsm au nenda Mzumbe Waliosoma EM hupata wakati mgumu Sana kukabiliana na mazingira ya chuoni.
Sio kupangiana maisha Kaka ,shida ni kuwa wanasumbua Sana muda huu kutaka tuwakope na bado kulipa mpaka uanze kutaja mizimu ya ukoo ndiyo anaogopa.Kuna mtu kasema "Kila mtu aishi kulingana na uwezo wake." Huyo yuko sahihi hayo maelezo mengine ni kama kupangiana maisha.
Anayetaka kumpeleka mtoto kayumba sawa, anayempeleka English Medium sawa. Ni sawa na kula mchicha huku mwingine kuku na wote tunakula chakula kinaingia tumboni baadae chooni ila tofauti ipo.
Uzuri au utamu wa kitu uko kwa mlaji
Sasa huko EM wanafundishwa Mtaala upi?
Unajua watu kuna mambo hamyaelewi kuhusu suala la Elimu. Mtoto afundishwe juu ya mti, kwenye ghorofa, au popote pale kama Mtaala ni uleule. Inatarajiwa wote watapata lilelile.
Kwenye Elimu kuna mambo yafuatayo:
1. Sera ya Elimu ya nchi
2. Malengo ya Elimu katika nchi
3. Malengo ya Elimu kwa kila Kozi au Somo
4. Mtaala
5. Muhtasari wa kila Masomo.
Kama Lengo ni kumpeleka mtoto EM ajue kingereza Walau cha kung'atia half cake Sawa. Ila kama unafikiri atapewa Elimu tofauti na Ile ya Kayumba basi unapoteza pesa yako.
Usiogope madam. English ni lugha kama Kihaya tu au kisukumaNdio mkuu nanyanyasika sana huku uraiani😂😂😂🤣🤣
Kayumba vipaji maalumu ndio wengi hujiunga na UDSM waliosoma shule za vipaji maalumu kama Mzumbe,Kibaha tabora nkHivi unajua pale Udsm wanafunzi wengi wametokea Kayumba?
Alafu Kayumba Akiwa kichwa ujue ni kichwa kweli.
Mchukue kichwa wa Kayumba aliyepata One ya 7 alafu mchukue wa St. Aliyepata one ya 7 waweke waparangane Uone kama huyo wa St ataambulia chochote.
Pale Udsm au nenda Mzumbe Waliosoma EM hupata wakati mgumu Sana kukabiliana na mazingira ya chuoni.
Point muhimu sana.Tuishi kwa mujibu wa vipato vyetu..
Tusijitutumue ili mradi tuonekane, sio kwenye elimu tu, hata kwenye jambo lolote lile, ishi kwa uwezo wako, kisha ndio maamuzi yako.
Mengine yatakuwa maamuzi ya mtu binafsi, naweza kuwa na kipato ambacho kinamruhusu mwanangu kusoma English medium ila kama binafsi sipendelei asome huko nikimpeleka kayumba, sio kesi, shida ni hapo ambapo mtu unaforce, kipato chako ni kidogo ila unataka mtoto akasome english medium.
Binafsi mimi si muumini wa mtoto wangu kusoma english medium, haijalishi kipato kinaruhusu ama lah.
Muongo wewe nimesoma Udsm na sijapita shule hizoKayumba vipaji maalumu ndio wengi hujiunga na UDSM waliosoma shule za vipaji maalumu kama Mzumbe,Kibaha tabora nk
Nje ya kutoka shule za vipaji maalumu wachache sana huingia UDSM kutoka shule za serikali
Uko sahihiNakubaliana na wewe, lakini ni bora huko EM angalau atapata hata hiko kidogo Kwa maana ya Lugha, confidence na kidogo kilichopo kwenye mtaala.
Huyu wa EM anayesoma darasa lenye watoto 20 akawa sawa na anayesoma kwenye darasa lenye watoto 200.
Huyu wa EM ambaye at least mchana anapata lunch ya kueleweka hawezi kuwa sawa na huyu ambaye anashinda njaa kutwa nzima.
Lakini kwanini watu wanakimbilia EM, naamini ni katika hali ya kutapatapa baada ya shule za serikali kuwa na hali mbaya( kuzidiwa + maslahi duni ya walimu).
Kimbia kwenye kibatani Cha "DELETE" Futa haraka Sana haya maneno kabla hawajaja wenye PHD na masters zao na wamepita hapo jalalani Ila wametoka shule za kawaida .Kayumba vipaji maalumu ndio wengi hujiunga na UDSM waliosoma shule za vipaji maalumu kama Mzumbe,Kibaha tabora nk
Nje ya kutoka shule za vipaji maalumu wachache sana huingia UDSM kutoka shule za serikali
Uko sahihi
Halafu pita nje ya madarasa ya shule za Kayumba watoto mwalimu kama hajaingia wanapiga makelele hatari utafikiri wako kilabuni hata kama kuna mtoto anataka ajisomee hawezi
Lakini pita shule za private watoto unakuta wako kimya
urafikiri.darasa halina wanafunzi wanajisomea wamefunzwa nidhamu kuwa kama mwalimu hajaingia wafanye nini na wanatii
Kayumba mazingira ya mtoto hata kujisomea mwenyewe kama mwalimu hajaingia sio rafiki tofauti na English medium
Kwenye utu uzima majibu huwa ni rahisi tu, "Sina ningekuwa nayo ningekusaidia."Sio kupangiana maisha Kaka ,shida ni kuwa wanasumbua Sana muda huu kutaka tuwakope na bado kulipa mpaka uanze kutaja mizimu ya ukoo ndiyo anaogopa.
Sasa kwanini tusiwashauri maana Sasa tumewachoka Sana hawa jamaa.
Upo sahihi Mkuu! Inawezekana alikuwa anamaanisha hao wanaotoka Kayumba wapo wengi UDSM bila kujali wanasomea Fani gani! Lakini ukweli ni kwamba kwa zile fani ambazo zina ushindani mkubwa kuzipata na asilimia kubwa na wanaochaguliwa kusoma fani hizo wanatoka Private schoolsKayumba vipaji maalumu ndio wengi hujiunga na UDSM waliosoma shule za vipaji maalumu kama Mzumbe,Kibaha tabora nk
Nje ya kutoka shule za vipaji maalumu wachache sana huingia UDSM kutoka shule za serikali
Itakuwa enzi zile shule chache za private na enzi ambazo UDSM ilikuwa ikichukua hadi waliopata division three kusomaMuongo wewe nimesoma Udsm na sijapita shule hizo
Shule za private zinakuwa na ratiba ya michezo sio kucheza darasani na kupiga makelele darasaniUlitaka wafanye Nini mkuu? Watoto wanatakiwa kufurahia utoto wao na sehemu ya kufurahia utoto wao ni shuleni
Kaka sijakuelewa vizuri unaninang'a Mimi au hawa jamaa wa English Medium ?Kwenye utu uzima majibu huwa ni rahisi tu, "Sina ningekuwa nayo ningekusaidia."
Kitendo cha kumpeleka mtoto St Kayumba inamaanisha umejipima huwezi ghalama za huko. Hiyo inamaanisha hata uwezo wa kukopesha si kwa watu wa medium ni wa watu wa St Kayumba. Akija wa huko hakopi 200,000 au 400,000 anakopa 50,000 au 30,000. Unaanzaje kukopesha mtu akalipe ada ya medium school wakati wa kwako yuko Kayumba? Utakuwa uiinga. Kopesha kulingana na uwezo.